AG Jaji Werema: Kafulila aliniita mwizi nikamwita "tumbili"

AG Jaji Werema: Kafulila aliniita mwizi nikamwita "tumbili"

KASI YA UWEKEZAJI KATIKA SEKTA YA ELIMU, CCM YATOA NENO KWA RAIS SAMIA.

KATIBU wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, Itikadi na Uenezi, Shaka Hamdu Shaka, amesema uwekezaji mkubwa uliofanywa na Rais Samia Suluhu Hassan katika sekta ya elimu, unaendelea kutoa matunda mazuri katika sekta hiyo na chama kinaridhishwa sana.

Shaka aliyasema hayo (Leo) Alkhamis 21 Julai 2022 jijini Dar es Salaam mara baada ya kutembelea maonyesho ya 17 ya vyuo vikuu yanayoendelea kufanyika katika viwanja vya Mnazi Mmoja.

“*Maboresho makubwa yamefanywa katika sekta ya elimu, nimetembelea mabanda ya taasisi mbalimbali za elimu zinazoshiriki maonyesho haya, nimejionea na kusikia mambo makubwa ya maendeleo na kuona jinsi Rais Samia alivyopania kuleta mageuzi makubwa katika nyanja ya elimu” *•alisema.

Amefahamisha kuwa ongezeko la fedha kwa ajili ya mikopo ya wanafunzi wa elimu ya juu pamoja na wizara nzima ya elimu, ni hatua muhimu iliyotengeneza mazingira rafiki kwa sekta ya elimu ambayo ndio inayotoa muelekeo wa Taifa katika kuandaa na kuzalisha rasilimali watu watakaokuja kusukuma mbele maendeleo ya kijamii, kiuchumi na kisiasa nchini.

Kwa mujibu wa Shaka, awali kulikuwa na malalamiko mengi kuhusiasa na mikopo ya wanafunzi wa elimu ya juu ambapo Chama kililazimka kukaa pamoja na Serikali (Bodi ya Mokopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu) (HESLB) ambapo kwa sasa kumekuwa na mabadiliko makubwa na hali imeimarika.

Rais Samia amefanya kazi kubwa katika sekta ya elimu katika kipindi kifupi, moja ya jambo ambalo halizungumzwi sana ni namna alivyosamehe deni la sh. trilioni 1.1 ambalo lilikuwa halilipiki kwa bodi hii ya mikopo, hatua ambayo imefungua fursa kwa wanufaika kuwa na uhakika wa kupanuka wigo wa kupatikana fedha na ndio maana pia Rais, akaongeza fedha kwa bodi ya mikopo nchini kutoka sh 464 bilioni za awali hadi sh 570 bilioni” alisema.

Amefafanua katika hatua ya kupigiwa mfano ni jinsi Rais Samia alivyoamua kutafuna mfupi mgumu ili kuimarisha sekta ya elimu nchini kwa kutenga bajeti ya sh. bilioni 985 mwaka wa fedha 2022/2023 kwa ajili ya kuboresha miundombinu ya vikuu, kuwapatia mafunzo ya taaluma wahadhiri na kununua vitendea kazi itazidi kutengeneza mazingira mazuri kufundisha na kujifunzia hatua ambayo italeta mageuzi makubwa nchini.

Kwa mujibu wa shaka, juhudi hizo zote zinachukuliwa ni kwa ajili ya kuhakikisha rasilimali watu inayozalishwa ktika taasisi za elimu inakuwa imara na yenye kukidhi mahitaji ya wakati.

Azma na utayari wa Rais Samia kuibeba sekta ya elimu sote tumekuwa mashuhuda, anaendelea vizuri sana, tunaamini uboreshaji huu utaendelea ikiwa ni utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya CCM ibara 80 na 102 kuhusu kuimarisha utoaji wa huduma zenye ubora, viwango, manufaa na tija kwa taifa katika sekta ya elimu” aliongezea Shaka

Awali Katibu Mtendaji wa Tume ya Vyuo Vikuu (TCU), alisema wanaishukuru serikali ya CCM kwa kuendelea kuitazama kwa karibu sekta ya elimu nchini.

