Hivi cha kwetu sisi ni nini hasa? Ila Wamasai kama wananunua fabrics zao kutoka kwa Mabeberu pia, inabidi wajitafakari sana?Baada ya WWII, Mfalme wa Holland alijenga kiwanda cha kutengeneza vitenge. Alipatia vijana wengi sana ajira katika jitihada za kuondokana na recession. Soko kuu likiwa Ghana. Vikitoka Ghana na Nigeria vinafika Congo mpaka Kigoma.
Kitu inatokea kwa Mholanzi ndugu.Ohoooo, Kuna mwingine alisema humu hata hivi vinavyotoka Congo, watu wanaita vutenge vya congo, sio kama vinatengenenezwa Congo, ila ile ni njia tuu ya kuja Tz, akadai vinatokea Zambia, mwingne akapinga, sasa nikabaki tuu na mwaswali yasio na majibu.
Mwalimu Nyerere alituacha na kiwanda cha vitenge Musoma (Mutex), kulikua wana Mwatex pamoja wan Urafiki.Hivi cha kwetu sisi ni nini hasa? Ila Wamasai kama wananunua fabrics zao kutoka kwa Mabeberu pia, inabidi wajitafakari sana?
Bei za saree, ghagra choli na punjabi, usipime.Pia wanaokoa pesa nyingi, unakuta mdada anaishi New York, akienda Mumbai likizo US$ 100 ananunua Sari za kumtosha mwaka mzima.
Hahaaahaaa! Cha kwetu ni magome ya miti majani na labda cha mwisho ni ile jezi ya kulalia (chukuchuku)Hivi cha kwetu sisi ni nini hasa? Ila Wamasai kama wananunua fabrics zao kutoka kwa Mabeberu pia, inabidi wajitafakari sana?
Mbona John P Magufuli havai chupi za magamba ya kakakuona?!Mbona Tundu Lissu havai manyoya ya digidigi!
tumezoea vya kunyongaView attachment 1687870
Afrika tumepoteza utamaduni wetu. Rais ni alama ya nchi, madam Rais angevaa vazi la asili la Ethiopia angeweza kuitangaza nchi yake zaidi.
Nikiwa shule ya msingi , Waziri Mkuu wa India, Bi Indira Ghandi (RIP) alitembelea Tanzania akiwa ndani ya vazi la Sari. Sijawahi kumuona mama huyu enzi za uhai wake akiwa nje ya vazi la Sari.
Mbali na kupoteza utamaduni wetu, pia tunanufaisha makampuni ya Magharibi. Usishangae gauni la Madam Rais kuwa ni brand ya Chanel na lilimgharimu US$ 2,000 (Sina uhakika na hili).
Ninawasifu wa Afrika Magharibi, wameamua kufanya kitenge kuwa vazi la asili. Nilishaweka historia ya vitenge hapa. Ni vazi Wa Dutch waliiga Indonesia wakati wana tawala. Waindonesia walipogoma kununua kopi ya vazi lao iliyotengenezwa na Mdutch, soko lilitafutwa Afrika.
View attachment 1687872
Nguo ya asili ya Ethiopia.
mbna mtengenezaji hajavaa kitengeView attachment 1687882
Hii ndiyo asili ya vitenge, Indonesia wanachora maua kwa mikono na wanatumia nta ya nyuki ili kukandamiza rangi. Ndiyo asili ya vitenge vya wax.
hivi unataka yule mama avae vazi linaloburuza hivi, unadhani ataonekana serious kweli!! hilo vazi ninla kuvaliwa kwenye shughuli za familia huko, labda harusi hivi nk sio masula serious ya kitaifa.View attachment 1687870
Afrika tumepoteza utamaduni wetu. Rais ni alama ya nchi, madam Rais angevaa vazi la asili la Ethiopia angeweza kuitangaza nchi yake zaidi.
Nikiwa shule ya msingi , Waziri Mkuu wa India, Bi Indira Ghandi (RIP) alitembelea Tanzania akiwa ndani ya vazi la Sari. Sijawahi kumuona mama huyu enzi za uhai wake akiwa nje ya vazi la Sari.
Mbali na kupoteza utamaduni wetu, pia tunanufaisha makampuni ya Magharibi. Usishangae gauni la Madam Rais kuwa ni brand ya Chanel na lilimgharimu US$ 2,000 (Sina uhakika na hili).
Ninawasifu wa Afrika Magharibi, wameamua kufanya kitenge kuwa vazi la asili. Nilishaweka historia ya vitenge hapa. Ni vazi Wa Dutch waliiga Indonesia wakati wana tawala. Waindonesia walipogoma kununua kopi ya vazi lao iliyotengenezwa na Mdutch, soko lilitafutwa Afrika.
View attachment 1687872
Nguo ya asili ya Ethiopia.
Daah mkuu kwahiyo we umeona tu digidigi😬😬😬😬....manyoya ya digidigi asa atavaaje 🤣🤣🤣Mbona Tundu Lissu havai manyoya ya digidigi!
Hata wamasai. Yale mavazi ni asili ya wascotland.Hivi cha kwetu sisi ni nini hasa? Ila Wamasai kama wananunua fabrics zao kutoka kwa Mabeberu pia, inabidi wajitafakari sana?
Wamasai nilishafanyanao kazi sikuwahi kuwaona wakija na lubega ofisiniHata wamasai utandawazi haujawasumbua sana,
Wahindi wanavaa vile ili kuenzi utamaduni wao na yale mavazi ni moja ya identity yao.
Ukifika Singida vijijini utaona bwashee!Daah mkuu kwahiyo we umeona tu digidigi😬😬😬😬....manyoya ya digidigi asa atavaaje 🤣🤣🤣
Mkuu,huenda wanafanya hivyo kwakuheshimu office.Wamasai nilishafanyanao kazi sikuwahi kuwaona wakija na lubega ofisini