#COVID19 Afrika Kusini yatangaza kusitisha chanjo ya Corona

#COVID19 Afrika Kusini yatangaza kusitisha chanjo ya Corona

Habari wana bodi.

Nchi ya Afrika kusini leo imetangaza kusitisha chanjo ya Corona iliyokuwa ikiendelea nchini humo baada ya matukio ya watu kuganda damu kila wanapochanjwa kuongezeka.

Nchi ya Marekani imesikitishwa sana na uamuzi huo wa nchi ya Afrika kusini.
Source: TBC habari.

My take.
Biashara ya waliokula 10% ili waje wapigie promo chanjo ya corona nchini Tanzania(DJ) imekula kwao.
Ndio watamuelewa vizuri Nabii Magufuli!
 
"Mtatishwa sana ndugu zangu waTanzania, lakini simameni imara"

"Simameni imara, chanjo hazifai"

"Kama wazungu wangekuwa na uwezo wa kuleta chanjo, hata chanjo ya UKIMWI ingekuwa imeshaletwa"

"Hata chanjo ya kifua kikuu ingekuwa kifua kimeshaondoka"

"Hata chanjo ya MALARIA ingekuwa imeshapatikana"

"Hata chanjo ya KANSA ingekuwa imeshapatikana"

"Ni lazima waTanzania tuwe waangalifu, kwa mambo ya kuletewa letewa"

"Msije mkafikiria mnapendwa sana"
 
Asante Boss, japo umetumia Kingleza wakati mimi ni housegeli

Siku hizi mahausigeli unaambiwa wameachana na kazi za kusafisha majumba ya watu, wanasafisha Kimalkia kama hawana akili timamu, especially baada ya Bi Mkubwa kulikwaa dodo la Ikulu -- naona tunaelekea kufisha njozi maridhawa za kukuza Kiswahili Barani Afrika. Marais wa Afrika wanatamani Kiswahili kiwe lugha ya mashirikiano yetu, but Bi Mkubwa ndo kwaaaaanza anajifunza Inglishi na ameonekana hadharani akihiwilisha Kiingereza huko kwa M7 Mswahili. Hakika tarehe 17.03.2021 ni D-Day ya karne ulimwenguni!!!
 
"Mtatishwa sana ndugu zangu waTanzania, lakini simameni imara"

"Simameni imara, chanjo hazifai"

"Kama wazungu wangekuwa na uwezo wa kuleta chanjo, hata chanjo ya UKIMWI ingekuwa imeshaletwa"

"Hata chanjo ya kifua kikuu ingekuwa kifua kimeshaondoka"

"Hata chanjo ya MALARIA ingekuwa imeshapatikana"

"Hata chanjo ya KANSA ingekuwa imeshapatikana"

"Ni lazima waTanzania tuwe waangalifu, kwa mambo ya kuletewa letewa"

"Msije mkafikiria mnapendwa sana"


Ai fuli agrii 🙂
 
Hii taarifa imfikie mama Samia maana bado kidogo aingizwe mkenge.


Bi Mkubwa anachojua tu ni hotubaaaaaaa ya Kiswahili chembambaaaaaa cha Pemba cha kuwazodolea asiowapenda. Hakika kama hotuba ingekuwa ndiyo kazi, basi JK angepaswa kutunukiwa hadhi ya ufanisi bora nchini. Anywezs, ^Mtanikumbuka^
 
BOMBA LA MAFUTA LA AFRIKA MASHARIKI: DIPLOMASIA YA UCHUMI YA URITHI WA JPM NA MAPATO YA TSH 76.32bn KWA MWAKA

Mnamo Septemba 27, 2020 Uganda na Tanzania ziliingia makubaliano kupitisha Bomba la Mafuta ya Afrika Mashariki kutokea Hoima (Uganda) hadi Bandari ya Tanga (Tanzania). Hii ni moja ya mafanikio makubwa ya Diplomasia ya Uchumi ya Hayati JPM. Maana iliua kabisa ndoto za Kenya kupitishia bomba hilo kwenda Bandari yake ya Lamu.