Alisema katika kipindi cha mwaka mmoja madarakani, uwekezaji mkubwa uliofanywa na Rais Samia katika elimu, umechochea ongezeko la wanafunzi wanaodahiliwa kwa ajili ya elimu ya juu kutoka wanafunzi 8,7934 hadi 100,620.

== ==
 
KASI YA UWEKEZAJI KATIKA SEKTA YA ELIMU, CCM YATOA NENO KWA RAIS SAMIA.

KATIBU wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, Itikadi na Uenezi, Shaka Hamdu Shaka, amesema uwekezaji mkubwa uliofanywa na Rais Samia Suluhu Hassan katika sekta ya elimu, unaendelea kutoa matunda mazuri katika sekta hiyo na chama kinaridhishwa sana.

Shaka aliyasema hayo (Leo) Alkhamis 21 Julai 2022 jijini Dar es Salaam mara baada ya kutembelea maonyesho ya 17 ya vyuo vikuu yanayoendelea kufanyika katika viwanja vya Mnazi Mmoja.

“*Maboresho makubwa yamefanywa katika sekta ya elimu, nimetembelea mabanda ya taasisi mbalimbali za elimu zinazoshiriki maonyesho haya, nimejionea na kusikia mambo makubwa ya maendeleo na kuona jinsi Rais Samia alivyopania kuleta mageuzi makubwa katika nyanja ya elimu” *•alisema.

Amefahamisha kuwa ongezeko la fedha kwa ajili ya mikopo ya wanafunzi wa elimu ya juu pamoja na wizara nzima ya elimu, ni hatua muhimu iliyotengeneza mazingira rafiki kwa sekta ya elimu ambayo ndio inayotoa muelekeo wa Taifa katika kuandaa na kuzalisha rasilimali watu watakaokuja kusukuma mbele maendeleo ya kijamii, kiuchumi na kisiasa nchini.

Kwa mujibu wa Shaka, awali kulikuwa na malalamiko mengi kuhusiasa na mikopo ya wanafunzi wa elimu ya juu ambapo Chama kililazimka kukaa pamoja na Serikali (Bodi ya Mokopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu) (HESLB) ambapo kwa sasa kumekuwa na mabadiliko makubwa na hali imeimarika.

Rais Samia amefanya kazi kubwa katika sekta ya elimu katika kipindi kifupi, moja ya jambo ambalo halizungumzwi sana ni namna alivyosamehe deni la sh. trilioni 1.1 ambalo lilikuwa halilipiki kwa bodi hii ya mikopo, hatua ambayo imefungua fursa kwa wanufaika kuwa na uhakika wa kupanuka wigo wa kupatikana fedha na ndio maana pia Rais, akaongeza fedha kwa bodi ya mikopo nchini kutoka sh 464 bilioni za awali hadi sh 570 bilioni” alisema.

Amefafanua katika hatua ya kupigiwa mfano ni jinsi Rais Samia alivyoamua kutafuna mfupi mgumu ili kuimarisha sekta ya elimu nchini kwa kutenga bajeti ya sh. bilioni 985 mwaka wa fedha 2022/2023 kwa ajili ya kuboresha miundombinu ya vikuu, kuwapatia mafunzo ya taaluma wahadhiri na kununua vitendea kazi itazidi kutengeneza mazingira mazuri kufundisha na kujifunzia hatua ambayo italeta mageuzi makubwa nchini.

Kwa mujibu wa shaka, juhudi hizo zote zinachukuliwa ni kwa ajili ya kuhakikisha rasilimali watu inayozalishwa ktika taasisi za elimu inakuwa imara na yenye kukidhi mahitaji ya wakati.

Azma na utayari wa Rais Samia kuibeba sekta ya elimu sote tumekuwa mashuhuda, anaendelea vizuri sana, tunaamini uboreshaji huu utaendelea ikiwa ni utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya CCM ibara 80 na 102 kuhusu kuimarisha utoaji wa huduma zenye ubora, viwango, manufaa na tija kwa taifa katika sekta ya elimu” aliongezea Shaka

Awali Katibu Mtendaji wa Tume ya Vyuo Vikuu (TCU), alisema wanaishukuru serikali ya CCM kwa kuendelea kuitazama kwa karibu sekta ya elimu nchini.

