Afrika kusini si nchi salama sana kwa wageni

Afrika kusini si nchi salama sana kwa wageni

EvilSpirit

JF-Expert Member
Joined
Jun 15, 2017
Posts
10,576
Reaction score
16,644
20210219_224723.jpg


esithole04wpweb.jpg

Hapa anaonekana mmozambiki akichomwa kisu.Huyu jamaa alifariki dunia baada ya kuchomwa kisu cha moyo
 
Hivi huko jeshi la polisi imara,je intelligence yao ikoje? Wanashindwaje kuangamiza hivyo vikundi vya kuhuni kimyakimya?
Katika nchi ambazo crime rate ni kubwa hapa duniani south Africa ni miongoni mwa nchi hizo.Inaonekana polisi wamezidiwa.Mauaji ni sehemu ya maisha yao.Nakumbuka kuna dogo nilisoma nae o level alikufa kwa kisu cha tumbo south
 
One of shit hole countries, kuna mmoja kanyanyua pumprenture spanner kama anagonga nyoka, alaf kule nyuma anaonekana KUMBU kavaa mzula.
 
Habari ya 2015 unaleta mwaka huu 2021 ili iweje sasa!???
 
One of shit hole countries, kuna mmoja kanyanyua pumprenture spanner kama anagonga nyoka, alaf kule nyuma anaonekana KUMBU kavaa mzula.
Haha na yule jamaa yake khumbu wa huku bongo atakuwa maeneo hayohayo
 
Wa south Africa hawapigi kisu cha moyo mkuu.

Unapigwa kisu cha chini ya shingo upande wa mabega,,

Ni lazima ufe papo hapo..
Hao jamaa ni master kwa visu..

Na ukipigwa sehem hiyo huponi
Hata muelekeo wa hicho kisu kinaenda chini ya shingo kwenye bega
 
Back
Top Bottom