Afrika kusini si nchi salama sana kwa wageni

Afrika kusini si nchi salama sana kwa wageni

Majamaa kuua mtu ni kama kuua kuku sijui kwa nini Sizonje hakuzaliwa huko awaue na corona
 
Katika nchi ambazo crime rate ni kubwa hapa duniani south Africa ni miongoni mwa nchi hizo.Inaonekana polisi wamezidiwa.Mauaji ni sehemu ya maisha yao.Nakumbuka kuna dogo nilisoma nae o level alikufa kwa kisu cha tumbo south
Hizi south zina shida aisee south nyingine ni south america, kuna nchi zina miji inatisha sana
 
Wasauzi wanawachukia Sana hata Ile Chanel Yao ya mpira inayoonesha ligi Yao uwa siangalii.hao sio watu ni wanyama
 
Ubaguzi wa rangi umewaathiri sana hawa watu
 
Wasauzi wanawachukia Sana hata Ile Chanel Yao ya mpira inayoonesha ligi Yao uwa siangalii.hao sio watu ni wanyama
Halafu huwa wanajiona wao ndio bora kuliko waafrika wengine, wakati maendeleo ambayo south afrika wanayo leo yametokana na kaburu
 
Halafu south africa hawana adhabu ya kifo,huyo mwenye kisu alifungwa miaka 17 jela na huyo mwenye wrench spanner alifungwa miaka kumi.Huyo mwenye koti la jinsi na pama aliachiwa huru na dogo mwingine ambaye alikuwa under 18 wakati wa tukio,Kifungo chake kilikuwa suspended.Walikuwa watu wanne wakimshambulia huyu jamaa mmozambiki,Huyo jamaa mwenye koti jeusi anayekuja kwa mbali japo alifika kwa kuchelewa lakini ulimzuia dogo mwenye umri chini ya miaka 18 asimuongeze visu jamaa
 
Na si salama kwa memmber wa JF wenye tabia za kijinga kuishi huko.
Maisha ya huku kifo si break wala gearbox kusema leo RPC sijui nani kaitisha media kutangaza.!

Maisha ya huku yamegawanyika kwenye kuishi kimpangilio kuna choka mbaya yani aka wakula majalalani,kuna wakaida wanao ishi kwenye vibanda kama kenya pale,kuna wanaoishi kwenye magorofa au majumbo yaliyo achwa au sehemu zilizokwisha achwa na watumiaji aka mapagara au majumba mabovu,kuna wale wakati,wakati kidogo na wakubwa na kuendelea mpaka kuna maeneo uwezi kukuta maskini hana fika.
Kuna miji na sehemu zipo salama na zengine si salama hata kidogo hata ukikodisha uber au taxify inagoma kwenda na tutoa tahadhari.

Silaha huku ni kama kununua bizaa ya kawaida.

Maisha ya huku kama unaweza kuishi mbezi beach au masaki basi ndio fomula ya huku hiwe kijijini,mjini,uswahilini ndivo wanavoishi no muingiliano wakijinga jinga.

Kila unavozidi kupata kipato ndo unatakiwa kuishi sehemu nzuri ili kukwepa matatizo kama wezi,vibaka,majambazi kwa asilimia angalau ndogo.

Kampuni za ulinzi binafsi ninyingi mpaka ukikutana nazo unaweza kusema movi maana wana silahaa za kila aina na wanamagali mazuri ya kupambana.sio huku benki mlinzi binafsi hana gobole.

Ni mengi sana
 
Katika nchi ambazo crime rate ni kubwa hapa duniani south Africa ni miongoni mwa nchi hizo.Inaonekana polisi wamezidiwa.Mauaji ni sehemu ya maisha yao.Nakumbuka kuna dogo nilisoma nae o level alikufa kwa kisu cha tumbo south

Siamini kama wamezidiwa, ila ni wazembe tu na hawashuhuliki tu. Ingelikua hayo magenge yanaingilia interest zao za kisiasa ungeliona jinsi yatakavoshuhulikiwa.
 
Na si salama kwa memmber wa JF wenye tabia za kijinga kuishi huko.
Maisha ya huku kifo si break wala gearbox kusema leo RPC sijui nani kaitisha media kutangaza.!

Maisha ya huku yamegawanyika kwenye kuishi kimpangilio kuna choka mbaya yani aka wakula majalalani,kuna wakaida wanao ishi kwenye vibanda kama kenya pale,kuna wanaoishi kwenye magorofa au majumbo yaliyo achwa au sehemu zilizokwisha achwa na watumiaji aka mapagara au majumba mabovu,kuna wale wakati,wakati kidogo na wakubwa na kuendelea mpaka kuna maeneo uwezi kukuta maskini hana fika.
Kuna miji na sehemu zipo salama na zengine si salama hata kidogo hata ukikodisha uber au taxify inagoma kwenda na tutoa tahadhari.

Silaha huku ni kama kununua bizaa ya kawaida.

Maisha ya huku kama unaweza kuishi mbezi beach au masaki basi ndio fomula ya huku hiwe kijijini,mjini,uswahilini ndivo wanavoishi no muingiliano wakijinga jinga.

Kila unavozidi kupata kipato ndo unatakiwa kuishi sehemu nzuri ili kukwepa matatizo kama wezi,vibaka,majambazi kwa asilimia angalau ndogo.

Kampuni za ulinzi binafsi ninyingi mpaka ukikutana nazo unaweza kusema movi maana wana silahaa za kila aina na wanamagali mazuri ya kupambana.sio huku benki mlinzi binafsi hana gobole.

Ni mengi sana
Mkuu upo south sio
 
Back
Top Bottom