Alisema katika kipindi cha mwaka mmoja madarakani, uwekezaji mkubwa uliofanywa na Rais Samia katika elimu, umechochea ongezeko la wanafunzi wanaodahiliwa kwa ajili ya elimu ya juu kutoka wanafunzi 8,7934 hadi 100,620.

== ==
nimeikuta hii sehemu hebu tuipitie
 
KASI YA UWEKEZAJI KATIKA SEKTA YA ELIMU, CCM YATOA NENO KWA RAIS SAMIA.

KATIBU wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, Itikadi na Uenezi, Shaka Hamdu Shaka, amesema uwekezaji mkubwa uliofanywa na Rais Samia Suluhu Hassan katika sekta ya elimu, unaendelea kutoa matunda mazuri katika sekta hiyo na chama kinaridhishwa sana.

Shaka aliyasema hayo (Leo) Alkhamis 21 Julai 2022 jijini Dar es Salaam mara baada ya kutembelea maonyesho ya 17 ya vyuo vikuu yanayoendelea kufanyika katika viwanja vya Mnazi Mmoja.

“*Maboresho makubwa yamefanywa katika sekta ya elimu, nimetembelea mabanda ya taasisi mbalimbali za elimu zinazoshiriki maonyesho haya, nimejionea na kusikia mambo makubwa ya maendeleo na kuona jinsi Rais Samia alivyopania kuleta mageuzi makubwa katika nyanja ya elimu” *•alisema.

Amefahamisha kuwa ongezeko la fedha kwa ajili ya mikopo ya wanafunzi wa elimu ya juu pamoja na wizara nzima ya elimu, ni hatua muhimu iliyotengeneza mazingira rafiki kwa sekta ya elimu ambayo ndio inayotoa muelekeo wa Taifa katika kuandaa na kuzalisha rasilimali watu watakaokuja kusukuma mbele maendeleo ya kijamii, kiuchumi na kisiasa nchini.

Kwa mujibu wa Shaka, awali kulikuwa na malalamiko mengi kuhusiasa na mikopo ya wanafunzi wa elimu ya juu ambapo Chama kililazimka kukaa pamoja na Serikali (Bodi ya Mokopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu) (HESLB) ambapo kwa sasa kumekuwa na mabadiliko makubwa na hali imeimarika.

Rais Samia amefanya kazi kubwa katika sekta ya elimu katika kipindi kifupi, moja ya jambo ambalo halizungumzwi sana ni namna alivyosamehe deni la sh. trilioni 1.1 ambalo lilikuwa halilipiki kwa bodi hii ya mikopo, hatua ambayo imefungua fursa kwa wanufaika kuwa na uhakika wa kupanuka wigo wa kupatikana fedha na ndio maana pia Rais, akaongeza fedha kwa bodi ya mikopo nchini kutoka sh 464 bilioni za awali hadi sh 570 bilioni” alisema.

Amefafanua katika hatua ya kupigiwa mfano ni jinsi Rais Samia alivyoamua kutafuna mfupi mgumu ili kuimarisha sekta ya elimu nchini kwa kutenga bajeti ya sh. bilioni 985 mwaka wa fedha 2022/2023 kwa ajili ya kuboresha miundombinu ya vikuu, kuwapatia mafunzo ya taaluma wahadhiri na kununua vitendea kazi itazidi kutengeneza mazingira mazuri kufundisha na kujifunzia hatua ambayo italeta mageuzi makubwa nchini.

Kwa mujibu wa shaka, juhudi hizo zote zinachukuliwa ni kwa ajili ya kuhakikisha rasilimali watu inayozalishwa ktika taasisi za elimu inakuwa imara na yenye kukidhi mahitaji ya wakati.

Azma na utayari wa Rais Samia kuibeba sekta ya elimu sote tumekuwa mashuhuda, anaendelea vizuri sana, tunaamini uboreshaji huu utaendelea ikiwa ni utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya CCM ibara 80 na 102 kuhusu kuimarisha utoaji wa huduma zenye ubora, viwango, manufaa na tija kwa taifa katika sekta ya elimu” aliongezea Shaka

Awali Katibu Mtendaji wa Tume ya Vyuo Vikuu (TCU), alisema wanaishukuru serikali ya CCM kwa kuendelea kuitazama kwa karibu sekta ya elimu nchini.

