Afrika mashariki na afrika kwa ujumla Tanzania kuongoza kuwa na reli ya kisasa ya umeme.

Afrika mashariki na afrika kwa ujumla Tanzania kuongoza kuwa na reli ya kisasa ya umeme.

Aisee kama ni Kweli hii kitu na kama itafanyika kama inavyoelezewa,.... Sijui niahidi nini.. Ila tu Mungu atubariki Tanzania.
 
Tumezidisha mbwe mbwe ,, mradi wenyewe Upo kwenye makaratasi tu lakini utadhan tren imeshapiga tripu kadhaa za Dar- Tabora.

Kwa hakika debe tupu.............
 
Hiyo ndio sababu Kenya ilishelve kuweka stima, miaka itakuja ambapo Kenya ina stima yakutosha, hapo itaweka stima kwenye treni!! Nyaya za stima zimefuata SGR Nairobi hadi pwani, lakini hadi tuwe na power enough ndio treni ziletwe za stima

Ethiopia ina stima ya kutosha, hasa ukizingatia serikali ya Ethiopia haijaweka mikakati kuhakikisha stima imeenda kila pahali Ethiopia, Asilimia 50 ya watu hawana stima! Hivyo inayobaki wapeleke kwa treni!!

Kenya mwanzo wanatafuta cheap na affordable electricity to all Kenyans, a target of 90% by 2018
Umeongea jambo la maaana sana maana wa-Tz wengi wamekalia ushabiki tu bila kuangalia Stima itatoka wapi ila ni kushangilia hata kama ni stories.
Stima hakuna ya kuwasha taa Tu. Hiyo ya kuendesha Tren inapatikana wapi
 
Hiyo ndio sababu Kenya ilishelve kuweka stima, miaka itakuja ambapo Kenya ina stima yakutosha, hapo itaweka stima kwenye treni!! Nyaya za stima zimefuata SGR Nairobi hadi pwani, lakini hadi tuwe na power enough ndio treni ziletwe za stima

Ethiopia ina stima ya kutosha, hasa ukizingatia serikali ya Ethiopia haijaweka mikakati kuhakikisha stima imeenda kila pahali Ethiopia, Asilimia 50 ya watu hawana stima! Hivyo inayobaki wapeleke kwa treni!!

Kenya mwanzo wanatafuta cheap na affordable electricity to all Kenyans, a target of 90% by 2018

Umeongea jambo la maaana sana maana wa-Tz wengi wamekalia ushabiki tu bila kuangalia Stima itatoka wapi ila ni kushangilia hata kama ni stories.
Stima hakuna ya kuwasha taa Tu. Hiyo ya kuendesha Tren inapatikana wapi
Hapa bavicha hutawasikia.....wanasubiria mradi ukwame waje na pumba
 
Stima huku inaitwa umeme.. ukiwa kwenye jukwaa la waTanzania andika Kiswahili cha waTanzania..

Kingine. Muweke umeme kwenye treni zenu au msiweke hiyo ni shauri yenu, gesi yetu inatosha kabisa kuzalisha umeme wa kuendesha hizo treni ndio maana tumeamua kuweka miundombinu ya umeme kabisa.. hao wanasiasa wenu wanajiandaa kuwapiga tena kwenye hiyo kandarasi ya treni za umeme.. kaeni macho.
Stima si lugha ya Kenya angalia kwenye Kamusi acha kuwapangia watu.
 
Mkuu wacha1:

The project is about to commence while we are still pushing ourself out of black out!

Remember the incidence of short circuit to Ubungo power plant 2 weeks ago?

All the places connected to National Electrical Grid system had no power..except mtwara region?

We need to put all infrastructure on track before the project commence.

Otherwise , iko siku watu watalala porini
Uko sahihi kabisa
 
Soma melezo vizuri acha uvivu. Hivi unaijua reli ya kati wewe?
Reli inaenda:-
Mwanza
Kigoma
Burundi
Rwanda

Uweunasoma sio kuropoka ropoka.
Huu mradi ni mwanza kwanza huko kwingi bado sana hata upembuzi yakinifu bado
 
Hapa naona Morocco tunamuweka pembeni
kisha afuate Ethiopia
ndio waje sasa waleee Walio unguliwa na shoka mpini ukabaki hahaha

Morocco tunakushukuru kutulindia nafasi yetu
e831d1fbd441d70b0f3dfd3f2fb72374.jpg
Miezi 30 ni sawa na kufumba macho na kufungua
 
Imagine,
ile treni ya kunyata nyata tu imepata ajali pasi na kuwa na sababu za msingi, Leo wanatuambia treni za umeme zinafanyiwa mipango huku shida ya Umeme ikitatuliwa..

Kama shida ya umeme imechukua miaka 50+ mpaka sasa, tegemea hiyo treni ya umeme kuwasili bongo mwaka 2051.
 
Imagine,
ile treni ya kunyata nyata tu imepata ajali pasi na kuwa na sababu za msingi, Leo wanatuambia treni za umeme zinafanyiwa mipango huku shida ya Umeme ikitatuliwa..

Kama shida ya umeme imechukua miaka 50+ mpaka sasa, tegemea hiyo treni ya umeme kuwasili bongo mwaka 2051.

Ukiamka usingizini urudi
 
Tumezidisha mbwe mbwe ,, mradi wenyewe Upo kwenye makaratasi tu lakini utadhan tren imeshapiga tripu kadhaa za Dar- Tabora.

Kwa hakika debe tupu.............

Hakika mbwembwe zinazidi mategemeo!

sisi kwa masuala ya mipango tu tuko juu!ila inapokuja suala ma utekelezaji hapo ndio pumba na mchele hutenganishwa!
 
Back
Top Bottom