๐Ÿ–๏ธ๐Ÿ๏ธAfter Corona Bash (Beach Party)๐Ÿ–๏ธ๐Ÿ๏ธ

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2009
Posts
76,107
Reaction score
160,001
Nampongeza sana Rais kwa kuishinda Vita dhidi ya Coronavirus COVID-19, pia nampongeza sana Paul Makonda Mkuu wetu wa mkoa wa kihistoria kutokea tangu tupate Uhuru.

Jumapili ni siku rasmi ya kufungulia mbwa, mabaa, madisco, vigodoro na kila aina ya starehe iliyoadimika kwasababu ya Coronavirus COVID-19, basi jumapili ni siku ya kufanya kufuru.

Jamani ehhh...... Tafuteni wenzi, starehe za watu singo zitasababisha uhaba wa sabuni na matango Mjini.

Karibuni kwenye Beach Party yangu ya nguvu ninayoiandaa Coco Beach.

Njoo na ufagio wako na mpenzi wako aje na wake. Baada ya party tusafishe ufukwe wetu na kuacha ukiwa msafi kabisa.
Karibuni sana
 
.

Jr[emoji769]
 
Tunaruhusiwa kuvaa barakoa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