Alisema katika kipindi cha mwaka mmoja madarakani, uwekezaji mkubwa uliofanywa na Rais Samia katika elimu, umechochea ongezeko la wanafunzi wanaodahiliwa kwa ajili ya elimu ya juu kutoka wanafunzi 8,7934 hadi 100,620.

== ==
Thx
 
Kafulila yuko vizuri kitambo
Maoni yangu

Kama siku moja tutamlata Kafulila kama kiongozi wa Kitaifa naamini kuna jambo kubwa Kafulila atalifanyia Taifa.

Huyu Mwamba yuko bold Sana katika nafasi aliyowahi kuikalia

Rais Samia endelea kumtumia huyu mtu atakusaidia Sana kwani anayoakili kubwa
 
View attachment 2302123

AG Mstaafu Mhe Jaji Warema azungumzia sakata la kumwita RC David Kafulila "tumbili"​


Aliyekuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), Jaji Frederick Werema amezungumzia sakata la kumuita tumbili aliyekuwa Mbunge wa Kigoma Kusini (NCCR-Mageuzi), David Kafulila.

Jaji Warema amezungumzia sakata hilo wakati wa mahojiano maalumu na waandishi wa Mwananchi huku akibainisha alitumia jina hilo kama msemo wa Kiganda ukimaanisha ukiwa jikoni ndivyo unavyoweza kubaini mambo.

Sakata hilo ambalo lilikuwa gumzo bungeni na kuibua mvutano kati ya Jaji Warema na Kafulila ambaye kwa sasa ni Mkuu wa Mkoa wa Simiyu lilitokea Juni mwaka 2014.

Jaji Werema alimwita Kafulila tumbili huku ikiwa ni katika hali ya kujibu mapigigo, Kafulila akamuita mwanasheria huyo mwizi.

Katika mahojiano hayo maalumu na Mwananchi yaliyofanyika hivi karibuni, Jaji Warema amesema “Tumbili haamui mambo ya jikoni, maana yake nilikuwa namaanisha kuwa tumbili haamui mambo ya msituni,

Sasa mnageuza kuwa anamwambia kuwa ni tumbili, maana yake ni kwamba wewe kama hujui mambo ya huko jioni huwezi kujua” amesema Jaji Werema

Kafulila ni jembe tukubali tukatae
 
View attachment 2302123

AG Mstaafu Mhe Jaji Warema azungumzia sakata la kumwita RC David Kafulila "tumbili"​


Aliyekuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), Jaji Frederick Werema amezungumzia sakata la kumuita tumbili aliyekuwa Mbunge wa Kigoma Kusini (NCCR-Mageuzi), David Kafulila.

Jaji Warema amezungumzia sakata hilo wakati wa mahojiano maalumu na waandishi wa Mwananchi huku akibainisha alitumia jina hilo kama msemo wa Kiganda ukimaanisha ukiwa jikoni ndivyo unavyoweza kubaini mambo.

Sakata hilo ambalo lilikuwa gumzo bungeni na kuibua mvutano kati ya Jaji Warema na Kafulila ambaye kwa sasa ni Mkuu wa Mkoa wa Simiyu lilitokea Juni mwaka 2014.

Jaji Werema alimwita Kafulila tumbili huku ikiwa ni katika hali ya kujibu mapigigo, Kafulila akamuita mwanasheria huyo mwizi.

Katika mahojiano hayo maalumu na Mwananchi yaliyofanyika hivi karibuni, Jaji Warema amesema “Tumbili haamui mambo ya jikoni, maana yake nilikuwa namaanisha kuwa tumbili haamui mambo ya msituni,

Sasa mnageuza kuwa anamwambia kuwa ni tumbili, maana yake ni kwamba wewe kama hujui mambo ya huko jioni huwezi kujua” amesema Jaji Werema

Kafulila ni jembe kweli kweli, naunga mkono hoja anastahili heshima
 
KASI YA UWEKEZAJI KATIKA SEKTA YA ELIMU, CCM YATOA NENO KWA RAIS SAMIA.

KATIBU wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, Itikadi na Uenezi, Shaka Hamdu Shaka, amesema uwekezaji mkubwa uliofanywa na Rais Samia Suluhu Hassan katika sekta ya elimu, unaendelea kutoa matunda mazuri katika sekta hiyo na chama kinaridhishwa sana.

