Afrika Tulilogwaje?, Eti Huyu ni Kiongozi wa Nchi!.

Afrika Tulilogwaje?, Eti Huyu ni Kiongozi wa Nchi!.

TODAYS

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2014
Posts
14,747
Reaction score
24,250
20231128_201110.jpg
 
Sudan ya kusini ni shida kule ukiajiriwa serikalini hakuna kustaafu ,hakuna mfumo wa pensheni halafu mishahara yao inatolewa kwa mafungu mwezi huu mnaweza msilipwe mkalipwa mwezi ujao waliolipwa mwezi uliopita wasilipwe.
Ila hiyo nchi ukiwa na passport ya Tanzania unaingia free unagongewa entry pemirt bila kulipia fedha yeyote
 
Back
Top Bottom