Why are you sad ?!So sad, the hypocrisy of This world, pathetic ππ
Si ndio maana kaanzisha msikiti wa mashogaKwani Muhsin ulimsikia akisema ushoga unafaa?
Hapa ndo nawakubali waislam. Angekuwa baba paroko angekuwa anapokea baraka za papa muda huu.Ushiriki mapenziya Jinsia halafu uwe Imam π€
Hakuna cha sad wala niniSo sad, the hypocrisy of This world, pathetic ππ
Labda yeye alikua mfiraji.Ushiriki mapenziya Jinsia halafu uwe Imam π€
Kwan Kuwa Mfiraji au Shoga hakuna Dini unayokubali hizo tabiaLabda yeye alikua mfiraji.
Who knows?
Kivipi? Hivi hujui dhana ya sabotage?Hizi dini zinatuchanganya akili kabisa
Usiulazimishe uislam kukumbatia ushoga kama ulivyo ukristo. Pambaneni na nabii tito.Lazima ni majihadist.
Hata yule mchoma Quran wa Sweden walimpiga risasi mwezi uliopita na wakakimbia.
Walivyo waoga na wapumbavu, wanampigania allah wao, wanaua watu lakini wao hawataki kufa, wanaogopa nini kufa?
Walivyomuua yule mchoma Quran wa Sweden, kesho yake ndio Quran zikachomwa zaidi.
South Africa Kuna makanisa ya mashoga pia Tena Wanaongoza kwa kufungisha ndoa kuliko makanisa ya kawaidaLakini wao hawana msikiti wao maalum na wala hawadai haki za wazinzi
So?South Africa Kuna makanisa ya mashoga pia Tena Wanaongoza kwa kufungisha ndoa kuliko makanisa ya kawaida
I cosign with everything you have said. Nobody under God/Allah has the right to judge, because we are all sinners within our ways.So sad, the hypocrisy of This world, pathetic ππ
Haya mambo walianza zamaniπ€£π€£Alizaliwa Cape Town mwezi Juni 1967 na alikulia katika familia ya Kiislamu ya jadi ya washika dini. Alisomea masomo ya Kiislamu nchini Pakistan lakini alipotangaza kuwa yeye ni mpenzi wa jinsia moja mwaka 1996, alipoteza nafasi yake kama imamu.