Afrika Kusini na Misri tu hatujazifikia hata kwa 25% je, hizo London, New York na Paris ndiyo tutazifikia haraka?

Hata kwenye hako kadegree kako serikali imewekeza bwashee!
 
Hata kwenye hako kadegree kako serikali imewekeza bwashee!
Kwa madeni ninayodai serikali mkopo wa chuo walionipa nimeshalipa tu degree twangu hatuna deni.
Mimi mlipa kodi zaidi ya milioni 150 kwa mwaka labda serikali ndio inanirudisha nyuma ndio maana nikiandika kitu nina uhakika nacho wanasiasa ni waongo na wasanii.
Serikali haijawekeza katika watu hatuna mpango endelevu wa maendeleo maana kila wnayekuja(rais) anapanga kivyake
 

Ni bumbuazi tu ndio watao kubali hili.. sijui kama ni kweli kipengere hicho cha sisi kwa kama ulaya kama kweli kimo kwenye Ilani hiyo ya ccm kama Mh. JPM alivyosema.. kama kimo, hii ni massive oversight kwa watalaam walio andika Ilani hiyo...kuwa kama ulaya haiwezekani ndani ya next 5-10 years- haipo. Labda miaka 25-40 kuanzia sasa.
Kilichopo sasa ni kupigizana kelele tu kwenye maneno ya siasa, ni muafaka sasa kauli kama hizi ziwekewe tafsiri, vinginevyo ni mis representation of facts and omission should be punished by law for misleading voters .
 
Kwa sura zinazoshika urais hapa nchini miaka 40 ni ndoto kuwafikia wazungu
 
Mbona nyie mnasema mtashinda urais na wala hatuwapingi
 
kuwa na maono sio dhambi,sababu inachochea kufanya kazi kwa bidii.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…