Afrika tuna shida sana, Kiongozi gari ya milion 600?

Afrika tuna shida sana, Kiongozi gari ya milion 600?

Nikiwa Rais naondoa huu upuuzi wa magari..kila mtu ajinunulie gari lake au adandie daladala..

Mbona wafanyakazi wengine wanatumia gharama zao kufika maeneo yao ya kazi?.

Gari zitakuwa chache tu na zitakuwa hazina mwenyewe..ukitokea uhitaji wa kusafiri kikazi ndo utatumika tu and not otherwise.

Ndo maana huwezi kuwa rais 🤣
 
Kama hizo fedha zipo, why not?. Viongozi wetu deserve the best that money can buy! Tena baada ya Lissu kushambuliwa, mimi nikashauri magari wote yawe ni armored.

P
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Aisee, wanafunzi wa shule za 'usweken' waendelee kukaa chini na zahanati ziendelee kukosa dawa huko tozo ni mwendo mdundo alimradi tafrani bora viongozi wawe wanatumia armoured vehicles.
Asalaleeee.
 
Ni ujinga uroho ubinafsi tamaa tuu
Viongozi wa kiafrika wanajali matumbo yao na familia zao tu
Usiwaamini hata kidogo
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Aisee, wanafunzi wa shule za 'usweken' waendelee kukaa chini na zahanati ziendelee kukosa dawa huko tozo ni mwendo mdundo alimradi tafrani bora viongozi wawe wanatumia armoured vehicles.
Asalaleeee.
Nini muhimu kati ya wanafunzi kukaa chini na uhai wa mtu au roho ya mtu?.
Maadam magari ya kulinda roho za watu dhidi ya pyu pyu yapo, na kuna watu ni too risk kushambuliwa kwa pyu pyu, kama uwezo wa kuyanunua upo why not?.
P
 
I guess we are cursed African doesn't make sense to Spend alot of money on doing None-sense expenses while citizens are starving with poor medical treatment , etc.
 
Hilo ni gari la umma, atalitumia ataliacha. Tulia. Acha chuki.
 
Kama hizo fedha zipo, why not?
Paskali na wewe una mawazo ya hivi?
Hujui shule hazina madawati?
Hujui watoto wanasomea kwenye vibanda vya nyasi?
Hujui kuna maeneo hayana maji?
Hujui kuna zahanati hazina dawa?
Hujui kuna akina mama wanajifungua na kulazwa sakafuni vitanda vya kupokezana?
 
Wacha halafu unaambiwa kuna uhaba wa madarasa

Sio madarasa tu hata vyoo nya shimo hakuna!! Hivi huyu Samia haoni kuwa kuagiza magari ya gharama namna hiyo kila mwaka ni mzigo kwa wananchi? Mama anashindwa hata kuiga kutoka jirani zetu wa Zambia ambao Rais wao alikataa kuidhinisha ununuzi wa magari mapya ili hali yaliyokuwepo yalikuwa mazima.!!
 
Kama hizo fedha zipo, why not?. Viongozi wetu deserve the best that money can buy! Tena baada ya Lissu kushambuliwa, mimi nikashauri magari wote yawe ni armored.

P
Je nani alimshambulia Lisu?
Je kuna kiongozi yoyote wa serikali amewahi shambuliwa mithili ya Lisu? If no, why?
 
Back
Top Bottom