Valencia_UPV
JF-Expert Member
- Mar 31, 2016
- 6,974
- 8,750
Nikiangalia ndugu zangu wakiomba omba kwa matajiri wa Kihindi. Nachelea kusema majority hatuhitaji demokrasia Bali Chakula tushibe Kwanza. Haya ya kupiga Kura sijui tume huru ya uchaguzi yanataka watu washibe kwanza.
Kurasini, yupo tajiri anatoa msosi kila jioni (wali-maharage) hiyo nyomi mpaka aibu.
Burundi hawana demokrasia je hawana njaa? Uganda hawana demokrasia je hawana njaa?Afrika bado hata kuchakata data Ni changamoto