Afungwa Kifungo cha Maisha Baada ya Kulipiwa Umeme (Luku) kwa Simu ya Magaidi

...Kweli. Ukute hiyo call haikuwa Moja TU ya kukua luku, Bali Zilikuwa Kadhaa' ziliwafanya Wajeda wa CIA wajue Jamaa anafahamiana nao zaidi, Sio kwenye kununua Luku TU !!!
 
Unafanya ishu chafu ndo maana unajilinda ila cleas issues wala huhitaji kujificha kwa kivuli cha wakala.
 
Asante sana mkuu kwa huu ufafanuzi. Umeeleza vizuri utadhani ni mimi ndiyo nimefafanua hapo. Uko vizuri sana mkuu.

Ova
 
Basi nitaongeza maelezo ndugu zangu kuhusu hili, kwa maana ya nje ya lengo langu la awali kwa thread hii.

Ova
 
Kumbe hawa watu wa Imani walianza siku nyingi sana kusumbua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…