Agenda ya Josephat Gwajima kuhusu benki ya mbegu za Asili izingatiwe

Agenda ya Josephat Gwajima kuhusu benki ya mbegu za Asili izingatiwe

Rabbon

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2022
Posts
21,625
Reaction score
33,688
Hellow Tanganyika!!

Vita ya kiuchumi imepamba moto, hivi sasa unakula embe ,chungwa, papai linalochukua miezi chini ya SITA tu, linakuwa tayari Kwa chakula, Cha kushangaza hakuna mbegu ndani ya tunda Hilo.

Mahindi vile vile, tunaletewa mahindi ya mbegu ambayo huwezi kuyaotesha baada ya kuvuna, ukitaka kupanda msimu ujao shart ukanunue.

Sasa Mpango huu wa kuzipoteza mbegu asili ni rasmi upo kutuletea njaa huko mbeleni, ni kutufanya tuwe tegemezi ikitokea wametunyima misaada ya mbegu huko mbeleni Kwa sababu wazijuazo wao.

Sasa ni muda wa kuamka na kuweka ulinzi kwenye benki zetu za mbegu asili maana njaa Inakuja ulimwenguni kote na ni ya kutengeneza Ili kuhakikisha Nchi zetu zinapiga magoti na kutawaliwa.

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿

Karibuni 🙏
 
HOJA Ile ni ya kitaifa,

Tuzingatue.

Imagine Hadi mkulima huko vijijini Hana mbegu asili.

Serikali ifungue macho yote yawe wazi maana hawatutakii mema wenzetu,

Ni vita ya kiuchumi inatengenezwa.
 
Mbegu za asili zina ladha nzuri, ugali ni mzuri, matunda ni mazuri, mchele ni mtamu una harufu na ladha nzuri, mihogo na viazi ni mzuri. Kuna tofauti kubwa sana kati ya mbengu za asili na za kisasa
 
Hellow Tanganyika!!

Vita ya kiuchumi imepamba moto, hivi sasa unakula embe ,chungwa, papai linalochukua miezi chini ya SITA tu, linakuwa tayari Kwa chakula, Cha kushangaza hakuna mbegu ndani ya tunda Hilo.

Mahindi vile vile, tunaletewa mahindi ya mbegu ambayo huwezi kuyaotesha baada ya kuvuna, ukitaka kupanda msimu ujao shart ukanunue.

Sasa Mpango huu wa kuzipoteza mbegu asili ni rasmi upo kutuletea njaa huko mbeleni, ni kutufanya tuwe tegemezi ikitokea wametunyima misaada ya mbegu huko mbeleni Kwa sababu wazijuazo wao.

Sasa ni muda wa kuamka na kuweka ulinzi kwenye benki zetu za mbegu asili maana njaa Inakuja ulimwenguni kote na ni ya kutengeneza Ili kuhakikisha Nchi zetu zinapiga magoti na kutawaliwa.

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿

Karibuni 🙏
Nchi za Afrika zitawaliwe Mara ngapi?

Sasa hivi ni mwendo wa mbegu za GMO tu, hakuna Cha mbegu za asili wala Nini.
 
Wakizuia mbegu mtakula mihogo, ndizi, viazi na matunda pori kama Wahadzabe. Hii population inavyokua kwa kasi kila siku unataka mbegu za mapera, mapapai na mahindi za miaka mitano si mtakufa njaa nyie masikini.

Waafrika acheni upumbavu wa kufikiria dunia yote inafanya mambo kuwazunguka nyie na kwamba nyie ndio centre ya universe.
 
Anayejua hili jengo ni la nini Kule Sweden na Nia yake,atamuelewa mleta mada.
20250110_231137.jpg
 
Badala ya kuweka ulinzi kwenye mbegu za asili kwanini usiseme serikali iwekekeze na sisi tutengeneze mbegu zetu ambazo ni za kisasa pia? Technology Kila siku inaenda mbele hairudi nyuma. Mbegu za kisasa ni Bora kuliko za kizamani. Zinaweza kuvumilia ukame na magonjwa. Ukitaka kutumia mbegu za zamani tumia lakini siku nchi yako ikipata upungufu ww chakula msianze kulaumu kina trump kwamba hawatumi misaada.
 
Utoto tu, hamna namna ya kuzuia mabadiliko ya tabia ya nchi na tech, uwezo wetu ni kufanya maombi tu, tunamuomba yesu na mtume miujiza na wengine tunaomba wazungu misaada, wote ombaomba tu, hatuna vitu serious tunaweza, halafu tukitunza ndio zinatusaidia nini? Kila mwaka njaa tu. Mahindi yameanza kutosha miaka ya karibuni baada ya mashamba ya mbegu kuanzishwa kabla ya hapo ilikua shida kila mwaka. Miaka ya 80 tulikua tunaletewa hadi mihogo mikavu tunauziwa na NMC.
 
Utoto tu, hamna namna ya kuzuia mabadiliko ya tabia ya nchi na tech, uwezo wetu ni kufanya maombi tu, hatuna vitu serious tunaweza, halafu tukitunza ndio zinatusaidia nini? Kila mwaka njaa tu. Mahindi yameanza kutosha miaka ya karibuni baada ya mashamba ya mbegu kuanzishwa kabla ya hapo ilikua shida kila mwaka. Miaka ya 80 tulikua tunaletewa hadi mihogo mikavu tunauziwa na NMC.
Gwajiboy ni mmojawapo wa wabunge wajinga sana katika hilo baraza ila kuna watu wengi sana wanamuona kama think tank ya nchi, ujinga mtupu.
 