Mradi huu ni alama ya urithi itakayo ihakikishia Tanzania kiasi cha $12.7 kwa kila pipa litakalo safirishwa katika bomba hilo kutokea Uganda.

Hivyo kibiashara na kiuchumi, huu ulikuwa ni ushindi wa kimkakati kwa Tanzania wenye uwekezaji wa takribani $3.6bn na zaidi ya asilimia 70 ya bomba litapitia Tanzania hivyo itakuwa imevutia kiasi kikubwa cha uwekezaji kutoka nje kati hizi $3.6bn.

Bomba hili linatarajiwa kupitisha pipa la kwanza mnamo 2025. Na kwa siku yatasafirishwa mapipa 216,000 ya mafuta ghafi. Hii itaihakikishia Tanzania takribani $2.743 mil (Tsh 6.36bn) kwa siku. Hii ni sawa na $32.92mil (Tsh 76.32bn) kwa mwaka kama tozo ya kusafirishia mafuta hayo. Haya ni mapato mapya.

Kuna kama mapipa 6.5bn ambayo yamekwisha thibitishwa huko Uganda katika visima Kingfisher na Tilenga. Hivyo Tanzania itakuwa na uhakika wa kutengeneza mapato mengi zaidi kwa takribani miaka 30 ijayo kutokana na Mkataba uliohitimishwa siku ya Jumapili tarehe 11 Aprili 2021 wakati Rais Samia Suluhu Hassan aliposhuhudia utiwaji wa mikataba hiyo ya kimkakati. Kazi inaendelea. Huku Rais Yoweri K. Museveni akisema siku huyo ilikuwa ni siku ya Ushindi wa aina Tatu (Kitiva, Kisiasa na Kiuchumi) kwani Tanzania imekuwa sehemu ya kupigania ukombozi wa Uganda kutoka wa mikono ya Idd Amini pamoja na ukombozi wa bara la Afrika. Hivyo hii pia ni sababu iliyorahisisha uamuzi wa kuifanya Tanzania kuwa njia ya kusafirishia mafuta hayo ili Tanzania nayo ipata kitu kutokana na majotoleo yake katika Ukombozi wa Afrika.

Ndiyo maana ninaamini kuwa hapa JPM aliacha legacy kubwa..na ni ushindi kwa Tanzania katika Diplomasia ya Uchumi katika Afrika Mashariki dhidi ya Taifa lenye Uchumi mkuwa kwa sasa katika Ukanda huu.

Ninaamini pia faida zitakuwa ni nyingi zaidi ya tozo hii ya $12.7 kwa kila pipa litakalosafirishwa kwa siku. BOMBA hili kitakuwa linapashwa joto ili mafuta hayo ghafi nyenye mnato mkubwa (viscocity) yaweze kupita. Ninaamini kwa kuwa na Umeme wa uhakika pia tutapata mapato ya ziada yanayoweza kusaidia kurejesha fedha nyingi zilizowekezwa katika vyanzo vya Umeme hada bwawa la JNHPP-2115MW. Faida nyingine ni Ajira za muda mfupi na muda mrefu zinazofikia elfu kumi (10).

14.04.2021
Jonathan N'handi Mnyela
 
BOMBA LA MAFUTA LA AFRIKA MASHARIKI: DIPLOMASIA YA UCHUMI YA URITHI WA JPM NA MAPATO YA TSH 76.32bn KWA MWAKA

Mnamo Septemba 27, 2020 Uganda na Tanzania ziliingia makubaliano kupitisha Bomba la Mafuta ya Afrika Mashariki kutokea Hoima (Uganda) hadi Bandari ya Tanga (Tanzania). Hii ni moja ya mafanikio makubwa ya Diplomasia ya Uchumi ya Hayati JPM. Maana iliua kabisa ndoto za Kenya kupitishia bomba hilo kwenda Bandari yake ya Lamu.

