Kinuju
JF-Expert Member
- Mar 20, 2021
- 2,386
- 5,325
Habari wana bodi.
Nchi ya Afrika Kusini leo imetangaza kusitisha chanjo ya Corona iliyokuwa ikiendelea nchini humo baada ya matukio ya watu kuganda damu kila wanapochanjwa kuongezeka.
Nchi ya Marekani imesikitishwa sana na uamuzi huo wa nchi ya Afrika Kusini.
Chanzo: TBC habari.
My take.
Biashara ya waliokula 10% ili waje wapigie promo chanjo ya corona nchini Tanzania(DJ) imekula kwao.
Nchi ya Afrika Kusini leo imetangaza kusitisha chanjo ya Corona iliyokuwa ikiendelea nchini humo baada ya matukio ya watu kuganda damu kila wanapochanjwa kuongezeka.
Nchi ya Marekani imesikitishwa sana na uamuzi huo wa nchi ya Afrika Kusini.
Chanzo: TBC habari.
My take.
Biashara ya waliokula 10% ili waje wapigie promo chanjo ya corona nchini Tanzania(DJ) imekula kwao.