EvilSpirit
JF-Expert Member
- Jun 15, 2017
- 10,576
- 16,644
Hapa anaonekana mmozambiki akichomwa kisu.Huyu jamaa alifariki dunia baada ya kuchomwa kisu cha moyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wameanza tena?
Alikufa Huyu mmozambikiDuh,ni hatari kweli kweli,jamaa alipona?
Umesoma kwel alichoandika mtoa mada? Amesema hiv jamaa alifariki baada ya kuchomwa kisu cha moyo.Duh,ni hatari kweli kweli,jamaa alipona?
Huyu jamaa ndio dizaini ya wanafunzi wasio soma instructions za pepaUmesoma kwel alichoandika mtoa mada? Amesema hiv jamaa alifariki baada ya kuchomwa kisu cha moyo.
Hivi huko jeshi la polisi imara,je intelligence yao ikoje? Wanashindwaje kuangamiza hivyo vikundi vya kuhuni kimyakimya?View attachment 1706807
Hapa anaonekana mmozambiki akichomwa kisu.Huyu jamaa alifariki dunia baada ya kuchomwa kisu cha moyo
Katika nchi ambazo crime rate ni kubwa hapa duniani south Africa ni miongoni mwa nchi hizo.Inaonekana polisi wamezidiwa.Mauaji ni sehemu ya maisha yao.Nakumbuka kuna dogo nilisoma nae o level alikufa kwa kisu cha tumbo southHivi huko jeshi la polisi imara,je intelligence yao ikoje? Wanashindwaje kuangamiza hivyo vikundi vya kuhuni kimyakimya?
Wa south Africa hawapigi kisu cha moyo mkuu.Umesoma kwel alichoandika mtoa mada? Amesema hiv jamaa alifariki baada ya kuchomwa kisu cha moyo.
Miaka yake aliyopangiwa kuishi inajumlishwa kwako muuajiUkiua mtu utapata faida gani?
Umejibu kitaalamu sanaMiaka yake aliyopangiwa kuishi inajumlishwa kwako muuaji
Sasa wewe umeleta kipindi hiki ya nini?Hapana mkuu ilikuwa 2015 wakati wa machafuko ya xenophobia
Haha na yule jamaa yake khumbu wa huku bongo atakuwa maeneo hayohayoOne of shit hole countries, kuna mmoja kanyanyua pumprenture spanner kama anagonga nyoka, alaf kule nyuma anaonekana KUMBU kavaa mzula.
Naona shanga ulizovaa kiunoni zinakuletea jamboSasa wewe umeleta kipindi hiki ya nini?
Mjinga kabisa.
Acha kiherehere,utapewa ujauzito bureHabari ya 2015 unaleta mwaka huu 2021 ili iweje sasa!???
Hata muelekeo wa hicho kisu kinaenda chini ya shingo kwenye begaWa south Africa hawapigi kisu cha moyo mkuu.
Unapigwa kisu cha chini ya shingo upande wa mabega,,
Ni lazima ufe papo hapo..
Hao jamaa ni master kwa visu..
Na ukipigwa sehem hiyo huponi