MADAM T JF-Expert Member Joined Oct 21, 2010 Posts 5,747 Reaction score 2,977 Jan 31, 2025 #201 def_xcode said: Nasikia na hapa kwetu wamejazana kwenye vitengo nyeti. Click to expand... Wanatuchora tu!
def_xcode said: Nasikia na hapa kwetu wamejazana kwenye vitengo nyeti. Click to expand... Wanatuchora tu!
Pa-Paa JF-Expert Member Joined Jul 24, 2024 Posts 916 Reaction score 1,363 Jan 31, 2025 #202 π€«Kamdomo...π
M Makwizi Band JF-Expert Member Joined Aug 19, 2024 Posts 1,535 Reaction score 2,565 Jan 31, 2025 #203 Ndoto za mchana mbaya sana yaani
W Wakuvelumba JF-Expert Member Joined Feb 22, 2024 Posts 279 Reaction score 488 Feb 7, 2025 #204 kipara kipya said: Kwa akili yako watapambana misitu ya kongo rwanda atafunuliwa kigali! Click to expand... Tena masaa tu jiji la kigali linabaki historia
kipara kipya said: Kwa akili yako watapambana misitu ya kongo rwanda atafunuliwa kigali! Click to expand... Tena masaa tu jiji la kigali linabaki historia
kipara kipya JF-Expert Member Joined May 2, 2016 Posts 18,833 Reaction score 23,276 Feb 7, 2025 #205 Wakuvelumba said: Tena masaa tu jiji la kigali linabaki historia Click to expand... Wanacheza hao!
princess ariana JF-Expert Member Joined Aug 19, 2016 Posts 9,245 Reaction score 18,347 Feb 7, 2025 #206 Unaweza dhani Rwanda ina kilometa za mraba kama sudan π achilia mbali Rais wake anavyoonekana kama Alien
Unaweza dhani Rwanda ina kilometa za mraba kama sudan π achilia mbali Rais wake anavyoonekana kama Alien
Its Pancho JF-Expert Member Joined Sep 21, 2018 Posts 15,966 Reaction score 26,404 Feb 7, 2025 #207 Mzee huu utoto huku jf haifai story peleka huko huko kijiweni
princess ariana JF-Expert Member Joined Aug 19, 2016 Posts 9,245 Reaction score 18,347 Feb 7, 2025 #208 Wapo wanaojua siri nzito nzito na wachambuzi wa vita KikulachoChako said: Uzuri wa JF kwenye kila mada kuna watu wamebobea Kuna ma General wa jeshi humu... Kuna wataalamu wa mambo ya anga humu.... Kuna wasemaji wa waasi wa M23 humu...... Kwa kifupi JF imekamilika ππππππππππππ Click to expand... π π π
Wapo wanaojua siri nzito nzito na wachambuzi wa vita KikulachoChako said: Uzuri wa JF kwenye kila mada kuna watu wamebobea Kuna ma General wa jeshi humu... Kuna wataalamu wa mambo ya anga humu.... Kuna wasemaji wa waasi wa M23 humu...... Kwa kifupi JF imekamilika ππππππππππππ Click to expand... π π π