Afrika na Uafrika: Nini kiliwafikisha hapa Liberia kufanya unyama huu 1980

Liberia wamenyooshana mpaka wenyewe wametulia,wakati mwingine nchi inabidi damu imagine mpaka mkae sawa
Heshima itakuwepo

Ova
 
Liberia wamenyooshana mpaka wenyewe wametulia,wakati mwingine nchi inabidi damu imagine mpaka mkae sawa
Heshima itakuwepo

Ova
waichoshwa na uonevu na kutosikilizwa vilio vyao
 
Waafrika weusi waliotoka Marekani walipofika Liberia wakaanza kujiona matawai ya juu. Wakaanza kuwakandamiza waafrika waliowakuta na kuwatawala kwa zaidi ya miaka 100(Chama chao ndiyo chama kilichotawaa kwa miaka mingi zaidi Afrika). Mwisho Waafrika wenyeji wakachoka nao. Ndiyo hao unawaona wanapigwa risasi. Ellen Sirleaf aliponea chupuchupu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…