Afrika Mashariki ina actuarial scientists 46, ila wote Wakenya

Afrika Mashariki ina actuarial scientists 46, ila wote Wakenya

Bongo mbona wapo graduates kibao! Acha uongo.

Si Graduates,someni bandiko,habari hii nimeiona kwenye asubuhi hii mtandaoni....Registered Actuarial SCIENTISTS!
Kuna bodi chache tu duniani zenye ruhsa ya kutoa cheti hicho.
 
Nimesoma Kenya kuna Actuarial society of Kenya, je kuna actuarial society of Tanzania?

Mwenye kujua anijibu, maana hii takataka ndio nimeisikia leo.
 
Nimesoma Kenya kuna Actuarial society of Kenya, je kuna actuarial society of Tanzania?

Mwenye kujua anijibu, maana hii takataka ndio nimeisikia leo.
Hufai kujibiwa kamwe maana yake ushakata kauli kuwa kwako ni takataka.
 
Wakati mwingine ni vizuri kuliacha punga MK254 kujitamba! Uki-Google kidogo unaona Tanzania ina zaidi ya certified actuaries 30
 
This was 2008 when Acturial society was launched

Launch of the Actuarial Society of Tanzania

By Mr Sandeep Chavda, secretary general, Actuarial Society of Tanzania

The idea of forming the society was conceived back in 2003 but, due to society registration requirements from the Ministry of Home Affairs, the registration could not go ahead as planned. However, with time, things have changed and the Actuarial Society of Tanzania (AST) was formally registered in January 2008 followed by the official launch of the society on 3 December 2008 at Movenpick Royal Palm Hotel, Dares- Salaam, Tanzania.

The key objectives of the society are to unite members of the profession, promote the advancement and best interests of the actuarial profession in Tanzania, play an active role in the teaching of actuarial science, consider the actuarial aspects of legislation, existing and proposed, and take action as considered desirable.

The council of AST is comprised of the president of the society Mr Ibrahim Maftah, vice-president Ms Faith Mpatwa, secretary general Mr Sandeep Chavda and treasurer Mr Michael Mhando. There are around 30 individuals in Tanzania who are currently pursuing actuarial science or have already undergone some form of actuarial training, but none have qualified yet. The society is still in the process of finding an accurate number of such individuals through various media such as launching itself on the popular social networking site, Facebook, through the group, ‘Actuarial Society of Tanzania’.

Kindly contact Mr Sandeep Chavda at svchavda@gmail.com if you are a Tanzanian citizen (not necessarily residing in Tanzania) and currently studying or pursuing a career in actuarial science.
 
There are around 30 individuals in Tanzania who are currently pursuing actuarial science or have already undergone some form of actuarial training, but none have qualified yet.

spot on
 
Mnaiga Wakenya, mtachana misamba....

Hivi Watanzania umbumbumbu ni kipaji chenu au mna matatizo ya kiaina, hapa tunaongea kuhusu wataalam wa actuarial science ambao wamesajiliwa na wapo kazini, sio hao mnajisifia eti "pursuing actuarial science or have already undergone some form of actuarial training"

Ndio utambulike kama mwanasayansi kwenye taaluma hii, lazima ufaulu kwenye mitihani ya kimataifa zikiwemo Canadian Institute of Actuaries (CIA), British Institute and Faculty of Actuaries (IFoA), Institute of Actuaries of Australia (IAA), American Actuarial Society (AAS) and the Actuarial Society of South Africa.
 
Mnaiga Wakenya, mtachana misamba....

Hivi Watanzania umbumbumbu ni kipaji chenu au mna matatizo ya kiaina, hapa tunaongea kuhusu wataalam wa actuarial science ambao wamesajiliwa na wapo kazini, sio hao mnajisifia eti "pursuing actuarial science or have already undergone some form of actuarial training"

Ndio utambulike kama mwanasayansi kwenye taaluma hii, lazima ufaulu kwenye mitihani ya kimataifa zikiwemo Canadian Institute of Actuaries (CIA), British Institute and Faculty of Actuaries (IFoA), Institute of Actuaries of Australia (IAA), American Actuarial Society (AAS) and the Actuarial Society of South Africa.
na huyu je https://tz.linkedin.com/in/abel-nisagurwe-6a1b5911b
 

To be qualified, an actuarial science graduate has to successfully complete a series of professional papers from bodies that are full members of International Actuarial Association.

The papers include those from Canadian Institute of Actuaries (CIA), British Institute and Faculty of Actuaries (IFoA), Institute of Actuaries of Australia (IAA), American Actuarial Society (AAS) and the Actuarial Society of South Africa.

