Afumwa akifanya mapenzi ofisini

Kuwa Boss raha.....mi nawagongaga kweli maana wanachekacheka sanaaaa
 
Hamna Wa kunigongea.
.
Maana watu wananiogopa maana nishawahi kumuua mmoja....
Jidanganye tu, wanawake tuna akili sana..tukichepuka tunakuwa makini sana kuliko nyinyi so huwezi jua utabaki kujisifu tu bure but ukitoka tu watu wanajigongea tu.
 
Jidanganye tu, wanawake tuna akili sana..tukichepuka tunakuwa makini sana kuliko nyinyi so huwezi jua utabaki kujisifu tu bure but ukitoka tu watu wanajigongea tu.
Sijawahi....maana mapenzi nayajua.....
 

Sishabikii uzinzi maana karibu dini zote zinakataza jambo hilo isipokuwa dini moja inasema iwe hivyo kwa dharura lakini siyo ofisini. Hekima yangu inanituma kuwa mtoa mada ni mshikaji wa bosi huyo mwizi wa wake za wenyewe, na ndiye uliyepeleka taarifa kwa mume wa huyo mama mzinzi. Dini moja inaasa kuwa "heri wapatanishi". Inasikitisha maana ndoa ya watu imeshavunjika na bosi hana kazi! Huruma kwa wanao wategemea wakora hawa.
 
Hahahahaha! Eti heri wapatanishi..eti mleta mada ana...wewe una akili kweli? Vipi kuhusu wazushi vitabu vya dini vya semaje? Utakua umepunguza akili bar wewe..jipange lala pombe ikutoke then rudi tena.
 
Watu wana hatari jamani!! ivi unavuaje nguo ukafanya mambo mabaya kazini na una mume nyumbani...?

Mbona unaangalia upande mmoja wa aliyevua ili hali ana mume kwake? Na huyu bosi? Atakuwa hana mke kwake? Lakini, kwanini ofisini? Nway, utamu wa chakula ukila njaa inapokushika.
 
Hahahahaha! Eti heri wapatanishi..eti mleta mada ana...wewe una akili kweli? Vipi kuhusu wazushi vitabu vya dini vya semaje? Utakua umepunguza akili bar wewe..jipange lala pombe ikutoke then rudi tena.

hahaha! Hakika umenifurahisha sana kwasababu nilitegemea hilo kutoka kwako. Kama uliweza kumchomea utambi mshindani wako kwa bosi utashindwa kuniambia mimi nimepunguza akili bar? Poa, ngoja nikalale kidogo. Nikija tutapanga ila ya kwetu si ofisini. Bosi kakuabisha.
 
Pole
 
sasa @ monica na wewe ukawa waendelea kuangalia muvie jamaa alipowalazimisha waendeleee? au ulitoka mbio? tell me movie ilikuwaje?...............
 
sasa @ monica na wewe ukawa waendelea kuangalia muvie jamaa alipowalazimisha waendeleee? au ulitoka mbio? tell me movie ilikuwaje?...............
Hahahahaha! Shauku ya macho kuona na masikio kusikia..na mwenye macho haambiwi tazama...
 
Hahahahaha! Shauku ya macho kuona na masikio kusikia..na mwenye macho haambiwi tazama...
ha ha ha ha naona muvi bado inatembea kichwani kwako.......bahati yako umeona live porn kati ya mandingo na cheriokee
 
ha ha ha ha naona muvi bado inatembea kichwani kwako.......bahati yako umeona live porn kati ya mandingo na cheriokee

mlioshuhudia hyo mechi live vp,wachezaji walikuwa wanauweza mchezo husika?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…