Tetesi: Afrika Kusini: Rais Magufuli adaiwa kutunukiwa Tuzo ya Amani ya Mandela (Mandela Peace Prize)

Status
Not open for further replies.
Wewe Huna uelewa wowote zaidi ya unazi
 
Magamba wana tatizo la msingi sio bure. Wanatutia sana aibu hawa jamaa.
 
Kakobe piga hao kunguru hadi waite mmaaaaa!!!
 
Kwani wameshindwa kuweka hata telephone conversation hapa?
 
Hata mimi nilishangaa sana tuzo ya amani usawa huu watu wanapotekwa,8 vyombo vya hanari kivamiwa na kufungiwa, watu kupigwa risasi, demokrasia kuminywa watu wanakuwa na amani gani?! I couldn't believe labda ingekuwa definition ya catalyst
 
hongera ila watekaji wanakupunguzia sifa kiasi,zama zile watu wenye elimu zao walitekwa na kupelekwa jeshini kupiga kazi ngumu miaka hata kumi,akirudi kama mzee anapewa ustaafu.ataandika nn tena magazetini na taifa kalitumikia.
 
Jana na juzi kitengo cha Propaganda cha CCM kilizua taarifa kuwa Rais wetu wa Tanzania amepewa tuzo ya amani ya Nelson Mandela. Mitandaoni na baadhi ya vyombo vya habari vikalitaja tukio hilo kwa sifa na mapambio wakati wewe Polepole na watumishi wako wa propaganda mkijua sio kweli na ni kumfedhehesha Rais kama mlivyofanya kwenye Tuzo ya FORBES na eti Trump wa US kamsifia kwa barua Rais.
Mjue mnapomtaja Rais ni kuwa mnaizungumzia Tanzania na aibu inakuwa ya nchi kwetu sote. Next time mkitaka kutangaziana vitu fake basi Polepole tunakuasa uandike hivi
"MWENYEKITI WA CHAMA CHA MAPINDUZI JOHN MAGUFULI KATUNUKIWA TUZO YA so and so" ili hiyo aibu ya kujulikana ni uongo ibaki huko kwenye chama chenu mlicho zoea kudanganya na haitaihusu nchi.
 
Mkuu, mbona hata hiyo twitter ya swahili times haina uthibitisho wowote kutoka kwa Mandela foundation? Tutajuaje kwa uhakika labda nao wamejitungia tu fake news?!
 
TBC HAWA NDO WALISEMA TRUMP KAMPONGEZA MAGUFULI.


MIMI NILITAKA KUSHANGAA, HAO WATOA TUZO WAPUUZI KIAS GANI HADI WAMPE TUZO NKURUNZIZA et al
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…