Shaka aliyasema hayo (Leo) Alkhamis 21 Julai 2022 jijini Dar es Salaam mara baada ya kutembelea maonyesho ya 17 ya vyuo vikuu yanayoendelea kufanyika katika viwanja vya Mnazi Mmoja.

“*Maboresho makubwa yamefanywa katika sekta ya elimu, nimetembelea mabanda ya taasisi mbalimbali za elimu zinazoshiriki maonyesho haya, nimejionea na kusikia mambo makubwa ya maendeleo na kuona jinsi Rais Samia alivyopania kuleta mageuzi makubwa katika nyanja ya elimu” *•alisema.

Amefahamisha kuwa ongezeko la fedha kwa ajili ya mikopo ya wanafunzi wa elimu ya juu pamoja na wizara nzima ya elimu, ni hatua muhimu iliyotengeneza mazingira rafiki kwa sekta ya elimu ambayo ndio inayotoa muelekeo wa Taifa katika kuandaa na kuzalisha rasilimali watu watakaokuja kusukuma mbele maendeleo ya kijamii, kiuchumi na kisiasa nchini.

Kwa mujibu wa Shaka, awali kulikuwa na malalamiko mengi kuhusiasa na mikopo ya wanafunzi wa elimu ya juu ambapo Chama kililazimka kukaa pamoja na Serikali (Bodi ya Mokopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu) (HESLB) ambapo kwa sasa kumekuwa na mabadiliko makubwa na hali imeimarika.

Rais Samia amefanya kazi kubwa katika sekta ya elimu katika kipindi kifupi, moja ya jambo ambalo halizungumzwi sana ni namna alivyosamehe deni la sh. trilioni 1.1 ambalo lilikuwa halilipiki kwa bodi hii ya mikopo, hatua ambayo imefungua fursa kwa wanufaika kuwa na uhakika wa kupanuka wigo wa kupatikana fedha na ndio maana pia Rais, akaongeza fedha kwa bodi ya mikopo nchini kutoka sh 464 bilioni za awali hadi sh 570 bilioni” alisema.

Amefafanua katika hatua ya kupigiwa mfano ni jinsi Rais Samia alivyoamua kutafuna mfupi mgumu ili kuimarisha sekta ya elimu nchini kwa kutenga bajeti ya sh. bilioni 985 mwaka wa fedha 2022/2023 kwa ajili ya kuboresha miundombinu ya vikuu, kuwapatia mafunzo ya taaluma wahadhiri na kununua vitendea kazi itazidi kutengeneza mazingira mazuri kufundisha na kujifunzia hatua ambayo italeta mageuzi makubwa nchini.

Kwa mujibu wa shaka, juhudi hizo zote zinachukuliwa ni kwa ajili ya kuhakikisha rasilimali watu inayozalishwa ktika taasisi za elimu inakuwa imara na yenye kukidhi mahitaji ya wakati.

Azma na utayari wa Rais Samia kuibeba sekta ya elimu sote tumekuwa mashuhuda, anaendelea vizuri sana, tunaamini uboreshaji huu utaendelea ikiwa ni utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya CCM ibara 80 na 102 kuhusu kuimarisha utoaji wa huduma zenye ubora, viwango, manufaa na tija kwa taifa katika sekta ya elimu” aliongezea Shaka

Awali Katibu Mtendaji wa Tume ya Vyuo Vikuu (TCU), alisema wanaishukuru serikali ya CCM kwa kuendelea kuitazama kwa karibu sekta ya elimu nchini.

Alisema katika kipindi cha mwaka mmoja madarakani, uwekezaji mkubwa uliofanywa na Rais Samia katika elimu, umechochea ongezeko la wanafunzi wanaodahiliwa kwa ajili ya elimu ya juu kutoka wanafunzi 8,7934 hadi 100,620.

== ==
VIVA CCM VIVA
 
Mkuu hebu pia tueleze ukweli; ulikula ule mgao au hukula - Hili ndio la muhimu kwani awamu ile mlifanya michezo michafu sana!
 
