...Kweli. Ukute hiyo call haikuwa Moja TU ya kukua luku, Bali Zilikuwa Kadhaa' ziliwafanya Wajeda wa CIA wajue Jamaa anafahamiana nao zaidi, Sio kwenye kununua Luku TU !!!Mzee kuna vitu zaidi walijua, sio rahisi et ufungwe kisa umenunulia mtu umeme kwa simu yako, mana hakuna sheria inayokataza, tena mbele ya M16 na CIA, huyo mtu alikuwa na deep connection na hao wahusika, bongo hapa yule ambae gereji yake ilitumika mbona aliachiwa? Hawakufungi kizembe hao jamaa, ukinaswa jua upo kweli
Kasome jukwaa la historia. Ni mada ya mwaka jana mwezi machi, nimeikonti jana ili ipande.Hizi story huwa mnapeana wapi? Nimecheka sana
hoja ya msingi itakuwa hizo token zilitumika au hazikutumika.Vipi kama mnunuaji wa hizo token alikosea,akanunua token za huyo muhusika?
Watamuamini?
sawa, umeelewa mada husika?Abu Hurayrah (Radhiya Allaahu ´anh) ameeleza kuwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Dunia ni jela ya muumini na Pepo ya kafiri.”
Sasa ningekuwa sijaelewa ningeweka hiyo Hadith?sawa, umeelewa mada husika?
Unafanya ishu chafu ndo maana unajilinda ila cleas issues wala huhitaji kujificha kwa kivuli cha wakala.Upo sahihi sana. Ila kuna mazingira inakulazimu usitumie namba yako
° Mimi situmii namba yangu mfano ninavyotuma nauli natumia kwa wakala .
° Watu wa jamii hiyohiyo ya kupewa nauli huwa nawasiliana kwa namba ambayo hata wakiangalia kwenye usajili haioneshi majina ili kuepuka usumbufu kikiwaka upande wa pili wasinijue jina.
Asante sana mkuu kwa huu ufafanuzi. Umeeleza vizuri utadhani ni mimi ndiyo nimefafanua hapo. Uko vizuri sana mkuu.Funzo la hii story ni kuwa makini na simu yako
Halijabase sana juu ya njoroge anahusika au hausiki
Lengo ni kutaka kuonyesha tu nijinsi gani jambo dogo kama kununua Luku kunaweza kukuponza na kupelekea kupatikana ushahidi
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Basi nitaongeza maelezo ndugu zangu kuhusu hili, kwa maana ya nje ya lengo langu la awali kwa thread hii.Hapo umefupisha sana, wenzetu huwa hawaconclude tu na kuishia hapo, bali wanaenda mbele zaidi, maana katika mapupo unaweza kukosea namba na kumlipia mwingine
Ila huwa wanachunguza zaidi, je hiko kifaa kilikuwa eneo hilo au karibu na hilo kwa muda gani, ishawahi kuwasiliana na namna za watuhumiwa wengine n.k n.k