zegamba180
JF-Expert Member
- Oct 8, 2014
- 820
- 541
Inawezekana jamaa alikuwa anatrack mawasiliano ya mkewe. You never know!MKUU hii in stori ya kutunga tu - hakuna ukweli wowote. What a coincident - mumewe kuingia ofisi kwa Mkewe kakuta hayupo - kaomba msaada wa kupelekwa ofisi kwa bosi wake,narudia - ofisini sio nyumbani kwa bosi au Hotelini - kakuta mlango wa Bosi umerudishiwa tu haujafungwa ili yeyote anayetaka kuangalia senema ya bure ruksa!!!
Bosi baada ya kuwakuta sijui kwenye meza, sakafuni au kwenye makochi ya ofisini kawalazimisha kwa mtutu wa bunduki wagoni waendelee na shughuli yao kama kawa - Mara mumewe huyoo katokomea kusiko julikana baada ya kuhakikisha wabaya wake wanaendelea na ndomboro ya soro!!! Hii stori wapi na wapi??
Swali kwa wanaume: ukishikiwa bastola bado dushe inaweza kufanya kazi? Yaani network inakuwa H+?
Pole yake bidada..km ndio mie home sirudi. Na huyo boss lazima anioe hata kwa nguvu.
Mkuu stori hii ni ya kweli nilikuwa nahitaji huduma ya bima ya gari Leo nikapita mahali fulani nikakuta ndo habari ya mjini, nimeshangaa kuikuta imesharushwa jfMKUU hii in stori ya kutunga tu - hakuna ukweli wowote. What a coincident - mumewe kuingia ofisi kwa Mkewe kakuta hayupo - kaomba msaada wa kupelekwa ofisi kwa bosi wake,narudia - ofisini sio nyumbani kwa bosi au Hotelini - kakuta mlango wa Bosi umerudishiwa tu haujafungwa ili yeyote anayetaka kuangalia senema ya bure ruksa!!!
Bosi baada ya kuwakuta sijui kwenye meza, sakafuni au kwenye makochi ya ofisini kawalazimisha kwa mtutu wa bunduki wagoni waendelee na shughuli yao kama kawa - Mara mumewe huyoo katokomea kusiko julikana baada ya kuhakikisha wabaya wake wanaendelea na ndomboro ya soro!!! Hii stori wapi na wapi??
PesaWatu wana hatari jamani!! ivi unavuaje nguo ukafanya mambo mabaya kazini na una mume nyumbani...?
Tutakuwa tumekutana wote wazinzi. Tutavumiliana uzinzi wetuNdoa za kulazimisha siku zote hazifai, utakua umekubali kuolewa na na mzinzi mwenzako hivyo na wewe jiandae kufumania@
Hujaelewa mkuu kagonga bosi[emoji13]Sasa Monicca uliingia bila kugonga?
Sasa huyo unayemwambia haikutoshi na yeye hana uwezo wa kukutosha itasakusaidia nini?Sijui anakua hatoshelezwi na kusema anaogopa,mie nasema kama hainitosha nasema bila ki gugumizi..
Pesa yeye si anafanya kazi hazimtoshi...Pesa
Duh! Hio camera ina mega pixel ngapi?
Haiwezekani kua hawezi bana,mie lazima nimsaidie na yeye anisaidie as simple as that...Sasa huyo unayemwambia haikutoshi na yeye hana uwezo wa kukutosha itasakusaidia nini?
Secretary ndiyo alikuwa analiwaHuyo Boss hana secretary wake ? Amekuja mtu bila appointment anaingia moja kwa moja kwenye office ya boss ??
Acha kukoti basi aiseeSiamini kama kuna mtu ana ujasiri wa kushimamisha katika situation hiyo, kafumaniwa + kashikiwa bastola + watu wanamuangalia basi ni porn star huyo