Fisherscom
JF-Expert Member
- Mar 13, 2008
- 1,763
- 766
....eti kama vile nawe unamsubiri bosi amalize kazi humo ofisini uingie weweHamasa ya nin tena mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
....eti kama vile nawe unamsubiri bosi amalize kazi humo ofisini uingie weweHamasa ya nin tena mkuu
Sawa mtaniWala usiwe na shaka mtani wangu ataishia kula kwa macho
Sasa tungepataje story za kuadisia huku hapa nimeshavaa uhusika natwanga umbea kama nilikuwepo.. Mwache monicca
Acha tuHahah...upele umempata mwenye kucha..
Acha tu
Hizi ni porojo tu Mkuu!Bosi nae kiboko kufumaniwa kote huko bado kaweza kuendelea na mzigo.. Haikunywea?
Nilicho jifunza picha imeunguzwa na mtego umetegwa ukanasa.Huyo Boss hana secretary wake ? Amekuja mtu bila appointment anaingia moja kwa moja kwenye office ya boss ??
Waende lodge kupoteza muda? Siku hizi mambo yote yanaishia maofisini.Hii ni shida hadi ofisini
Ukiona hivyo ujue kuna MTU ananyongwaHalafu sikuoni maeneo sana siku hizi...
Ndio ndoa ishaingia DOA na aibu juu.....Ha ha kama kampitia shetani si angekataa kwenda nae.. Khee kuna watu wanatake risk sana
Huyo Boss hana secretary wake ? Amekuja mtu bila appointment anaingia moja kwa moja kwenye office ya boss ??