Afrika Kusini yaomboleza kifo cha Mwanamke wa kwanza mweusi kuwa Nuclear Scientist

Afrika Kusini yaomboleza kifo cha Mwanamke wa kwanza mweusi kuwa Nuclear Scientist

Dede 01

JF-Expert Member
Joined
May 12, 2024
Posts
1,182
Reaction score
2,248
Habari Wakuu!

Mwanamke wa kwanza wa kiafrica kuwa nuclear physicist amefariki dunia tarehe 9/02/2025 akiwa na umri wa miaka 37.

Mwanamke huyu anaitwa Senamile Masango ambaye amezaliwa mwaka 1987 katika kijiji kiitwacho Nongoma kilichopo Kwa Zulu Natal nchini South Africa.

1739349725411.png
Masango alijiunga University of Zulu land akiwa na miaka 16 kwaajili ya kusoma Physics. Aliendelea kusoma katika hiko chuo hadi akatunukiwa degree in Physics baadaye akaenda University of Western Cape na akatunikiwa shahada ya uzamili (Master's degree) in Nuclear Physics.

Pia Masango amawahi kutunikwa tuzo ya International Women in Science Award kutokana na mchango wake mkubwa katika uwakilishi wa wanawake katika sayansi. Pia anamchango mkubwa wa kuwainua mabinti wa kiafrika wanaoipenda sayansi kupitia taasisi aliyoiunda inayowapa motisha mabinti kusoma sayansi.

Kwa maelezo zaidi tembelea huu ukurasa.

Yangu ni hayo tu wapendwa.
 
Dah! Kafariki na Physics yake, Mungu ampumzishe Kwa amani
Habari Wakuu!

Mwanamke wa kwanza wa kiafrica kuwa nuclear physicist amefariki dunia tarehe 9/02/2025 akiwa na umri wa miaka 37.

Mwanamke huyu anaitwa Senamile Masango ambaye amezaliwa mwaka 1987 katika kijiji kiitwacho Nongoma kilichopo Kwa Zulu Natal nchini South Africa.

Masango alijiunga University of Zulu land akiwa na miaka 16 kwaajili ya kusoma Physics. Aliendelea kusoma katika hiko chuo hadi akatunukiwa degree in Physics baadaye akaenda University of Western Cape na akatunikiwa shahada ya uzamili (Master's degree) in Nuclear Physics.

Pia Masango amawahi kutunikwa tuzo ya International Women in Science Award kutokana na mchango wake mkubwa katika uwakilishi wa wanawake katika sayansi. Pia anamchango mkubwa wa kuwainua mabinti wa kiafrika wanaoipenda sayansi kupitia taasisi aliyoiunda inayowapa motisha mabinti kusoma sayansi.

Kwa maelezo zaidi tembelea huu ukurasa.

Yangu ni hayo tu wapendwa.
 
Hayo madude (nuclear) ukiingia field kiukweli maisha yako ni mafupi sana. Marie na Pierre Currie na as well as binti yao waliokuwa mabingwa wa nuclear physics wote hawakufika 55!
 
Labda itakuwa ni kwa sababu ya nuclear radiations wakati akifanya utafiti wake. R.I.P scientist wetu. 😭😭
Mbaya sana hayo madude. Anyway, mmoja kufa kwa ajili ya wengi/taifa inakubalika.
 
Sina cha kufia taifa mimi ni sisimizi tu nisiye na lolote.
Mpiga ndulu tu mtandaoni, safi sana vijana wengi humu wanajikuta wao ni maTISS, watu na vyeo vyao. Ila wewe aah umekubali ni sisimizi fulani hivi. Hongera sana utafika mbali 😁
 
Back
Top Bottom