Mradi huu ni alama ya urithi itakayo ihakikishia Tanzania kiasi cha $12.7 kwa kila pipa litakalo safirishwa katika bomba hilo kutokea Uganda.

Hivyo kibiashara na kiuchumi, huu ulikuwa ni ushindi wa kimkakati kwa Tanzania wenye uwekezaji wa takribani $3.6bn na zaidi ya asilimia 70 ya bomba litapitia Tanzania hivyo itakuwa imevutia kiasi kikubwa cha uwekezaji kutoka nje kati hizi $3.6bn.

Bomba hili linatarajiwa kupitisha pipa la kwanza mnamo 2025. Na kwa siku yatasafirishwa mapipa 216,000 ya mafuta ghafi. Hii itaihakikishia Tanzania takribani $2.743 mil (Tsh 6.36bn) kwa siku. Hii ni sawa na $32.92mil (Tsh 76.32bn) kwa mwaka kama tozo ya kusafirishia mafuta hayo. Haya ni mapato mapya.

Kuna kama mapipa 6.5bn ambayo yamekwisha thibitishwa huko Uganda katika visima Kingfisher na Tilenga. Hivyo Tanzania itakuwa na uhakika wa kutengeneza mapato mengi zaidi kwa takribani miaka 30 ijayo kutokana na Mkataba uliohitimishwa siku ya Jumapili tarehe 11 Aprili 2021 wakati Rais Samia Suluhu Hassan aliposhuhudia utiwaji wa mikataba hiyo ya kimkakati. Kazi inaendelea. Huku Rais Yoweri K. Museveni akisema siku huyo ilikuwa ni siku ya Ushindi wa aina Tatu (Kitiva, Kisiasa na Kiuchumi) kwani Tanzania imekuwa sehemu ya kupigania ukombozi wa Uganda kutoka wa mikono ya Idd Amini pamoja na ukombozi wa bara la Afrika. Hivyo hii pia ni sababu iliyorahisisha uamuzi wa kuifanya Tanzania kuwa njia ya kusafirishia mafuta hayo ili Tanzania nayo ipata kitu kutokana na majotoleo yake katika Ukombozi wa Afrika.

Ndiyo maana ninaamini kuwa hapa JPM aliacha legacy kubwa..na ni ushindi kwa Tanzania katika Diplomasia ya Uchumi katika Afrika Mashariki dhidi ya Taifa lenye Uchumi mkuwa kwa sasa katika Ukanda huu.

Ninaamini pia faida zitakuwa ni nyingi zaidi ya tozo hii ya $12.7 kwa kila pipa litakalosafirishwa kwa siku. BOMBA hili kitakuwa linapashwa joto ili mafuta hayo ghafi nyenye mnato mkubwa (viscocity) yaweze kupita. Ninaamini kwa kuwa na Umeme wa uhakika pia tutapata mapato ya ziada yanayoweza kusaidia kurejesha fedha nyingi zilizowekezwa katika vyanzo vya Umeme hada bwawa la JNHPP-2115MW. Faida nyingine ni Ajira za muda mfupi na muda mrefu zinazofikia elfu kumi (10).

14.04.2021
Jonathan N'handi Mnyela
Mkuu piga vizuri hesabu zako $12.7 kwa pipa x 216,000 mapipa kwa siku x 30 days x 12 month ndiyo ishiie kuwa 76.32 Bn??????
 
Mkuu piga vizuri hesabu zako $12.7 kwa pipa x 216,000 mapipa kwa siku x 30 days x 12 month ndiyo ishiie kuwa 76.32 Bn??????
Tuanzie hapa umesema kwa siku ni Tsh 6.36 bn tufanye litafanya kazi siku tano za week
6.36 bn x 5 days x 52 weeks = ni zaid ya 1.65 Trillion.
Na hapo mafuta yatashuka sana maana tunaweza kununua petrol kwa Tsh 1000.
Umeme cheap, bidhaa cheap, ndege cheap, SGR cheap..Tuombe uzima yajayo yanafurahisha...
 
