MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 32,408
- 50,809
Tusaidieni unga
Inabidi msaidiwe sio uwongo maana ripoti ya Twaweza ilionyesha asilimia 78% ya watu wenu mnalala njaa... Tatizo hamuna hela ya kununua mahindi kama sisi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tusaidieni unga
Mahindi kutoka Zambia yamefika?Inabidi msaidiwe sio uwongo maana ripoti ya Twaweza ilionyesha asilimia 78% ya watu wenu mnalala njaa... Tatizo hamuna hela ya kununua mahindi kama sisi.
Mahindi kutoka Zambia yamefika?
A person who says something is impossible should not interrupt the person who is doing it.
Usishangae mwezi September mkaja kununua hapa kiasi kama hicho ila kwa gharama mara dufu!Hayo yasikupe wasiwasi maana hayawahusu, mlizembea hadi hela zimewaendea Wazambia. Najua mumetia akili na msimu mwingine mtakua na bidii maana leo hii asilimia 78% mnalala njaa.
Usishangae mwezi September mkaja kununua hapa kiasi kama hicho ila kwa gharama mara dufu!
By the way watu wanakufa huko so lazima niulize
A person who says something is impossible should not interrupt the person who is doing it.
Tumezee mate akat si tuna stock?Kama mkijituma tutawapa visenti, lakini kwa sasa hela zinawaendea wenye bidii kule Zambia. Mbaya zaidi yanapita Tanzania mkimezea mate...
Tumezee mate akat si tuna stock?
Kupita tz mpaka Ile ban iondolewe, la sivyo pelekeni Durban
A person who says something is impossible should not interrupt the person who is doing it.
Akili yenu itakuwa haina akili! tungekuwa na huo upungufu mngeleta bakuli lenu kuomba kuuziwa chakula?Mnameza mate maana utafiti umeonyesha asilimia 78% mnalala njaa, na juzi tu mlikua mnawabembeleza Malawi wawauzie mahindi, hatujui wapi kwengine mlienda kimya kimya.
Kupita yanapita maana kwa umaskini wenu lazima mhitaji vijisenti vya transit.
Akili yenu itakuwa haina akili! tungekuwa na huo upungufu mngeleta bakuli lenu kuomba kuuziwa chakula?
Ha ha haaaa unachekesha sana! Nyie hapo mmepewa msaada narudia tena msaada na China, united Arab Emirates! Sisi tumejitosheleza!
Mpaka sasa jumuiya ya kimataifa inahamasisha watu kuchangia chakula kuwaokoa na kifo, hebu ingia hapa uone
Urgent Aid for Kenya-- Food, Supplies, and Support
How your donations are making a difference in Kenya
Mnapewa msaada mpaka na wacheza kamali Betting company donate Sh250, 000 relief food to hunger stricken families | Kenya News Agency
A person who says something is impossible should not interrupt the person who is doing it.
Imekuingia hiyo[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ndio maeneo kame na jangwa au semi-arid and arid areas kumekua na changamoto za kuwafikia, haswa kwamba huko pia ndio tuna wakimbizi wengi sana kutokea Sudan ya Kusini, Ethipia, na Somalia, hivyo inaeleweka wakati inapobidi mashirika yatoe misaada.
Sasa nyie kwa liinchi likubwa ambalo halina hata eneo moja kame, lakini 78% mnalala njaa japo kimya kimya na ni hatia kutanganza njaa, hivyo hatujui mnakufa wangapi maana yote kimyaaaaa!!!
Imekuingia hiyo[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Sasa unaanza kululamikia jangwa ha haaaaaaa Si mnajiita uchumi mkubwa? Mnashindwa hata kumwagilia mazao,
Angalia Egypt, Algeria, ni jangwa tupu, lakini hawajui njaa ni kitu gani! Nyie hapo mnazidi kuombeleza kwa maskini sisi kila siku!
