Afrika na unyonge ni ndugu ? Wanaijeria ndio jamii inayoongoza kwa maendeleo kwetu waafrika lakini katika ngazi ya dunia badowapo nyuma sana.

Afrika na unyonge ni ndugu ? Wanaijeria ndio jamii inayoongoza kwa maendeleo kwetu waafrika lakini katika ngazi ya dunia badowapo nyuma sana.

NetMaster

JF-Expert Member
Joined
Sep 12, 2022
Posts
1,454
Reaction score
4,925
Hapa Afrika unapozungumzia jamii ya watu walioendelea zaidi basi ni wanaijeria hata wale wambao wapo Diaspora.

Najua utakimbilia kusema kuna Black americans kina Jay Z lakini hao bado ni wachache sana hawawezi kufikia wanaijeria kina Dangote, pia huko Marekani ni jamii inayowakilisha watu weusi kuwa na kipato cha juu zaidi, watu walioelimika, na kuajiriwa kampuni kubwa ama serikalini.

Lakini sasa nikianza kupima wawakilishi hawa katika medani za kidunia naona bado wapo nyuma mno mno mno. waafrika hatuna mnyinge wetu ?

je Afrika imelaaniwa unyonge ?
 
Tatizo lilianzia hapa👇🏾👇🏾👇🏾
 
Hapa Afrika unapozungumzia jamii ya watu walioendelea zaidi basi ni wanaijeria hata wale wambao wapo Diaspora.

Najua utakimbilia kusema kuna Black americans kina Jay Z lakini hao bado ni wachache sana hawawezi kufikia wanaijeria kina Dangote, pia huko Marekani ni jamii inayowakilisha watu weusi kuwa na kipato cha juu zaidi, watu walioelimika, na kuajiriwa kampuni kubwa ama serikalini.

Lakini sasa nikianza kupima wawakilishi hawa katika medani za kidunia naona bado wapo nyuma mno mno mno. waafrika hatuna mnyinge wetu ?

je Afrika imelaaniwa unyonge ?

Sio Nigeria ni south Africa ndo inaongoza kwa maendelea Africa
 
Sio Nigeria ni south Africa ndo inaongoza kwa maendelea Africa
South Africa wale waafrika wenzetu hali zao ni mbaya, nchi ya South wawakilishi wa uchumi ni makaburu, wazungu na wa asia.... mtu kama Elon Musk sio msauzi wa asili
 
We are outnumbered, tuzaliane waafrika tupo asilimia 15 ya watu wote Duniani, pia tunapigwa vita Sana na wazungu..., Lakin ni suala la muda tuu....., Tuta-blow spot kwa sababu tumeteka art wao wameteka technology....., Kuhusu art ntaelezea sikumoja Ni papana Sana hapa.
 
Back
Top Bottom