financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 17,776
- 42,402
Panga foleni mbali huko maana utakua wa 12πfinancial services mimi nitakuwa mume wa nne!πππ
Wewe na wewe ni wale wale brainwashed creatures...mafi ya mbuziHatari ya magonjwa ya kuambukizana lakini mtoto akizaliwa babake atakuwa ni nani??
Dini sahihi kwa maisha ya mwanadamu ni uislmau., ndio dini pekee iliyokuja muongozo sahihi kwenye jambo hili.,
π€£π€£π€£Panga foleni mbali huko maana utakua wa 12π
Mwanamke yeyote anayemiliki wanaume zaidi ya mmoja huyo ni kahaba, hata kama Yesu hakumuita kahaba lakini alijua kila kitu kuhusu huyo mwanamke kwamba alikuwa na wanaume Sita... ni kwanini mmemwita kahaba wakati Yesu mwenyewe hakumwita hivyo?
Walitangulia wanaume 5, na aliyekuwa nae kwa usiku ule alikuwa wa 6Correction kidogo
Yule kahaba alikuwa na watano na sio sita
Jibu hoja mwanamke akishika mimba mimba itakuwa ni ya nani lakini mtoto akizaliwa pia babaake atakuwa ni nani?Wewe na wewe ni wale wale brainwashed creatures...mafi ya mbuzi
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
... soma vizuri hio mistari " ...Yule mwanamke akajibu, βSina mume.β Yesu akamwambia, βUmesema kweli kuwa huna mume. Kwa maana umeshakuwa na wanaume watano na mwanamume unayeishi naye sasa si mume wako!β huo mstari hauelezi kinagaubaga kwamba yule mwanamke alimiliki wanaume zaidi ya mmoja kwa pamoja (at a time) ili awe na sifa ya "kahaba".Mwanamke yeyote anayemiliki wanaume zaidi ya mmoja huyo ni kahaba, hata kama Yesu hakumuita kahaba lakini alijua kila kitu kuhusu huyo mwanamke kwamba alikuwa na wanaume Sita
Hujaelewa tu?
Anaoa wanaume wangapikwa wahindi mwanamke ndie huoa na kulipa mahari
mmojaAnaoa wanaume wangapi
Sheria hiyo ita uplay indiakwa wahindi mwanamke ndie huoa na kulipa mahari
Anaolewa lakini analipa maharikwa wahindi mwanamke ndie huoa na kulipa mahari
Ahaa, sawa nilitaka kufahamu tu ana uwezo wa kuwaoa wanaume wangapi πmmoja
Juzi Kati hapa huko India nimeona mwanamke mmoja ameolewa na wanaume saba tena wote ndugu! Ana mtoto mmoja ambmaye hajui ni wa mme yupi!Atahudumiaje nyumba mbili? Au mwanamke ndio anawaoa hao wanaume?