Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utawala uliokuwapo wa Rais Tolbert walikuwa wanawafanyia wananchi ukatili.......hatari sana,mwisho wa siku aliefanya hayo na yeye karma ikamuhukumu kama vile alivyowafanyia late ministers.
yap ni kalma imetembea hapo,kila muosha uoshwa.Utawala uliokuwapo wa Rais Tolbert walikuwa wanawafanyia wananchi ukatili.......
Wewe ndio huyo uliyefungwa kwenye kigango hata kwenye maandamano huendi!Cabinet ministers lined up for execution after a coup d'état in Liberia, 1980
View attachment 2977346
waichoshwa na uonevu na kutosikilizwa vilio vyaoLiberia wamenyooshana mpaka wenyewe wametulia,wakati mwingine nchi inabidi damu imagine mpaka mkae sawa
Heshima itakuwepo
Ova