Afrika Kusini wasijaribu kutaka kuzichapa na Rwanda. Watachakazwa vibaya sana

Afrika Kusini wasijaribu kutaka kuzichapa na Rwanda. Watachakazwa vibaya sana

Unaweza dhani Rwanda ina kilometa za mraba kama sudan 😅 achilia mbali Rais wake anavyoonekana kama Alien
 
Mzee huu utoto huku jf haifai story peleka huko huko kijiweni
 
Wapo wanaojua siri nzito nzito na wachambuzi wa vita
Uzuri wa JF kwenye kila mada kuna watu wamebobea
Kuna ma General wa jeshi humu...

Kuna wataalamu wa mambo ya anga humu....

Kuna wasemaji wa waasi wa M23 humu......

Kwa kifupi JF imekamilika
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😅😅😅
 
Back
Top Bottom