John W. Mlacha
JF-Expert Member
- Oct 4, 2007
- 3,504
- 1,342
Kwenye stori za kutunga huwezi kukumbuka killa kituMlango wa ofisi haukufungwa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwenye stori za kutunga huwezi kukumbuka killa kituMlango wa ofisi haukufungwa?
Heading ipo sahihi ke kafumwa na mume. Maana me ndiye mlengwaRekebisha basi heading isome wamefumwa, ukisema afumwa inakua kama vile kafumwa akifanya hilo tendo peke yake.
Inapofika 40 hakuna ujanja mkuuMazingira kama hayo ni lazima mlango kufungwa pia mtu ukishikwa ugoni lazima bunduki isizi huwez endelea......naomba niwe pekee wa kutokuamin ukichoandika otherwise further revealition
Teh Teh.....@miss chagga katika ubora wakeKuna watu wakishtuka wakiwa kwenye hatari akiwa na hasira boro ndiyo linasimama
Hhaaaaa....apo kisingizio kitakuwa "shetani amempitia"Nadhani anatamani hako kauke kawe kaume
Mnh..hiyo avatar inatia hamasa kwelikweli.Umenisaidia thank you.
Ha ha kama kampitia shetani si angekataa kwenda nae.. Khee kuna watu wanatake risk sanaHhaaaaa....apo kisingizio kitakuwa "shetani amempitia"
swali linakuja "huyo shetani kila siku anampitia yeye?"
Ni kweli lakinTeh Teh.....@miss chagga katika ubora wake
Unaonekana mtamu sana, jiandae na wewe maana huyo boss inaonesha hataki mchezo kabisa.Hamasa ya nin tena mkuu
Mazoea yana tabu sana aisee...inaonekana ni mchezo wao wa muda mrf hata baadhi ya mambo wanapuuzia kuchukua tahadhari.Huu ni uongo wa mchana kweupe....how come huyo boss afanye hivyo bila hata kufunga mlango..?
Sasa tungepataje story za kuadisia huku hapa nimeshavaa uhusika natwanga umbea kama nilikuwepo.. Mwache moniccaKwa hiyo Boss wako kashajua ID yako unayotumia huku
Na huyo kama ni shoga yako iweje uje kumuanika hadharani?
Sasa hapo ndipo hunichanganya aiseeee.....[emoji25]Matatizo ya kuoa Baby malaya ndiyo hayo
Monii kimbia ile harusi itaota mabawaKheee wee vipi? Hapa stori tu kula kila mtu kwake