MABEBERU WANAIWINDA KWELI TANZANIA ILI WAIPANDIKIZIE CORONA NAMUOMBA SANA RAIS WETU MPENDWA MAMA SAMIA KWENYE HILI AIMAME IMARA SANA,SHE CAN ACCEPT INTERNATIONAL WE HAVE CORONA BUT AS A NATION WE SUCCESS TO CONTROL THIS WELL,HUKU AKIJARIBU KUWAEPUKA HAWA MABEBERU DHIDI YA VIFAA MBALIMBALI WANAVYOWEZA KUTULETEA KAMA MISAADA AU VYA KUNUNUA LAKINI NDANI YAKE KUKAWA VIRUS CONCO.
 
Habari wana bodi.

Nchi ya Afrika kusini leo imetangaza kusitisha chanjo ya Corona iliyokuwa ikiendelea nchini humo baada ya matukio ya watu kuganda damu kila wanapochanjwa kuongezeka.

Nchi ya Marekani imesikitishwa sana na uamuzi huo wa nchi ya Afrika kusini.
Source: TBC habari.

My take.
Biashara ya waliokula 10% ili waje wapigie promo chanjo ya corona nchini Tanzania(DJ) imekula kwao.


1618459188263.png


Sijui kama Mungu atakuja kutupatia mtu kama huyu tena. Dunia ilimtamani, maadui walimwelewa, alipoawavua ngua na kulinda taifa lake, wakamsagia meno. Wakaona namna ya kuingia Tanzania ni kutumia mtaji unaotumiwa na waovu siku zote, ambao Baba yetu aliupiga vita kwa nguvu zote, ujinga, wakautumia mlango huu na kuanza kumdhoofisha baba katika kila eneo ili awe sawa na watu wengine.
Yaliyokuwa Mungu anayajua na iko siku na hiyo siku haiko mbali, yatabainika.

Sasa wale waliokuwa wanapiga kelele, chanjo chanjo, magu hataki chanjo, tuwe kama wengine, "YAONENI HAYA WENYEWE".

MUNGU SIMAMA NA FAMILIA YA MAGUFULI, PAMOJA NA WATU WALIOMUUNGA MKONO KWA DHATI. LITENGE TAIFA LETU MBALI NA WATU WANAFIKI WASIOKUWA NA UELEWA WALA UCHUNGU KWA TAIFA".
Hii taarifa imfikie mama Samia maana bado kidogo aingizwe mkenge.
 
Wee !!! damu ikiganda kwenye mishipa ndani ya ubongo hiyo ndiyo Mwendozake, labda igande sehemu zingine za mwili unaweza kupata madhara yasiyosababisha kifo.
Hizi ndizo akili zilizokuwa zikimshambuli Magufuli?
 
View attachment 1752330

Sijui kama Mungu atakuja kutupatia mtu kama huyu tena. Dunia ilimtamani, maadui walimwelewa, alipoawavua ngua na kulinda taifa lake, wakamsagia meno. Wakaona namna ya kuingia Tanzania ni kutumia mtaji unaotumiwa na waovu siku zote, ambao Baba yetu aliupiga vita kwa nguvu zote, ujinga, wakautumia mlango huu na kuanza kumdhoofisha baba katika kila eneo ili awe sawa na watu wengine.
Yaliyokuwa Mungu anayajua na iko siku na hiyo siku haiko mbali, yatabainika.

Sasa wale waliokuwa wanapiga kelele, chanjo chanjo, magu hataki chanjo, tuwe kama wengine, "YAONENI HAYA WENYEWE".

MUNGU SIMAMA NA FAMILIA YA MAGUFULI, PAMOJA NA WATU WALIOMUUNGA MKONO KWA DHATI. LITENGE TAIFA LETU MBALI NA WATU WANAFIKI WASIOKUWA NA UELEWA WALA UCHUNGU KWA TAIFA".
Huyu mzee napata hisia flani kwamba alikuwa assassinated kinamna flani hivi! The death wasn’t natural
 
Back
Top Bottom