๐Ÿ–๏ธ๐Ÿ๏ธAfter Corona Bash (Beach Party)๐Ÿ–๏ธ๐Ÿ๏ธ

Tusitishane, BASHITE ni spika tu, mtangazaji mwenyewe yupo
 
Hehehe!! Abaki huko huko maana tu yaani...huyo siju mnamuita mara Daudi Albert Bashite....
Magu ni Rais BASHITE ni Mfalme, maana BASHITE hagombezwi, hakanywi, anafanya atakalo na asemalo na Magu anatii.
Juzi BASHITE kasema mlioenda vijijini kujificha Coronavirus rudini, jamaa akawasha magari, amerudi ikulu
 
Nasisitiza atakaefanya maovu hiyo siku...Atajiharibiaa mjue.
 
Mimi nitakuwepo kupiga picha za "jinsi walivyokua kabla ya..."
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