Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usikute huyo kwenye ungo ni mzee mwanakijijiView attachment 1643981
Unakuta huyu ni baba mwenye nyumba wa nyumba uliyopanga.
Nimecheka sana. Huyo msela alivyoweka hilo pazia.View attachment 1643981
Unakuta huyu ni baba mwenye nyumba wa nyumba uliyopanga.
Naona jamaa kashika manati ya mzungu, haya sasa, sayansi iambatane na ndumbaView attachment 1643981
Unakuta huyu ni baba mwenye nyumba wa nyumba uliyopanga.
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]View attachment 1643981
Unakuta huyu ni baba mwenye nyumba wa nyumba uliyopanga.
Hapo akimuua, watu wataaminije kuwa ni mchawi?View attachment 1643981
Unakuta huyu ni baba mwenye nyumba wa nyumba uliyopanga.
Cheseya weyee manati ya mzungu. Mzungu hajakariri kasoma na kuelewa. Kitu ukibonyeza tu kinatema vitu vyenye ncha kali na butu vinavyoruka hewani kwa kas ya ajabuNaona jamaa kashika manati ya mzungu, haya sasa, sayansi iambatane na ndumba
IHapo akimuua, watu wataaminije kuwa ni mchawi?
Yatakayotokea ni kama ya yule pastor jeremia aliyefumania mchawi juu ya kenopi hahahaha😀
Ilikuwaje mkuu?Hapo akimuua, watu wataaminije kuwa ni mchawi?
Yatakayotokea ni kama ya yule pastor jeremia aliyefumania mchawi juu ya kenopi hahahaha😀