Mafuta hayo ni ya kuuzwa nje ya nchi.sio kwamba sisi ndio tunanunua.Tuanzie hapa umesema kwa siku ni Tsh 6.36 bn tufanye litafanya kazi siku tano za week
6.36 bn x 5 days x 52 weeks = ni zaid ya 1.65 Trillion.
Na hapo mafuta yatashuka sana maana tunaweza kununua petrol kwa Tsh 1000.
Umeme cheap, bidhaa cheap, ndege cheap, SGR cheap..Tuombe uzima yajayo yanafurahisha...
vipi ile ya urusi sijui inaitwa sputnik vModena naona ndiyo ambayo haina shida lakini ni ghali mno
Wanadead fastaHivi ikiganda wanaded au bado wanakuwa hai?
Never mna viburi sana nyie....View attachment 1752330
Sijui kama Mungu atakuja kutupatia mtu kama huyu tena. Dunia ilimtamani, maadui walimwelewa, alipoawavua ngua na kulinda taifa lake, wakamsagia meno. Wakaona namna ya kuingia Tanzania ni kutumia mtaji unaotumiwa na waovu siku zote, ambao Baba yetu aliupiga vita kwa nguvu zote, ujinga, wakautumia mlango huu na kuanza kumdhoofisha baba katika kila eneo ili awe sawa na watu wengine.
Yaliyokuwa Mungu anayajua na iko siku na hiyo siku haiko mbali, yatabainika.
Sasa wale waliokuwa wanapiga kelele, chanjo chanjo, magu hataki chanjo, tuwe kama wengine, "YAONENI HAYA WENYEWE".
MUNGU SIMAMA NA FAMILIA YA MAGUFULI, PAMOJA NA WATU WALIOMUUNGA MKONO KWA DHATI. LITENGE TAIFA LETU MBALI NA WATU WANAFIKI WASIOKUWA NA UELEWA WALA UCHUNGU KWA TAIFA".
Cheki hili takataka.....halijielewi kabisaKitaalamu uwezi kumpatia mtu chanjo kama huyo ni muathirika tayari matokeo yatakuwa negative. Hivyo mtaalamu hawezi kushangaa hayo ya SA.
Kuna mbinu au njia nyingi za kujikinga na Covid 19 na naamini kamati ya wataalamu atakayoiunda mama itatuelekeza huko.
JPM alikuwa very wrong kwenye Covid. Ugonjwa umeletwa duniani wewe useme haupo....JPM ni kituko
Safi sana mkuuView attachment 1752330
Sijui kama Mungu atakuja kutupatia mtu kama huyu tena. Dunia ilimtamani, maadui walimwelewa, alipoawavua ngua na kulinda taifa lake, wakamsagia meno. Wakaona namna ya kuingia Tanzania ni kutumia mtaji unaotumiwa na waovu siku zote, ambao Baba yetu aliupiga vita kwa nguvu zote, ujinga, wakautumia mlango huu na kuanza kumdhoofisha baba katika kila eneo ili awe sawa na watu wengine.
Yaliyokuwa Mungu anayajua na iko siku na hiyo siku haiko mbali, yatabainika.
Sasa wale waliokuwa wanapiga kelele, chanjo chanjo, magu hataki chanjo, tuwe kama wengine, "YAONENI HAYA WENYEWE".
MUNGU SIMAMA NA FAMILIA YA MAGUFULI, PAMOJA NA WATU WALIOMUUNGA MKONO KWA DHATI. LITENGE TAIFA LETU MBALI NA WATU WANAFIKI WASIOKUWA NA UELEWA WALA UCHUNGU KWA TAIFA".
Soma kwa umakini nilicho andika - nimesema kwamba mbinu zilizo tumiwa na Warusi kuzalisha chanjo ya KOVID ni mbuni zilizo vumbuliwa na wana sayansi zaidi ya miaka themanini iliyo pita, ndizo mbinu zalizo tumiwa kuzalisha chanjo za ndui, TB, polio nk. Mbinu hizo ndio ziko proven kwamba zinafanya kazi flawlessly ndio maana bado zinatumika kuzalisha chanjo mpaka leo.Hizo za Urusi zimefanyiwa majaribio kwa muda gani?