Badala ya kuweka ulinzi kwenye mbegu za asili kwanini usiseme serikali iwekekeze na sisi tutengeneze mbegu zetu ambazo ni za kisasa pia? Technology Kila siku inaenda mbele hairudi nyuma. Mbegu za kisasa ni Bora kuliko za kizamani. Zinaweza kuvumilia ukame na magonjwa. Ukitaka kutumia mbegu za zamani tumia lakini siku nchi yako ikipata upungufu ww chakula msianze kulaumu kina trump kwamba hawatumi misaada.
Umeongea point
 
Sasa Mpango huu wa kuzipoteza mbegu asili ni rasmi upo kutuletea njaa huko mbeleni, ni kutufanya tuwe tegemezi ikitokea wametunyima misaada ya mbegu huko mbeleni Kwa sababu wazijuazo wao.
Agenda ya ngozi nyeupe na wakala wao Bashe
 
Anatakiwa lawama azipeleke kwa serikali ya chama chake kwa kushindwa kuwekeza kwenye vitu vya msingi kama kilimo ni jambo la ajabu sana kuona Tanzania ikipokea mbegu za msaada kutoka nje eti kuendana na mabadiliko ya tabia ya nchi na wakati SUA iko pale na inazalisha wataalamu kila mwaka, na sina hakika kama serikali ina benki ya mbegu ili kujiandaa na lolote litakalotokea mbeleni
 
Hellow Tanganyika!!

Vita ya kiuchumi imepamba moto, hivi sasa unakula embe ,chungwa, papai linalochukua miezi chini ya SITA tu, linakuwa tayari Kwa chakula, Cha kushangaza hakuna mbegu ndani ya tunda Hilo.

Mahindi vile vile, tunaletewa mahindi ya mbegu ambayo huwezi kuyaotesha baada ya kuvuna, ukitaka kupanda msimu ujao shart ukanunue.

Sasa Mpango huu wa kuzipoteza mbegu asili ni rasmi upo kutuletea njaa huko mbeleni, ni kutufanya tuwe tegemezi ikitokea wametunyima misaada ya mbegu huko mbeleni Kwa sababu wazijuazo wao.

Sasa ni muda wa kuamka na kuweka ulinzi kwenye benki zetu za mbegu asili maana njaa Inakuja ulimwenguni kote na ni ya kutengeneza Ili kuhakikisha Nchi zetu zinapiga magoti na kutawaliwa.

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿

Karibuni 🙏
Kuna watu wanajuabkuwaza vizuri
 
Hellow Tanganyika!!

Vita ya kiuchumi imepamba moto, hivi sasa unakula embe ,chungwa, papai linalochukua miezi chini ya SITA tu, linakuwa tayari Kwa chakula, Cha kushangaza hakuna mbegu ndani ya tunda Hilo.

Mahindi vile vile, tunaletewa mahindi ya mbegu ambayo huwezi kuyaotesha baada ya kuvuna, ukitaka kupanda msimu ujao shart ukanunue.

Sasa Mpango huu wa kuzipoteza mbegu asili ni rasmi upo kutuletea njaa huko mbeleni, ni kutufanya tuwe tegemezi ikitokea wametunyima misaada ya mbegu huko mbeleni Kwa sababu wazijuazo wao.

Sasa ni muda wa kuamka na kuweka ulinzi kwenye benki zetu za mbegu asili maana njaa Inakuja ulimwenguni kote na ni ya kutengeneza Ili kuhakikisha Nchi zetu zinapiga magoti na kutawaliwa.

Mungu ibariki Nchi yangu nzuri niipendayo TANZANIA 🇹🇿

Karibuni 🙏
Aisee. Hata kutia neno nashindwa, ila kuna watu wa kunyongwa tu and am very serious. Hili suala halina Chama.
 
Wakizuia mbegu mtakula mihogo ndizi, viazi na matunda pori kama Wahadzabe. Hii population inavyokua kwa kasi kila siku unataka mbegu za mapera, mapapai na mahindi za miaka mitano si mtakufa njaa nyie masikini.

Waafrika acheni upumbavu wa kufikiria dunia yote inafanya mambo kuwazunguka nyie na kwamba nyie ndio centre ya universe.
Yale yale, mnatishia nyau.
&
Blaming the Victim.
 
Utoto tu, hamna namna ya kuzuia mabadiliko ya tabia ya nchi na tech, uwezo wetu ni kufanya maombi tu, tunamuomba yesu na mtume miujiza na wengine tunaomba wazungu misaada, wote ombaomba tu, hatuna vitu serious tunaweza, halafu tukitunza ndio zinatusaidia nini? Kila mwaka njaa tu. Mahindi yameanza kutosha miaka ya karibuni baada ya mashamba ya mbegu kuanzishwa kabla ya hapo ilikua shida kila mwaka. Miaka ya 80 tulikua tunaletewa hadi mihogo mikavu tunauziwa na NMC.
Hopeless rhetoric.
unajitia ukuu ambao huna
 
Back
Top Bottom