Hao ni wakenya wenzio acha kuwakanya!NGOs ndio zile sizonje anawapiga vita huko kwenu, maana huwa wana unafiki. Hivyo mara nyingi wametiachia mzigo lakini kwa sababu tuna hela nyingi, tunawalisha wote, kumbuka hata omba omba wa Tanzania waliojaa huku tunawalisha pia.
[emoji23] [emoji23] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]wakati wapo kwenye kilele chao cha umaarufu,walikuja kutalii kenya?.....kama walikuja,tupe uthibitisho.
Hao ni wakenya wenzio acha kuwakanya!
Kuna sehemu nimekupa link zinazohamasisha michango ya chakula kenya, au unataka nizilete na hapa uone tena mnavochangiwa chakula?
A person who says something is impossible should not interrupt the person who is doing it.
View attachment 545657 kaka roho mbaya itakuua Harrison ford bado yupo kwenye prime hadi hii leo... Poleni sana wakenya nyie huwa hamtutakii mema
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha kuzunguka, suala ni kwambaa, at national level, kenya produces insufficient food! Hapa ndipo mnapoanzia kushindwa!Ndio nimekuambia kwa sababu tuna mamilioni ya wakimbizi ambao hata wengine hawajasajiliwa, sasa tunakua na changamoto za kuwalisha wote maana kuna wale wamejimix ndani ya watu wetu kule kwenye maeneo kame. Hiyo inachangia kwa watu wetu kuadhirika huko pia, lakini kwamba tuna hela nyingi hivyo tunawasaidia wote.
Acha kuzunguka, suala ni kwambaa, at national level, kenya produces insufficient food! Hapa ndipo mnapoanzia kushindwa!
Laiti kama mngekuwa mnazalisha cha kutosha, suala la wakimbizi (ambao hata Tanzania wapo) lingekuwa dogo sana wala msingekuwa mnanunua kila siku chakula!
A person who says something is impossible should not interrupt the person who is doing it.
Hili ndo nasema kila sikuna kuwapa mifano, ni aibu tena aibu kubwa sana kwa nchi mnayojiita yenye uchumi mkubwa kukubwa na njaa kisa eti jangwa!Kwa sababu nchi yetu asilimia kubwa ni kame, hivyo sehemu iliyopo na rutuba tunakuza sana mazao yenye kuleta hela maana kawaida tukiwa na hela tunanunua mahindi na vyakula vingine. Hivyo mlime nyie tule sisi, lakini muda huu mlizembea hivyo hela zetu zinawaendea Wwazambia maana hao wanajituma balaa.
YNWA.Povuuuuuuu. Huyu je Mamadou Sakho mchezaji wa Liverpool na France national team. Zanzibar?View attachment 544943 View attachment 544946 View attachment 544950
Hatujui biashara mkuu hili halina ubishi, ingekuwa vivutio vyetu viko kwa manyang'au mngekuwa mbali sanaDah jamaa kazeeka kweli, bado yupo?? Nakumbuka nikiwa mdogo kwenye video za mtaani nilivyokua napenda movie zake pamoja na akina Govinda, Mithun, Anil Kapoor, Shakti Kapoor n.k.
Movie yake ya Taaqatwar ambayo waliicheza na Govinda miaka ya 80s ndio sijasahau hadi leo.
Haya hongereni, ila mbona hamuwavutii wakati wakiwa wananoga kwenye taaluma zao, sasa wamezeeka na wamefulia na hawatambuliki tena, watu kama akina Harrison Ford, Arnold Schwarzenegger n.k. taratibu wanapotea.
We nae wivu upo kwenye damu, pole sana mtani na mtaumia sana, kuja ni kuja tu mtani aje kijana aje Mzee kaja, hawaji "kuona" wanakuja "kuangalia" [emoji1] [emoji1] [emoji1]Dah jamaa kazeeka kweli, bado yupo?? Nakumbuka nikiwa mdogo kwenye video za mtaani nilivyokua napenda movie zake pamoja na akina Govinda, Mithun, Anil Kapoor, Shakti Kapoor n.k.
Movie yake ya Taaqatwar ambayo waliicheza na Govinda miaka ya 80s ndio sijasahau hadi leo.
Haya hongereni, ila mbona hamuwavutii wakati wakiwa wananoga kwenye taaluma zao, sasa wamezeeka na wamefulia na hawatambuliki tena, watu kama akina Harrison Ford, Arnold Schwarzenegger n.k. taratibu wanapotea.
Jirani usijifanye hamnazo kwamba hujui ameongea nini? Au la mkosaji?Hehehehe!! A movie star anayesifika na kubobea ana save hela kwa muda mrefu kusudi aweze kutembelea Tanzania siku moja....
Halafu eti ni ndoto yao tangu wakiwa wadogo, hivi unajua Tanzania imeanza kusikika juzi baada ya juhudi za rais Kikwete kuzunguka dunia. Hapo awali ilikua inatajwa hizi 'Tanzania a country to the south of Kenya' ili ilete picha ya wapi ilipo.
tungekuwa this...tungekuwa that....endeleeni kuwaza "mngekuwa".Huyu mzee bado yupo? Mbona wanakuja wakati wameishiwa, kesho tutaanza kuona akila Silvester Stallone, Arnold Schwarzenegger.... Mnafaa kuomba msaada jinsi ya kuwaleta watu kama Tom Cruise, Mark Wahlberg n.k. Tungekua na robo ya raslimali mlizo nazo, mastar wote wangekua wanakuja kila mwezi, lakini kwa jinsi mlivyo wazembe mnaishia kuwavutia jamaa wakati wameishiwa.
Acha fujo Kiongozi......... hivi ninyi Nairobi si iko ndani ya park.... Nairobi ina sq km ngapi tena?????????Hehehehe!! A movie star anayesifika na kubobea ana save hela kwa muda mrefu kusudi aweze kutembelea Tanzania siku moja....
Halafu eti ni ndoto yao tangu wakiwa wadogo, hivi unajua Tanzania imeanza kusikika juzi baada ya juhudi za rais Kikwete kuzunguka dunia. Hapo awali ilikua inatajwa hizi 'Tanzania a country to the south of Kenya' ili ilete picha ya wapi ilipo.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]tungekuwa this...tungekuwa that....endeleeni kuwaza "mngekuwa".
ndio basi tena,Mungu kawanyima baadhi ya vitu,katupa sisi....nyinyi endeleeni kuviota tu.[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Haha [emoji23] aisee, Muumba ndio kisha maliza hivyo. Asiye na mwana, akimbilie jiwe.tungekuwa this...tungekuwa that....endeleeni kuwaza "mngekuwa".
ndio basi tena,Mungu kawanyima baadhi ya vitu,katupa sisi....nyinyi endeleeni kuviota tu.[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hehehetungekuwa this...tungekuwa that....endeleeni kuwaza "mngekuwa".
ndio basi tena,Mungu kawanyima baadhi ya vitu,katupa sisi....nyinyi endeleeni kuviota tu.[emoji23] [emoji23] [emoji23]