Bora sisi ni maskini tunajidhatiti na umaskini wetu hatuna njaa!
A person who says something is impossible should not interrupt the person who is doing it.
Acha kuongopa hapa! Hicho chakula mnachonunua wakimbizi hawakioni! Hao wanapewa na NGOsHela zetu na ubunifu ndio zinatuwezesha kuwalisha Wasudan, Waethiopia na Wasomali na pia Wakenya waliopo kwenye maeneo ya jangwa.
Nyie hapo 78% hamna jinsi wala nini maana kwenye nchi maskini ya wazembe.
Kulikua na wachezaji wengi sana ambao nilikua napenda movie zao kama, Sanny Diol, Akshay kumar,Sharakhu Khan, Bobby Diol, Salman Khan, Shunil Shetty, Amrish Puri na wengine wengiDah jamaa kazeeka kweli, bado yupo?? Nakumbuka nikiwa mdogo kwenye video za mtaani nilivyokua napenda movie zake pamoja na akina Govinda, Mithun, Anil Kapoor, Shakti Kapoor n.k.
Movie yake ya Taaqatwar ambayo waliicheza na Govinda miaka ya 80s ndio sijasahau hadi leo.
Haya hongereni, ila mbona hamuwavutii wakati wakiwa wananoga kwenye taaluma zao, sasa wamezeeka na wamefulia na hawatambuliki tena, watu kama akina Harrison Ford, Arnold Schwarzenegger n.k. taratibu wanapotea.
Hiyo shughuli inafanywa na unhcr sio serikali sababu unaongea kama Tanzania napo hakuna wakimbizi,Hela zetu na ubunifu ndio zinatuwezesha kuwalisha Wasudan, Waethiopia na Wasomali na pia Wakenya waliopo kwenye maeneo ya jangwa.
Nyie hapo 78% hamna jinsi wala nini maana kwenye nchi maskini ya wazembe.
Hiyo shughuli inafanywa na unhcr sio serikali sababu unaongea kama Tanzania napo hakuna wakimbizi,
Sikujua kama Kenya mnazungusha bakuli kuomba msaada hahaha tena wa mahindi Duh aise mna hali mbaya Mexico pamoja na kuwapa mahindi ya mifugo lakini bado njaa zinawaua poleni sana
Acha kuongopa hapa! Hicho chakula mnachonunua wakimbizi hawakioni! Hao wanapewa na NGOs
A person who says something is impossible should not interrupt the person who is doing it.
wakati wapo kwenye kilele chao cha umaarufu,walikuja kutalii kenya?.....kama walikuja,tupe uthibitisho.Dah jamaa kazeeka kweli, bado yupo?? Nakumbuka nikiwa mdogo kwenye video za mtaani nilivyokua napenda movie zake pamoja na akina Govinda, Mithun, Anil Kapoor, Shakti Kapoor n.k.
Movie yake ya Taaqatwar ambayo waliicheza na Govinda miaka ya 80s ndio sijasahau hadi leo.
Haya hongereni, ila mbona hamuwavutii wakati wakiwa wananoga kwenye taaluma zao, sasa wamezeeka na wamefulia na hawatambuliki tena, watu kama akina Harrison Ford, Arnold Schwarzenegger n.k. taratibu wanapotea.
Dah jamaa kazeeka kweli, bado yupo?? Nakumbuka nikiwa mdogo kwenye video za mtaani nilivyokua napenda movie zake pamoja na akina Govinda, Mithun, Anil Kapoor, Shakti Kapoor n.k.
Movie yake ya Taaqatwar ambayo waliicheza na Govinda miaka ya 80s ndio sijasahau hadi leo.
Haya hongereni, ila mbona hamuwavutii wakati wakiwa wananoga kwenye taaluma zao, sasa wamezeeka na wamefulia na hawatambuliki tena, watu kama akina Harrison Ford, Arnold Schwarzenegger n.k. taratibu wanapotea.