KASI YA UWEKEZAJI KATIKA SEKTA YA ELIMU, CCM YATOA NENO KWA RAIS SAMIA.

KATIBU wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, Itikadi na Uenezi, Shaka Hamdu Shaka, amesema uwekezaji mkubwa uliofanywa na Rais Samia Suluhu Hassan katika sekta ya elimu, unaendelea kutoa matunda mazuri katika sekta hiyo na chama kinaridhishwa sana.

Shaka aliyasema hayo (Leo) Alkhamis 21 Julai 2022 jijini Dar es Salaam mara baada ya kutembelea maonyesho ya 17 ya vyuo vikuu yanayoendelea kufanyika katika viwanja vya Mnazi Mmoja.

“*Maboresho makubwa yamefanywa katika sekta ya elimu, nimetembelea mabanda ya taasisi mbalimbali za elimu zinazoshiriki maonyesho haya, nimejionea na kusikia mambo makubwa ya maendeleo na kuona jinsi Rais Samia alivyopania kuleta mageuzi makubwa katika nyanja ya elimu” *•alisema.

Amefahamisha kuwa ongezeko la fedha kwa ajili ya mikopo ya wanafunzi wa elimu ya juu pamoja na wizara nzima ya elimu, ni hatua muhimu iliyotengeneza mazingira rafiki kwa sekta ya elimu ambayo ndio inayotoa muelekeo wa Taifa katika kuandaa na kuzalisha rasilimali watu watakaokuja kusukuma mbele maendeleo ya kijamii, kiuchumi na kisiasa nchini.

Kwa mujibu wa Shaka, awali kulikuwa na malalamiko mengi kuhusiasa na mikopo ya wanafunzi wa elimu ya juu ambapo Chama kililazimka kukaa pamoja na Serikali (Bodi ya Mokopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu) (HESLB) ambapo kwa sasa kumekuwa na mabadiliko makubwa na hali imeimarika.

Rais Samia amefanya kazi kubwa katika sekta ya elimu katika kipindi kifupi, moja ya jambo ambalo halizungumzwi sana ni namna alivyosamehe deni la sh. trilioni 1.1 ambalo lilikuwa halilipiki kwa bodi hii ya mikopo, hatua ambayo imefungua fursa kwa wanufaika kuwa na uhakika wa kupanuka wigo wa kupatikana fedha na ndio maana pia Rais, akaongeza fedha kwa bodi ya mikopo nchini kutoka sh 464 bilioni za awali hadi sh 570 bilioni” alisema.

Amefafanua katika hatua ya kupigiwa mfano ni jinsi Rais Samia alivyoamua kutafuna mfupi mgumu ili kuimarisha sekta ya elimu nchini kwa kutenga bajeti ya sh. bilioni 985 mwaka wa fedha 2022/2023 kwa ajili ya kuboresha miundombinu ya vikuu, kuwapatia mafunzo ya taaluma wahadhiri na kununua vitendea kazi itazidi kutengeneza mazingira mazuri kufundisha na kujifunzia hatua ambayo italeta mageuzi makubwa nchini.

Kwa mujibu wa shaka, juhudi hizo zote zinachukuliwa ni kwa ajili ya kuhakikisha rasilimali watu inayozalishwa ktika taasisi za elimu inakuwa imara na yenye kukidhi mahitaji ya wakati.

Azma na utayari wa Rais Samia kuibeba sekta ya elimu sote tumekuwa mashuhuda, anaendelea vizuri sana, tunaamini uboreshaji huu utaendelea ikiwa ni utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya CCM ibara 80 na 102 kuhusu kuimarisha utoaji wa huduma zenye ubora, viwango, manufaa na tija kwa taifa katika sekta ya elimu” aliongezea Shaka

Awali Katibu Mtendaji wa Tume ya Vyuo Vikuu (TCU), alisema wanaishukuru serikali ya CCM kwa kuendelea kuitazama kwa karibu sekta ya elimu nchini.

Alisema katika kipindi cha mwaka mmoja madarakani, uwekezaji mkubwa uliofanywa na Rais Samia katika elimu, umechochea ongezeko la wanafunzi wanaodahiliwa kwa ajili ya elimu ya juu kutoka wanafunzi 8,7934 hadi 100,620.

