After China terminated support for SGR Kenya, has signed agreements for phase III-V

Only 35% of Safaricom profit remains in Kenya! Go n look at urban shareholding structure.
65% nzima inakwenda nje kwa wenye mali zaoπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ kama vile kq profit ilivokua 5 yrs ago robo tatu inakwenda nje hehhehe
 
ukiskia mtu mzima anatoa povu la mwaka basi ndio hiliπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ nimecheka sana kushuhudia povu lilivomtoka puani
Hili povu la mwaka sio mchezo. Toka JF iwepo haijawahi tokea povu kama hiliπŸ˜€πŸ˜€
 
Rudia ivo bila kulia sasaπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
yani ujenzi unaendelea usiku na mchana tena kwa phase zote mbili 722 km wewe ulitaka tuamke tulale alaf ujenzi tayari???πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ punguzeni funza kichwani
 
Hakuna cha bure Hii dunia lazima madini yako kwenye dili hata mwanamke hapati chipsi mayai bure.
Hahaha mchina alijenga reli ya Tazara kutoka Dar hadi Zambia kiurafiki tu tena ni miaka ya 70 wakati na yeye hali si shwari kwa sasa kufanya anayofanya huku ni mambo madogo sana anarudisha fadhila tu sio kua na marafiki wanafiki kama Wakikuyu
 
Hahaha mchina alijenga reli ya Tazara kutoka Dar hadi Zambia kiurafiki tu tena ni miaka ya 70 wakati na yeye hali si shwari kwa sasa kufanya anayofanya huku ni mambo madogo sana anarudisha fadhila tu sio kua na marafiki wanafiki kama Wakikuyu
Madini aliyakula sawa sawa na atazidi tu kwa kuwa nyinyi ni wadanganyika.
 
Madini aliyakula sawa sawa na atazidi tu kwa kuwa nyinyi ni wadanganyika.
Huku si Kunya mnaoliwa ni nyie nchi yenu wenyewe mnaishi kama watumwa mambo hayaendi hadi mlambe miguu ya mabwana zenu mnabaki kua wapenzi watazamaji mtu kwenye nchi yake tu hata kakipande ka ardhi kanamshinda kumiliki
 
reli inafanywa final inspetion kabla kusafirishwa hadi juu ya matuta

 
Hiyo sio inspection
Hizo ni machine zakufunga boltsπŸ˜€πŸ˜€
hio ni mashini ya kupima kama tairi la reli linalengana na chuma cha reli...

anyway.... madaraja aka T-Beam s zawasili Mombasa kutoka kiwanda cha emali tayari zimedhaanza kuwekwa juu ya misingi...daraja hili litaunganisha SGR na kisiwa cha Mombasa



 
after China "terminated support" ya SGR kenya... matuta ya kuelekea Naivasha yazidi kukamilika
 
wacha kutudanganya Emali plant haina uwezo wa kutengeneza that kind of steel.
 
pale mwanzo simiti ya kujenga sleepers na T-beam ilikua inatoka china kwasababu simiti inayozalishiwa Ukanda huu sio heavy cement ya kujenga vitu vigumu ... lakini kwa sasa kampuni za simiti zilinunua mitambo ya kutengeneza simiti ya aina hio kwa standards ambazo zinakubalika na hao wachina....

ili kuhakikisha quality control wachina CRBC huchukua sampuli ya simiti hio mara kwa mara na kuifanyia testing ili kuhakikisha usawa ni ule ule

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…