Afrika Magharibi inamhitaji Dkt. Samia Suluhu Hassan kusuluhisha mgogoro wa Niger na ECOWAS

Afrika Magharibi inamhitaji Dkt. Samia Suluhu Hassan kusuluhisha mgogoro wa Niger na ECOWAS

The Shah of Tanganyika

JF-Expert Member
Joined
Jul 2, 2023
Posts
602
Reaction score
1,572
Afrika inahitaji amani kuliko vita. Rais wetu, hebu nenda huko Niger kawasuluhishe kabla hawajaanza kuuana. Ninaamini watakusikiliza kwani wewe ndiye rais mwanamke pekee barani Afrika kwa sasa.

Ukifanikisha, utajipatia sifa ya pekee kama Rais mwanamke uliyeweza kuepusha maafa na mauaji ya binadamu yanayoendelea Afrika.

Achana hao wanaokupotosha na kukuingiza kwenye mambo ya udaku kama Simba day na mengineyo yanayofanana. Nenda kahangaike na mambo yenye hadhi ya Urais.
 
Kusuluhisha sio kwenda na kuwaambia watu pataneni nao wakapatana, ni kazi inayohitaji akili na uelewa mpana wa siasa za sehemu husika na za kilimwengu kwa jumla, ni kazi inayotakiwa kufanywa na mtu mwenye mikono safi na asiye na makandokando.

Mtajwa kwenye mada hana sifa hata moja. Jinsia hata siku moja hakijawahi kuwa kigezo cha kusuluhisha migogoro ya kisiasa na ukienda kwa kigezo cha kijinsia tutasema mwanamke akae jikoni aachane na ugomvi wa wanaume.
 
Afrika inahitaji amani kuliko vita. Rais wetu, hebu nenda huko Niger kawasuluhishe kabla hawajaanza kuuana. Ninaamini watakusikiliza kwani wewe ndiye rais mwanamke pekee barani Afrika kwa sasa.

Ukifanikisha, utajipatia sifa ya pekee kama Rais mwanamke uliyeweza kuepusha maafa na mauaji ya binadamu yanayoendelea Afrika.

Achana hao wanaokupotosha na kukuingiza kwenye mambo ya udaku kama Simba day na mengineyo yanayofanana. Nenda kahangaike na mambo yenye hadhi ya Urais.
ameshindwa kushughulikia swala la dpworld aje aweze kusuluhisha political mayhem in west Africa, kwanza kule watu wanajielewa sio kama nchi zenu huku mashariki na kusini mwa Africa ambao wako tayari kushangilia simba day huku bandari na mali zingine za umma zinaporwa na majiz yenye kuvaa suit ofisi za umma.
 
Nimeishi west africa mara kadha wale watu hawasikilizi mwanamke.wana mfumo dume sana so unaweza kujikuta unaaibika
 
ecowas anataka kuivamia Niger (kwa kivuli cha mabeberu) unaita mgogoro kweli
 
Tunamsubiri kwenye ndondo cup kama mgeni rasmi huku tandale.
 
Tunamsubiri kwenye ndondo cup kama mgeni rasmi huku tandale.
HiI ndo anazoweza akiongeaga utafikiri zimo kichwa I kumbe anaandikiwa kwenye bandari hachomoki watoto wa njini wamemuingiza jau
 
Afrika inahitaji amani kuliko vita. Rais wetu, hebu nenda huko Niger kawasuluhishe kabla hawajaanza kuuana. Ninaamini watakusikiliza kwani wewe ndiye rais mwanamke pekee barani Afrika kwa sasa.

Ukifanikisha, utajipatia sifa ya pekee kama Rais mwanamke uliyeweza kuepusha maafa na mauaji ya binadamu yanayoendelea Afrika.

Achana hao wanaokupotosha na kukuingiza kwenye mambo ya udaku kama Simba day na mengineyo yanayofanana. Nenda kahangaike na mambo yenye hadhi ya Urais.
Hawa ndiyo vichaa aliosema Magufuli
 
Back
Top Bottom