Afungwa Kifungo cha Maisha Baada ya Kulipiwa Umeme (Luku) kwa Simu ya Magaidi

Funzo la hii story ni kuwa makini na simu yako
Halijabase sana juu ya njoroge anahusika au hausiki
Lengo ni kutaka kuonyesha tu nijinsi gani jambo dogo kama kununua Luku kunaweza kukuponza na kupelekea kupatikana ushahidi

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Story nzuri, uandishi mzuri.

Lakini natamani kufahamu zaidi, utetezi wake ulikuwaje? Aliongelea vipi suala hilo?

Japo nimewahi kuambiwa na mtaalam mmoja wa hizi kazi kuwa kila mhalifu huacha alama, na hii ndio ilikuwa alama yenyewe.
Despite your good looks, sweetness and charm you are intelligent.

Secret admirer!
 
Kuna watu wamesomea hizo kazi na wanajua namna ya kutoacha alama. Nazungumzia kama Proffessional Killers nk
Nadhani hujanielewa, nasisitiza hakuna uhalifu usioacha alama. Kila tukio la kihalifu lina alama, ni kazi na weledi wa wapelelezi vinavyohitajika kugundua alama hiyo/hizo.
 
Ni mbinu inatumika muda sana kutafuta simu zilizoibiwa, uhalifu n.k hasa kama ulishatumia kununua token za umeme.

Ukinunua token za umeme IMEI na namba ya simu na mita namba ya mita inabaki kwenye database zao.

Shirika la umeme linafahamu kila mita ya umeme ipo eneo lipi kwa sababu wamezifunga wao.

Ku trace kwa kutumia minara ni ngumu, simu inaweza kamata network na ipo kwenye 2G inafika hadi maximum 35km.

Wanaweza tambua location ya simu tokana na mnara wanaotumia lakini exactly location ni ngumu, inayoweza kutoa exactly location ni GPS pekee labda na ile njia ya triangulation lakini nayo ni effective ku trace magari, ndege na boats hasa katika maeneo ya wazi, lakini ku triangulate mtu katika makazi ambapo kuna msongamano wa vitu its much more difficult process.
 
Hapo umefupisha sana, wenzetu huwa hawaconclude tu na kuishia hapo, bali wanaenda mbele zaidi, maana katika malipo unaweza kukosea namba na kumlipia mwingine

Ila huwa wanachunguza zaidi, je hiko kifaa kilikuwa eneo hilo au karibu na hilo kwa muda gani, ishawahi kuwasiliana na namba za watuhumiwa wengine n.k n.k
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…