Sijakataa kwamba electric yenu ni kali kushinda diesel yetu, hiyo ni kweli kwamba electric siku zote ipo juu ya diesel lakini msiwe na nyege sana ya kuita kaelectric kenu bullet train a.k.a Shikansen. Hamjui maana halisi ya bullet train nyie.
Hako kadude kakiland kakiwa na kichwa cha bullet kama hiyo ya picha na pia kakuwe kanachomoka zaidi ya 200 km/h basi nitakupa elfu tano ya Kenya la si hivyo utatoka JF mwezi mzima
Hako kadude kakiland kakiwa na kichwa cha bullet kama hiyo ya picha na pia kakuwe kanachomoka zaidi ya 200 km/h basi nitakupa elfu tano ya Kenya la si hivyo utatoka JF mwezi mzima
Usije ukakimbua humu bro narudia kukwambia tena crusing speed ya sgr ni 160 to 200km per hr hio ninauhakika nayo ila full speed hawakutaja bado na kuhusu bullet train kaa mkao wa kula
Usije ukakimbua humu bro narudia kukwambia tena crusing speed ya sgr ni 160 to 200km per hr hio ninauhakika nayo ila full speed hawakutaja bado na kuhusu bullet train kaa mkao wa kula