Afrika yagundua gari la umeme la bila kuchaji Marekani wagoma kulisajili halifwati kanuni za physics

Marekani wasajili kwani wameambiwa gari inauzwa Marekani?

Kama gari inauzwa nchini kwake na Africa inatosha wawapuuze Europeans kamwe Europeans hawatalikubali sababu itaua biashara zao
South Africa wanatengeneza magari ya kijeshi wanauza Marekani. Morocco wanaunda magari wanauza Ufaransa na Spain.

Nyinyi mpo hapa mnajiliza eti Mzimbabwe kakatazwa kibali cha kuunda gari na Marekani. Toyota, Suzuki, Honda, Volkwagen, Hyundai, BYD, GWM, Mitsubishi na makampuni chungu nzima duniani huwa yanalazimika kuomba ruhusa Marekani???

Kwa mtu anayejua Physics kidogo na economics kidogo anajua kabisa hizo porojo za Mzimbabwe ni pumba tu za kudanganya wehu.
 
Sijaona shida yeyote hapo ye atengeneze aanze na piki piki za mawimbi ya radio kwanza bei MILION 2 atuuzie sis hatutaki mambo ya physics Wala nn ili mradi chuma itembee moto moto tusombee matofali, Nguruwe tubebe na ma pic YESU NA MARIA mwambie anachelewa
 
Ndo yale ya dawa za asili eti mzungu kawanyima kibali inferiority complex.
Kama unatibu ukimwi,kansa si utibu tu uponye watu watakutangaza wenyewe
 
Awashe Sasa
 
Huyu jamaa ni muongo, mdanganyifu na tapeli kwa kiwango Abdul Samiah.
 
Huu ni uongo. Kuwa gari linatakiwa kusajiliwa marekani ndo litumike? Ujinga. Atengeneze mengi auze. Rahisi tu wala hamna haja ya kubabaisha babaisha. Atauza tu. Alikatie Haki/Hati Miliki. Hahitaji wamarekani wa li pitishe.
 
Waafrika wajinga sana.
 
Yaweza kuwa uongo ila nadhani kama ni ukweli shetani hatakubali.
 
Max akamate hati miliki ya huo uvumbuzi kabla akina tesla and co , wasije zalisha gari kama hilo wakadai lakwao
 
Kwahio kwanini wasitupe sisi huku au lisitumike Afrika ?!!! Yaani USA ndio wanatoa Leseni za Madereva huku kuendesha ?!!

Kwa hizi logic no wonder mpaka leo watu wanashikana uchawi... cura te ipsum (Physician, heal thyself..., Yaani Mtu unakufa na kiu alafu uniambie una dawa ya kubadilisha hewa kuwa maji.., Nikikuamini lazima nikapimwe akili.
 
Kama ni kweli angeweza kuuza hata idea yake kwao,hiyo yatosha kumpatia hela nyingi tu,,kuna wengi ufanya hivyo.
 
atengeneze, aendeshe yeye mwenyewe kama kwa mwaka hivi. watu wanaogopa sio unauzia watu afu linalipuka kama bomb, gari yenyewe ya umeme.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…