Sasa Wewe damu imekuwa kama grease itatembeaje kwenye mishipa. Hapo ni mapambio yalifuatiwa na Raha ya milele umpe ee bwana!!!Hivi ikiganda wanaded au bado wanakuwa hai?
Nakumbuka wakat wa JK kupewa misaada ya vitu hata visivyo na tija ilikuwa part ya maisha yetu, naomba Mungu isije ikajirudia kwa huyuMABEBERU WANAIWINDA KWELI TANZANIA ILI WAIPANDIKIZIE CORONA NAMUOMBA SANA RAIS WETU MPENDWA MAMA SAMIA KWENYE HILI AIMAME IMARA SANA,SHE CAN ACCEPT INTERNATIONAL WE HAVE CORONA BUT AS A NATION WE SUCCESS TO CONTROL THIS WELL,HUKU AKIJARIBU KUWAEPUKA HAWA MABEBERU DHIDI YA VIFAA MBALIMBALI WANAVYOWEZA KUTULETEA KAMA MISAADA AU VYA KUNUNUA LAKINI NDANI YAKE KUKAWA VIRUS CONCO.
Kila chanjo bila kujali techniques inapaswa kufuata process ya majaribio ili kujua adverse effects na kuona namna ya kurekebisha. Ni utaratibu wa kawaida wa kisayansi na kidaktari. Toka Covid imeingia mpaka kutangazwa kwa hizi chanjo muda ni mfupi mno kufanya hatua zote hizo. So kisayansi hakuna chanjo ambayo iko salama kwa sasa.Soma kwa umakini nilicho andika - nimesema kwamba mbinu zilizo tumiwa na Warusi kuzalisha chanjo ya KOVID ni mbuni zilizo vumbuliwa na wana sayansi zaidi ya miaka themanini iliyo pita, ndizo mbinu zalizo tumiwa kuzalisha chanjo za ndui, TB, polio nk. Mbinu hizo ndio ziko proven kwamba zinafanya kazi flawlessly ndio maana bado zinatumika kuzalisha chanjo mpaka leo.
Mpaka sasa ni Mataifa 54 Duniani yanayo tumia chanjo ya sputnik V, so far hakuna madhala yoyote ambayo yamekwisha kuwa reported kutokana na matumizi ya chanjo za Urusi.
Msomi uchwaraKila chanjo bila kujali techniques inapaswa kufuata process ya majaribio ili kujua adverse effects na kuona namna ya kurekebisha. Ni utaratibu wa kawaida wa kisayansi na kidaktari. Toka Covid imeingia mpaka kutangazwa kwa hizi chanjo muda ni mfupi mno kufanya hatua zote hizo. So kisayansi hakuna chanjo ambayo iko salama kwa sasa.
Tunaweza kuamua kuchanjwa, haya ni maamuzi ya mtu binafsi ila mpaka sasa kisayansi tuna majaribio ya chanjo na sio chanjo salama. Huu ndio ukweli. Wameamua majaribio yafanyike kwa watu. Hope hizi chanjo sio Carcinogens. Maana tunaweza shuhudia mass deaths huko mbeleni
Never mna viburi sana nyie....
mmepewa kiongozi mzuri mmemkataa mmeishia kumkejeli tu na mwishowe mumemuombea kifo.....pambaneni na hali zenu
Umejuwaje kuwa haina shida.Na kwani shida ipo kwenye kuganda damu tu.Modena naona ndiyo ambayo haina shida lakini ni ghali mno
Watu wameshakula 10% wanatuuza tu, katika hili la corona nilikuwa upande wa mwendazake..Huku Tanzania inapendekeza chanjo