Mr Pixel3a
JF-Expert Member
- Sep 15, 2021
- 5,710
- 8,579
🤣🤣🤣Omba isikukute aiseeTangulia Central ukiwa umeweka mikono juu mwendo wa mateka kabla hawajaanza kumsumbua Melo.
🤣🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣Omba isikukute aiseeTangulia Central ukiwa umeweka mikono juu mwendo wa mateka kabla hawajaanza kumsumbua Melo.
🤣🤣🤣🤣
Tatizo unakaa kwa shemeeeejiii hata hujui umeme unanunuliwaje? Huwezi chukua tokeni za mita yoyote tu ukaweka kwenye mita yako.Vipi kama mnunuaji wa hizo token alikosea,akanunua token za huyo muhusika?
Watamuamini?
Polisi wa Bongo wanaonekana wazembe ila subiri uwe na msala wakufungie kazi,utaona kama unatafutwa na FBI🤣🤣Bongo hakuna Detectives njaa tu na ugali ,mwenye huo uzi mkuu apasie tuupitie
Polisi msikamate kabla ya upelelezi | JAMHURI MEDIAUmeitoa wapi nikaisome yote? Maana huko inakoendelea ndiko pazuri zaidi.
Kuna watu wamesomea hizo kazi na wanajua namna ya kutoacha alama. Nazungumzia kama Proffessional Killers nkWapelelezi kukosa alama haina maana hakuna alama. Huenda wamepuuzia alama ndogo, au hawakuweza kuzingudua hizo halama.
Lakini, kila tukio huacha alama.
Kuna uwezekano akahusika huwa wanajifanya wana ma Master mind wazuri.Shida nyingine majina yote ni ya waarabu.
Waarabu na ugaidi ni kama samaki na maji
Despite your good looks, sweetness and charm you are intelligent.Story nzuri, uandishi mzuri.
Lakini natamani kufahamu zaidi, utetezi wake ulikuwaje? Aliongelea vipi suala hilo?
Japo nimewahi kuambiwa na mtaalam mmoja wa hizi kazi kuwa kila mhalifu huacha alama, na hii ndio ilikuwa alama yenyewe.
We mpalestina toka Gaza acha kumlaghai binti wa watu mwishowe aingie kingi akijua upo serious.Despite your good looks, sweetness and charm you are intelligent.
Secret admirer!
Duh mamboo hayooo😅😅Despite your good looks, sweetness and charm you are intelligent.
Secret admirer!
Watakochokifanya ni kukamata kila unaehusiana nae kindugu sasa akili hiyo?Polisi wa Bongo wanaonekana wazembe ila subiri uwe na msala wakufungie kazi,utaona kama unatafutwa na FBI
Wewe judas brutus mgalatia uchwara tuliaWe mpalestina toka Gaza acha kumlaghai binti wa watu mwishowe aingie kingi akijua upo serious.
Ni juzi tu nilikuwa naongea na mtu akaniambia hivi, tulicheka sana.Polisi wa Bongo wanaonekana wazembe ila subiri uwe na msala wakufungie kazi,utaona kama unatafutwa na FBI
Nadhani hujanielewa, nasisitiza hakuna uhalifu usioacha alama. Kila tukio la kihalifu lina alama, ni kazi na weledi wa wapelelezi vinavyohitajika kugundua alama hiyo/hizo.Kuna watu wamesomea hizo kazi na wanajua namna ya kutoacha alama. Nazungumzia kama Proffessional Killers nk
Kama ni mtihani, wewe umefaulu kwa 100/%Funzo la hii story ni kuwa makini na simu yako
Halijabase sana juu ya njoroge anahusika au hausiki
Lengo ni kutaka kuonyesha tu nijinsi gani jambo dogo kama kununua Luku kunaweza kukuponza na kupelekea kupatikana ushahidi
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
That's really kind of you to say!Despite your good looks, sweetness and charm you are intelligent.
Secret admirer!
Ni mbinu inatumika muda sana kutafuta simu zilizoibiwa, uhalifu n.k hasa kama ulishatumia kununua token za umeme.Funzo la hii story ni kuwa makini na simu yako
Halijabase sana juu ya njoroge anahusika au hausiki
Lengo ni kutaka kuonyesha tu nijinsi gani jambo dogo kama kununua Luku kunaweza kukuponza na kupelekea kupatikana ushahidi
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Hapo umefupisha sana, wenzetu huwa hawaconclude tu na kuishia hapo, bali wanaenda mbele zaidi, maana katika malipo unaweza kukosea namba na kumlipia mwingineUnakumbuka tukio la kigaidi lililotokea Kampala, Uganda wakati wa mechi ya fainali ya World Cup 2010, kati ya Spain na Holland?
Tukio lile lilimfanya mtangazaji wa Radio Salaam FM ya Mombasa, Habib Suleiman Njoroge kuingizwa kwenye kesi ya ugaidi wa tukio lile, na sasa anatumikia kifungo cha maisha.
- Unajua Ilikuwaje?
Mara tu baada ya lile tukio, vikosi vya upelelezi vya MI6 na FBI ni miongoni mwa vikosi vilivyoalikwa ili kufanya uchunguzi, kwa ajili ya kufanikisha kuwanasa wahusika wote.
Jambo la kwanza waligundua mabomu yote yaliyotumika katika tukio lile yaliundwa Mombasa nchini Kenya, na yakasafirishwa kwa basi hadi Malaba, mpakani mwa Kenya na Uganda.
Kisha, Mtanzania (Seleman Hijar Nyamandondo) aliyasafirisha hadi Kampala kwa gari aina ya Land Qruiser (Pickup) na kuyafikisha kwa aliyekuwa Msuka Mipango Mkuu, Issa Ahmed Luyima.
- Alivyoingizwa Mtangazaji!
Vikosi hivyo vya uchunguzi vilibaini, moja ya simu (device) zilizowasiliana na waliolipua mabomu yale, bado ilikuwa ikitumika huko maeneo ya Ukambani, nchini Kenya kwa namba tofauti na ya awali.
Kazi ya kuisaka simu hiyo ikaanza na ikanaswa ikiwa mikononi mwa mchuuzi wa sokoni, Mohamed Adan Abdow naye akiuziwa na Mtanzania, Husein Agade huku akiwa sokoni hapo.
Baada ya simu (device) hiyo kunaswa na kufanyiwa uchunguzi ikagundulika kwamba, iliwahi kufanya huduma ya kununua umeme (kama Luku), wa mita ya nyumba anayoishi mtangazaji huyo, Njoroge iliyopo Mombasa.
Hilo liliwatosha wachunguzi hao kuamini kwamba magaidi hao waliishi kwenye nyumba ya Njoroge wakati wakiunda mabomu hayo na ndiyo maana waliwajibika kulipa bili ya umeme.
- Funzo Kuu
Hiki kilichotokea kwa mtangazaji, Njoroge ni kama ambavyo mhalifu yeyote angelipia kisimbuzi chako au umeme wa mita yako kwa simu yake na moja kwa moja ukaingizwa mtegoni, endapo simu yake itachunguzwa.
Hivyo, si vema kupokea huduma za kulipiwa vifaa vyako vya nyumbani pasipo kumjua vizuri unayemwomba akulipie.
Ova