#COVID19 Afrika Kusini yatangaza kusitisha chanjo ya Corona

#COVID19 Afrika Kusini yatangaza kusitisha chanjo ya Corona

SA wametangaza kusitisha chanjo ya johnson ili kufanya tafiti ya kutosha kutokana na tatizo la kuganda damu linalolipotiwa Nchi wanazotumia hiyo chanjo baada ya tafiti ya kutosha hasa kwa waliopata chanjo wataendelea na hiyo chanjo huku ni taasisi ndio inasimamia kila kitu..
 
Kitaalamu uwezi kumpatia mtu chanjo kama huyo ni muathirika tayari matokeo yatakuwa negative. Hivyo mtaalamu hawezi kushangaa hayo ya SA.

Kuna mbinu au njia nyingi za kujikinga na Covid 19 na naamini kamati ya wataalamu atakayoiunda mama itatuelekeza huko.
JPM alikuwa very wrong kwenye Covid. Ugonjwa umeletwa duniani wewe useme haupo....JPM ni kituko
 
Sidhnai kama kuna chanjo inatolewa bure. Mkuu uhai hauna spare. Kama unaona ghali piga kitu cha Madagascar
Si hizo za kugandisha damu ndio Covax wamepewa wasambaze au?
Bytheway, toka JPM afariki sijasikia tena Covid
 
Modena naona ndiyo ambayo haina shida lakini ni ghali mno
Hakuna ambayo haina shida


 
Covax unalipia mzee baba. Hamna bure
Sasa kwanini tulazimishiane biashara, si tulishasema hatuna pesa au? Au hukumsikia yule mkuu wa CDC Afrika kwamba wameshanunua kwa msaada wa fedha za wahisani na watasambaza bure kwa nchi zenye kuhitaji?
 
Sasa kwanini tulazimishiane biashara, si tulishasema hatuna pesa au? Au hukumsikia yule mkuu wa CDC Afrika kwamba wameshanunua kwa msaada wa fedha za wahisani na watasambaza bure kwa nchi zenye kuhitaji?
Wamsambazie nani?
 
Shda ya taifa hli kila ktu tumekfanya siasa hii thread tyr kuna siasa nakumbuka mbowe hakusema iletwe chanjo na watu wachanjwe ila ya kasema kachanjwa na akatoa ushauri wake. Sasa mataga wao wameanza kupga siasa za 10% lakn wanasahau majiz ya taifa hli yny hzo percent kwny mikataba mingi ya raslimali na mirad ming yapo huko ccm
cha ajabu anayemkashfu mbowe kwny akaunt yake hana hata mil 4 mbowe angekuwa mwiz uwenda angekuwa jera miaka mingi.
Kila ktu siasa mpk elimu imefanywa siasa matokeo yake ni ili mrad watoto wanaenda shule tu aisee.
 
Habari wana bodi.

Nchi ya Afrika Kusini leo imetangaza kusitisha chanjo ya Corona iliyokuwa ikiendelea nchini humo baada ya matukio ya watu kuganda damu kila wanapochanjwa kuongezeka.

Nchi ya Marekani imesikitishwa sana na uamuzi huo wa nchi ya Afrika Kusini.

Chanzo: TBC habari.

My take.
Biashara ya waliokula 10% ili waje wapigie promo chanjo ya corona nchini Tanzania(DJ) imekula kwao.
Serikali yetu ikifikia hatuwa ya kutaka Watanzania waanze kudungwa sindano za chanjo dhidi ya KOVID salama yetu itatokana na kukubali kuchanjwa chanjo zinazo alishwa kutoka Urusi, hizo ni salama kabisa hazina issues za kutisha tofauti kabisa na chanjo zinazo zalishwa nchi za magharibi zenye matatizo ambazo ni highly unpredictable hivi sasa kuna tatizo la kufanya baadhi ya watu damu zao kuganda, je, nani ajuaye long term after effect inaweza kufanya immune systems iwe primed ku-over react na vitu gani vya kawaida mfano: vumbi, pollen grains, peanut butter,common cold and what have you!! Swali ni kwa nini mataifa ya magharibi yanazalisha chanjo kwa njia za kijinetic ambayo haijawahi kujaribiwa na kujuwa madhara yake yote na jinsi ya kuya-contain - Big Pharma Companies za nagharibi wamegeuza binadamu wenzao guinea pigs wanacho jali ni kupiga hela ndefu, basi!!
 
Serikali yetu ikifikia hatuwa ya kutaka Watanzania waanze kudungwa sindano za chanjo dhidi ya KOVID salama yetu itatokana na kukubali kuchanjwa chanjo zinazo alishwa kutoka Urusi, hizo ni salama kabisa hazina issues za kutisha tofauti kabisa na chanjo zinazo zalishwa nchi za magharibi zenye matatizo ambazo ni highly unpredictable hivi sasa kuna tatizo la kufanya baadhi ya watu damu zao kuganda, je, nani ajuaye long term after effect inaweza kufanya immune systems iwe primed ku-over react na vitu gani vya kawaida mfano: vumbi, pollen grains, peanut butter,common cold and what have you!! Swali ni kwa nini mataifa ya magharibi yanazalisha chanjo kwa njia za kijinetic ambayo haijawahi kujaribiwa na kujuwa madhara yake yote na jinsi ya kuya-contain - Big Pharma Companies za nagharibi wamegeuza binadamu wenzao guinea pigs wanacho jali ni kupiga hela ndefu, basi!!
Hizo za Urusi zimefanyiwa majaribio kwa muda gani?
 
Back
Top Bottom