Bauntu asukile
JF-Expert Member
- Aug 17, 2020
- 324
- 442
Hua naona ni bora shishabikie Ufaransa kuliko hizi timu za waarabu ,,France ndio timu isiyokua na ubaguzi mtu yoyote anaenda bila shida..Huyo mchezaji amekuja kusakafia tu, lakini so many times Morocco hata viongozi wao na wananchi wa kawaida hawapendi kuitwa wa Africa, huyo mchezaji hakusema huu ushindi uende kwa wa Africa... Alisema Arabs na Muslims