Tajirimsomi
JF-Expert Member
- Jan 12, 2017
- 4,824
- 5,587
Mbaraka Sawa hata mimi naunga mkono ila hawa wa siku hizi wimbo anatoa leo kesho umevuja.
Mh! Litabomolewa siku hiyohiyo , chezea Churtle wewe!!Roma mkatoliki tena kabla hajaenda zimbabwe
Hebu sikiliza Mbiliabel, Yvonne Chakachaka nyimbo zao hata ukiweka msibani watu watatikisa vichwa...Nyimbo za siku hizi matangazo kibao, ila hazichukui muda kuchuja
Yap hawa ni malegendary haswa.Wapigiwe kura kati ya ma legend hawa wawili, Mbaraka Mwinshehe na Marijani Rajabu.
Sema mimi kura yangu siku zote inaangukia kwa Marijani, ingawa namuelewa sana Mwinshehe.Yap hawa ni malegendary haswa.
Aiseee! Umenikumbusha mbali sana, Juma Kilaza jirani yangu wa zamani pale Mt. Fire, Opp na Mashine ya Nafaka kwa wauza Mchele! Kiukweli alikuwa anajua lakini sidhani kama anafikia level za akina Salum Abdallah, Mbaraka Mwinshehe!Juma Kilaza
Shkamoo mhengaAiseee! Umenikumbusha mbali sana, Juma Kilaza jirani yangu wa zamani pale Mt. Fire, Opp na Mashine ya Nafaka kwa wauza Mchele! Kiukweli alikuwa anajua lakini sidhani kama anafikia level za akina Salum Abdallah, Mbaraka Mwinshehe!
Mkuu wangetutengenezea sanamu la KALI P yule jamaa alikuwa anaimba kama polisi hivi.Aisee nilikuwa namkubali sana maana alisaidia sana jeshi la polisi kujulikana
Mmmmh! Ni Mhenga japo sio wa Umri wa Juma Kilaza! Tukiwa watoto wa Mwere Pr School na Baadae Morogoro Sec, huyu Juma Kilaza ndio alikuwa anamalizia utu uzima!Shkamoo mhenga
Marahaba!Shkamoo mhenga
Kweli Wew Mtoto wa 2000's Yaan Hao panya uwaweke unamwacha Juma kilaza, mbaraka mwishee, wakina gurumo wakina TX moshi William na WENGNE kibao hebu acha zarau basiDiamond katutambulisha vzur kimuziki, kanumba pia ni wa kuenziwa na lady jaydee
Hebu sikiliza Mbiliabel, Yvonne Chakachaka nyimbo zao hata ukiweka msibani watu watatikisa vichwa...
Lazima tukubali starehe na vitu vizuri vilikuwa zamani sio sasa.
Mwishehe alikuwa na sauti tamu sana kusikiliza Marijan alikuwa na mashairi kuntu (alikuwa anajua sana mziki)Sema mimi kura yangu siku zote inaangukia kwa Marijani, ingawa namuelewa sana Mwinshehe.