Aftatu Thread, Tupigie picha aftatu yako muda huu tuione

Aftatu Thread, Tupigie picha aftatu yako muda huu tuione

IMG_20221112_222046.jpg
 
hili ndio chimbuko la msimu aftatu , sio yule jamaa wa Ntwala akiesema amepewa elfu tatu ya ushuru...

yule mzee akielalamika kutoa maiti mochwari ni milioni 2 ndie alisema anamkumbuka nyerere enzi zile angeitoa ile maiti kwa aftatu. tena akawa anatokwa chozi alipopewa juis akanyamaza hapohapo
Kama mwanangu.
Aniliaga ukumpa kitu anachokipenda anacheka hapo hapo kuku bado machoz yanashuka.
Mzee ananyonya juyc hapo mkavu ndan ya sekunde
 
Nadhani

Kuna jamaa wa kusini Lindi Mtwara. Kwenye video anaonekana yuko kwenye mkutano wa hadhara,akawa anamlalamikia mtu mbele ya mkutano. Akawa anatikisa sana maneno elfu tatu.

Anasema wewe fulani ulitoza ushuru wa 20000 ukanipa mimi elfu tatu kuniziba mdomo.

Akasema "kataa brza kama hukunipa elfu tatu"

Akaapa kiislam. Wabinlahi.....

Akalamba mchanga chini.
Ha ha ha,kumbe
 
Wana AFUTATU tu upate hii connection[emoji23] [emoji87][emoji87][emoji87]
20221113_092125.jpg
 
Back
Top Bottom