== ==
2mbili ni shida
 
View attachment 2302123

AG Mstaafu Mhe Jaji Warema azungumzia sakata la kumwita RC David Kafulila "tumbili"​


Aliyekuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), Jaji Frederick Werema amezungumzia sakata la kumuita tumbili aliyekuwa Mbunge wa Kigoma Kusini (NCCR-Mageuzi), David Kafulila.

Jaji Warema amezungumzia sakata hilo wakati wa mahojiano maalumu na waandishi wa Mwananchi huku akibainisha alitumia jina hilo kama msemo wa Kiganda ukimaanisha ukiwa jikoni ndivyo unavyoweza kubaini mambo.

Sakata hilo ambalo lilikuwa gumzo bungeni na kuibua mvutano kati ya Jaji Warema na Kafulila ambaye kwa sasa ni Mkuu wa Mkoa wa Simiyu lilitokea Juni mwaka 2014.

Jaji Werema alimwita Kafulila tumbili huku ikiwa ni katika hali ya kujibu mapigigo, Kafulila akamuita mwanasheria huyo mwizi.

Katika mahojiano hayo maalumu na Mwananchi yaliyofanyika hivi karibuni, Jaji Warema amesema “Tumbili haamui mambo ya jikoni, maana yake nilikuwa namaanisha kuwa tumbili haamui mambo ya msituni,

Sasa mnageuza kuwa anamwambia kuwa ni tumbili, maana yake ni kwamba wewe kama hujui mambo ya huko jioni huwezi kujua” amesema Jaji Werema

Harbinger Singh alipata hisa za Mechmar kupitia Piper Links na hatimaye PAP kwa udanganyifu uliopata baraka za Jaji Werema kama AG.

1. Wakati Piper Links ikipata hisa 70% za Mechmar katika IPTL mwaka 2010 Kampuni ya Mechmar ya Malaysia ilikuwa tayari mufilisi (Under receivership).

2. Baadhi ya wanahisa wa iliyokuwa Mechmar waliizunguka Serikali pamoja na Mahakama Kuu ya Malaysia mpaka wakauza hisa zao

3. Mechmar walimuuzia Piper Links (Harbinger Singh) ambayo ni kampuni ya kufikirika ambayo ilizitunza hisa hizo kwanza kwenye visiwa vya Virgin Island.

4. Wafilisi wa Mechmar wanasema Mkurugenzi mmoja wa iliyokuwa Mechmar Fatuk Baharudwn bin Abdul Najid alikiuka amri ya Mahakama ya tarehe 03/ 10/ 2010 kwa kuidanganya Mahakama kwa kuingia Mkataba wa
Umiliki Hisa (Share Purchase Agreement) ya USD 9.0 Million na Piper Link Investments Ltd mnamo 09/ 09/ 2010.

5. Wafilisi walifanikiwa kufungua kesi kwenye Mahakama ya BVK ya Malaysia na waliweza kushinda kesi ya kurudisha hati za hisa.

6. Swali, Je Piper Links waliwezaje kuuza hisa kwa PAP (Mali ya Harbinger Singh) wakati kulikuwa na amri ya tarehe 03/ 04/ 2011 inayowakataza Wakurugenzi wa Piper Links kufanya miamala yeyote ya hisa za Mechmar?.

7. Je ni nyaraka zipi ambazo PAP walizitumia kuwasilisha Wizara ya Nishati na Madini kuonyesha umiliki wao wa hisa 70% za IPTL?

8.Nyaraka zinaonyesha kuwa Piper Links walinunua hisa kutoka Mechmar kwa USD 9.0 Milion na kuziuza siku hiyo hiyo kwa PAP kwa USD 300,000 siku ya tarehe 05/ 12/ 2013 ambayo ni siku moja baada ya BOT kuziachia fedha za ESCROW kwa PAP.

Harbinder Singh ana kesi ya kughushi na kuiba kisha kutakatisha fedha. Jaji Fredrick Werema (Aliyekuwa AG) na Prof Sospeter Muhongo (Aliyekuwa Waziri wa Nishati) wao ndiyo waliothibitisha nyaraka za PAP na kumshawishi James Rugemalira wa VIPEM kuuza hisa zake 30% kwa PAP.
 
Back
Top Bottom