Afumwa akifanya mapenzi ofisini

Afumwa akifanya mapenzi ofisini

Hii habar yaweza kuwa kweli kabisa. Cjaona kisichowezekana. Pole yake bi mdada, kwan boss kwa mkewe shwari
 
Huyo Boss hana secretary wake ? Amekuja mtu bila appointment anaingia moja kwa moja kwenye office ya boss ??
 
MKUU hii in stori ya kutunga tu - hakuna ukweli wowote. What a coincident - mumewe kuingia ofisi kwa Mkewe kakuta hayupo - kaomba msaada wa kupelekwa ofisi kwa bosi wake,narudia - ofisini sio nyumbani kwa bosi au Hotelini - kakuta mlango wa Bosi umerudishiwa tu haujafungwa ili yeyote anayetaka kuangalia senema ya bure ruksa!!!

Bosi baada ya kuwakuta sijui kwenye meza, sakafuni au kwenye makochi ya ofisini kawalazimisha kwa mtutu wa bunduki wagoni waendelee na shughuli yao kama kawa - Mara mumewe huyoo katokomea kusiko julikana baada ya kuhakikisha wabaya wake wanaendelea na ndomboro ya soro!!! Hii stori wapi na wapi??
Inawezekana jamaa alikuwa anatrack mawasiliano ya mkewe. You never know!
 
Swali kwa wanaume: ukishikiwa bastola bado dushe inaweza kufanya kazi? Yaani network inakuwa H+?
Pole yake bidada..km ndio mie home sirudi. Na huyo boss lazima anioe hata kwa nguvu.

Ndoa za kulazimisha siku zote hazifai, utakua umekubali kuolewa na na mzinzi mwenzako hivyo na wewe jiandae kufumania@
 
MKUU hii in stori ya kutunga tu - hakuna ukweli wowote. What a coincident - mumewe kuingia ofisi kwa Mkewe kakuta hayupo - kaomba msaada wa kupelekwa ofisi kwa bosi wake,narudia - ofisini sio nyumbani kwa bosi au Hotelini - kakuta mlango wa Bosi umerudishiwa tu haujafungwa ili yeyote anayetaka kuangalia senema ya bure ruksa!!!

Bosi baada ya kuwakuta sijui kwenye meza, sakafuni au kwenye makochi ya ofisini kawalazimisha kwa mtutu wa bunduki wagoni waendelee na shughuli yao kama kawa - Mara mumewe huyoo katokomea kusiko julikana baada ya kuhakikisha wabaya wake wanaendelea na ndomboro ya soro!!! Hii stori wapi na wapi??
Mkuu stori hii ni ya kweli nilikuwa nahitaji huduma ya bima ya gari Leo nikapita mahali fulani nikakuta ndo habari ya mjini, nimeshangaa kuikuta imesharushwa jf
 
Mmh sio Chai hii kweli,? Anyway uje na mrejesho
 
Ndoa za kulazimisha siku zote hazifai, utakua umekubali kuolewa na na mzinzi mwenzako hivyo na wewe jiandae kufumania@
Tutakuwa tumekutana wote wazinzi. Tutavumiliana uzinzi wetu
 
Monicca nae ni jipu, pia una sehemu ya ushiriki wa hii , ofisini kwa boss Kama hakuna PS si unagonga kwanza hadi uruhusiwe kuingia ndipo uingie.
 
Back
Top Bottom