Ndio utambulike kama mwanasayansi kwenye taaluma hii, lazima ufaulu kwenye mitihani ya kimataifa zikiwemo Canadian Institute of Actuaries (CIA), British Institute and Faculty of Actuaries (IFoA), Institute of Actuaries of Australia (IAA), American Actuarial Society (AAS) and the Actuarial Society of South Africa.
 
To be qualified, an actuarial science graduate has to successfully complete a series of professional papers from bodies that are full members of International Actuarial Association.

The papers include those from Canadian Institute of Actuaries (CIA), British Institute and Faculty of Actuaries (IFoA), Institute of Actuaries of Australia (IAA), American Actuarial Society (AAS) and the Actuarial Society of South Africa.

Ndio utambulike kama mwanasayansi kwenye taaluma hii, lazima ufaulu kwenye mitihani ya kimataifa zikiwemo Canadian Institute of Actuaries (CIA), British Institute and Faculty of Actuaries (IFoA), Institute of Actuaries of Australia (IAA), American Actuarial Society (AAS) and the Actuarial Society of South Africa.
Chartered institute si member of International Actuarial Association? Ficha upumbavu shenzy wewe!
 
Ndio utambulike kama mwanasayansi kwenye taaluma hii, lazima ufaulu kwenye mitihani ya kimataifa zikiwemo Canadian Institute of Actuaries (CIA), British Institute and Faculty of Actuaries (IFoA), Institute of Actuaries of Australia (IAA), American Actuarial Society (AAS) and the Actuarial Society of South Africa.

Yaani Kenya kwa bidii yetu hii, tutafika tu....

--------------------------------------------------------------------------

pic.jpg

AN ACTUARY IS A BUSINESS PROFESSIONAL WHO ANALYSES THE FINANCIAL CONSEQUENCES OF RISK OR AN EXPERT IN RISK MANAGEMENT. FILE PHOTO | NMG



Kenya has seven newly qualified actuaries bringing the total number of the risk professionals in East Africa to 46.

The Actuarial Society of Kenya (Task) on Tuesday said a consistent focus on transforming the actuarial profession in the country is beginning to show positive results, with the number of qualified members expected to increase rapidly.

“The growth is consistent and tremendous. Task has put specific initiatives to ensure the steady growth,” said the society president James Olubayi.
All the qualified actuaries in the East African market are Kenyans.

To be qualified, an actuarial science graduate has to successfully complete a series of professional papers from bodies that are full members of International Actuarial Association.

The papers include those from Canadian Institute of Actuaries (CIA), British Institute and Faculty of Actuaries (IFoA), Institute of Actuaries of Australia (IAA), American Actuarial Society (AAS) and the Actuarial Society of South Africa.

An actuary is a business professional who analyses the financial consequences of risk or an expert in risk management.

Actuaries use mathematics, statistics and financial theory to measure the probability and risk of future events in healthcare, pensions, insurance, banking and investments.

Mr Olubayi said recent partnership with USaid-backed Financial Services Volunteer Corps (FSVC), Universities of Nairobi and Dar es Salaam to introduce the Actuarial Academy of East Africa (AAEA) will boost the profession more.
East African actuaries hit 46 but all are Kenyan


,,Emancipate your self from mental slavery... maan uko mweupe sana kichwani samahani lkn huo ndiyo ukweli sijakutusi, kwa hiyo Mjapani aliyesomea finance Mathematics Tokyo University siyo mtaalamu mpka afanye mtihani wa Uingereza? Au unafikiri kwa kuwa colonial master wako ni Muingereza basi Dunia nzima ni Anglophone? Na asiye Anglophone basi ni mjinga?

Allianz is the Worlds largest Insurance Company makao Makuu Munich, Germany unafikiri wanaofanyakazi allianz ni lazima wafanye mtihani wa Uingereza, ndiyo wawe Wataalamu?
 
,,Emancipate your self from mental slavery... maan uko mweupe sana kichwani samahani lkn huo ndiyo ukweli sijakutusi, kwa hiyo Mjapani aliyesomea finance Mathematics Tokyo University siyo mtaalamu mpka afanye mtihani wa Uingereza? Au unafikiri kwa kuwa colonial master wako ni Muingereza basi Dunia nzima ni Anglophone? Na asiye Anglophone basi ni mjinga?

Allianz is the Worlds largest Insurance Company makao Makuu Munich, Germany unafikiri wanaofanyakazi allianz ni lazima wafanye mtihani wa Uingereza, ndiyo wawe Wataalamu?

Usilete vitu vya Japani na Ujerumani, hampo kwenye level yao kabisa... tena mpo mbali sana.
 
Back
Top Bottom