Afumwa akifanya mapenzi ofisini

Afumwa akifanya mapenzi ofisini

Dada hana kifua..kwanini kajiua? Mimi sijiui..bora nihame mji nikaanze maisha pengine hata kama ni kijijini. Hana watoto huyu dada? Bado sijawaacha wanangu aisee
 
Mrejesho.

Mwanamke aliyefumaniwa na mumewe Leo asubuhi amekunywa sumu kujaribu kujiua kuepuka aibu.

Alitoka ofisini mida ya saa tano baada ya baadhi ya staff kumshauri akatafute wazee aende nao wakamuombee msamaha kwa mumewe.

Badala yake alikwenda kwa dada yake akiwa tayari kanunua vidonge ambavyo idadi yake haikufahamika, alipofika kwa Dada yake maeneo ya sinza alimkuta msichana wa kazi tu maana Dada yake ni muajiriwa.

Alimuagiza amletee safari dukani kisha akainywa na kumeza vidonge.

Kwa mujibu wa Dada wa kazi baada ya kunywa alikwenda kulala huku yeye akiendelea kuandaaa chakula.

chakula kilipokuwa tayari alikwenda kumuasha ili ale ndipo akakuta anakoroma huku povu latoka mdomoni, akaomba msaada kwa majirani wakamkimbiza hospital mida ya saa kumi.

Hivi ninavyozungumza amekimbizwa hospital kwa matibabu zaidi.


X x x x x x x x x x x x x x


Wandugu habari za kazi,
Natumaini mpo poa na mnaendelea kuchapa kazi kwa maaendeleo ya taifa letu.

Leo kumetokea kituko cha mwaka ofisi kwetu yaani mpaka dakika hii bado ni gumzo.

Kuna mdada nafanyanae kazi hapa ni mtu mzima ameolewa na ana watoto wawili.

Chakushangaza leo namuona mumewe kaja ofisini bila taarifa akamuulizia mkewe, kipindi hicho mkewe alikuwa ametoka Ila hakuna aliyejua alipokuwa. Baada ya sisi kumjibu jamaa hatujui mkewe alipo, jamaa akaniomba nimpeleke kwa bosi kwani anashida nae nikampeleka, Ile kuingia tu namkuta bosi anakula uroda na mke wa jamaa, jamaa kuona vile alibutwaa kama dakk kadhaa akawaamuru waendelee kupeana raha, wakati wanashaanga hawataki kuendelea jamaa akatoa bastola akawamuru waendelee vinginevyo atawaua kuona bastola bosi ikabidi aendelee kula mzigo, jamaa akawapiga picha then akaita staff waje kushuhudia uchafu ule.

kwakweli sikuamini nilichokiona, siyo siri staff nzima imejionea..jamaa alipomaliza kupiga picha akaingia kwenye gari lake akaenda zake. Huku ameacha mtafaruku wa Hali ya juu, namuonea huruma sana shoga yangu sijui kama anandoa tena. Nitawajuza kitakachojiri baada ya hapa.
Stori la kutunga. Ninavyojua bongo wapenda udaku ingeshaenea kwenye mitandao yote na magazeti.
 
Dada hana kifua..kwanini kajiua? Mimi sijiui..bora nihame mji nikaanze maisha pengine hata kama ni kijijini. Hana watoto huyu dada? Bado sijawaacha wanangu aisee
Ana watoto wawili
 
moniccca huyo boss hana secretary? Hiyo ofisi yenu ni Tigo au, kuna Uzi wao humu!? Mana humu zishakuja story za staff wa Tigo kufanyana saa za kazi!
 
Du hiyo ni aibu ya karne na hatakuja kusahau katika maisha yake kwa kile kilichotokea na kibaya zaidi kitaadhiri maisha yake asipoangalia au asipopata tiba ya wataalam wa maswala ya psychologia atakuwa na matatizo ya akili.

Kwa upande mwingine sijapenda kwa jinsi ulivyomwanika hapa Jukwaani mtu ambae mmefanya nae mengi na mmesaidiana kwa mengi pia, na kwa taarifa yako hata kama tunatumia Id fake atakuja kukujua na kuzidi kujenga chuki kwako.

Najua tu taarifa hizo zingevuja tu lkn usiwe chanzo cha kumsambazia taarifa staff mwenzio.

Kuna mdau hapa kujwaani alikuja na uzi wa stuff mwenzao kupanda vyeo kila mara kisa mdada kuwa na mahusiano ya Mapenzi na boss wa compuni na hayo ndio madhara yake maana boss ndio anakuwa na uwezo wa kumtumia agenda vyote.
 
Mrejesho.

Mwanamke aliyefumaniwa na mumewe Leo asubuhi amekunywa sumu kujaribu kujiua kuepuka aibu.

Alitoka ofisini mida ya saa tano baada ya baadhi ya staff kumshauri akatafute wazee aende nao wakamuombee msamaha kwa mumewe.

Badala yake alikwenda kwa dada yake akiwa tayari kanunua vidonge ambavyo idadi yake haikufahamika, alipofika kwa Dada yake maeneo ya sinza alimkuta msichana wa kazi tu maana Dada yake ni muajiriwa.

Alimuagiza amletee safari dukani kisha akainywa na kumeza vidonge.

Kwa mujibu wa Dada wa kazi baada ya kunywa alikwenda kulala huku yeye akiendelea kuandaaa chakula.

chakula kilipokuwa tayari alikwenda kumuasha ili ale ndipo akakuta anakoroma huku povu latoka mdomoni, akaomba msaada kwa majirani wakamkimbiza hospital mida ya saa kumi.

Hivi ninavyozungumza amekimbizwa hospital kwa matibabu zaidi.


X x x x x x x x x x x x x x


Wandugu habari za kazi,
Natumaini mpo poa na mnaendelea kuchapa kazi kwa maaendeleo ya taifa letu.

Leo kumetokea kituko cha mwaka ofisi kwetu yaani mpaka dakika hii bado ni gumzo.

Kuna mdada nafanyanae kazi hapa ni mtu mzima ameolewa na ana watoto wawili.

Chakushangaza leo namuona mumewe kaja ofisini bila taarifa akamuulizia mkewe, kipindi hicho mkewe alikuwa ametoka Ila hakuna aliyejua alipokuwa. Baada ya sisi kumjibu jamaa hatujui mkewe alipo, jamaa akaniomba nimpeleke kwa bosi kwani anashida nae nikampeleka, Ile kuingia tu namkuta bosi anakula uroda na mke wa jamaa, jamaa kuona vile alibutwaa kama dakk kadhaa akawaamuru waendelee kupeana raha, wakati wanashaanga hawataki kuendelea jamaa akatoa bastola akawamuru waendelee vinginevyo atawaua kuona bastola bosi ikabidi aendelee kula mzigo, jamaa akawapiga picha then akaita staff waje kushuhudia uchafu ule.

kwakweli sikuamini nilichokiona, siyo siri staff nzima imejionea..jamaa alipomaliza kupiga picha akaingia kwenye gari lake akaenda zake. Huku ameacha mtafaruku wa Hali ya juu, namuonea huruma sana shoga yangu sijui kama anandoa tena. Nitawajuza kitakachojiri baada ya hapa.
mume alikuja kwa fumanizi au alikuwa na safari zake 2?
 
Huwa story za namna hii zinakuwa na traffic balaa.

Mwanaume gani atafumwa then aambiwe endelea kula vitu akaweza, si itasinyaa mda huo huo? Japo kweli maofisi yamejaa ufuska but this one...nah, total scum!
 
Back
Top Bottom