Agenda ya Nishati Safi ya Kupikia ni ya Makamba, akampa Samia. Isieleweke Vinginevyo

Agenda ya Nishati Safi ya Kupikia ni ya Makamba, akampa Samia. Isieleweke Vinginevyo

mwanamabadiliko

JF-Expert Member
Joined
Oct 30, 2010
Posts
938
Reaction score
1,540
Nimesikia Porojo nyingi juu ya Ajenda ambayo imepata umaarufu duniani na Africa kiujumla, Ajenda ya Nishati safi ya kupikia, iliyoasisiwa na January Makamba na hata utekelezaji wake ulianzia kwake personnel. Najua wanasema dont outshine your Boss, lakini wewe nenda kakae na Makamba sasa hivi na katibu mkuu aliekuwepo wakati huo ambaye bado yupo hadi leo.

Mama amesema Ameibuni agenda hii lakini kwa wanaojua , hii ni Ajenda ya Mheshimiwa January makamba kijana mbunifu zaidi, ametoa ajenda nzuri na kumpa Samia lakini mwisho wa siku ameonekana hafai na Msaliti
 
Nimesikia Porojo nyingi juu ya Ajenda ambayo imepata umaarufu duniani na Africa kiujumla, Ajenda ya Nishati safi ya kupikia, iliyoasisiwa na January Makamba na hata utekelezaji wake ulianzia kwake personnel. Najua wanasema dont outshine your Boss, lakini wewe nenda kakae na Makamba sasa hivi na katibu mkuu aliekuwepo wakati huo ambaye bado yupo hadi leo.

Mama amesema Ameibuni agenda hii lakini kwa wanaojua , hii ni Ajenda ya Mheshimiwa January makamba kijana mbunifu zaidi, ametoa ajenda nzuri na kumpa Samia lakini mwisho wa siku ameonekana hafai na Msaliti
ChoiceVariable ya kweli haya?!
 
Nimesikia Porojo nyingi juu ya Ajenda ambayo imepata umaarufu duniani na Africa kiujumla, Ajenda ya Nishati safi ya kupikia, iliyoasisiwa na January Makamba na hata utekelezaji wake ulianzia kwake personnel. Najua wanasema dont outshine your Boss, lakini wewe nenda kakae na Makamba sasa hivi na katibu mkuu aliekuwepo wakati huo ambaye bado yupo hadi leo.

Mama amesema Ameibuni agenda hii lakini kwa wanaojua , hii ni Ajenda ya Mheshimiwa January makamba kijana mbunifu zaidi, ametoa ajenda nzuri na kumpa Samia lakini mwisho wa siku ameonekana hafai na Msaliti
Aliteuliwa ili awe mbunifu.
Ukiajiriwa kama mbunifu, hakimiliki zote zaenda kwa muajiri
 
Nimesikia Porojo nyingi juu ya Ajenda ambayo imepata umaarufu duniani na Africa kiujumla, Ajenda ya Nishati safi ya kupikia, iliyoasisiwa na January Makamba na hata utekelezaji wake ulianzia kwake personnel. Najua wanasema dont outshine your Boss, lakini wewe nenda kakae na Makamba sasa hivi na katibu mkuu aliekuwepo wakati huo ambaye bado yupo hadi leo.

Mama amesema Ameibuni agenda hii lakini kwa wanaojua , hii ni Ajenda ya Mheshimiwa January makamba kijana mbunifu zaidi, ametoa ajenda nzuri na kumpa Samia lakini mwisho wa siku ameonekana hafai na Msaliti
January ubunifu wake ni ufisadi alipotaka kukwamisha mradi wa bwawa la nyerere kwa kusema hakuna mashine ya kuinulia vitu vizito na alikuwa anafanya siasa!
 
January ubunifu wake ni ufisadi alipotaka kukwamisha mradi wa bwawa la nyerere kwa kusema hakuna mashine ya kuinulia vitu vizito na alikuwa anafanya siasa!
HATA SGR, BWAWA LA NYERERE, DARAJA LA BUSISI VILIBUNIWA KITAMBO LAKINI MWANAUME MAGUFULI AKAJINADI AKAFANYA, NAFIKIRI MAMA SAMIA ASITAJWE KWENYE HAYA ITAJWE SERIKALI
 
Ile top 5 ya mwaka 2015 ndiyo inayomtisha b tozo
 
HATA SGR, BWAWA LA NYERERE, DARAJA LA BUSISI VILIBUNIWA KITAMBO LAKINI MWANAUME MAGUFULI AKAJINADI AKAFANYA, NAFIKIRI MAMA SAMIA ASITAJWE KWENYE HAYA ITAJWE SERIKALI
Jamaa yako habebeki angebuni soko la makabichi huko mtae!
 
Huyo dogo janja aliisajili hiyo agenda BRELA?

Kule Bumbuli jimboni kwake, hakuna watu wanaopikia Kuni na mkaa?

Kama wapo, tuseme nini?
 
Hata waliobuni nishati safi duniani watacheka sana mtu kuja kuparamia wazo la kimataifa kuwa lake
 
Nimesikia Porojo nyingi juu ya Ajenda ambayo imepata umaarufu duniani na Africa kiujumla, Ajenda ya Nishati safi ya kupikia, iliyoasisiwa na January Makamba na hata utekelezaji wake ulianzia kwake personnel. Najua wanasema dont outshine your Boss, lakini wewe nenda kakae na Makamba sasa hivi na katibu mkuu aliekuwepo wakati huo ambaye bado yupo hadi leo.

Mama amesema Ameibuni agenda hii lakini kwa wanaojua , hii ni Ajenda ya Mheshimiwa January makamba kijana mbunifu zaidi, ametoa ajenda nzuri na kumpa Samia lakini mwisho wa siku ameonekana hafai na Msaliti
Sasa January ndo uje kuandika huku?? iyo agenda ni ya mama maana ulkua umeajiriwa na ulilipwa mshahara Kwa iyo chochote ulichofanya ni mali ya kiongoz wa serkal ambaye ni mama!!
 
Nimesikia Porojo nyingi juu ya Ajenda ambayo imepata umaarufu duniani na Africa kiujumla, Ajenda ya Nishati safi ya kupikia, iliyoasisiwa na January Makamba na hata utekelezaji wake ulianzia kwake personnel. Najua wanasema dont outshine your Boss, lakini wewe nenda kakae na Makamba sasa hivi na katibu mkuu aliekuwepo wakati huo ambaye bado yupo hadi leo.

Mama amesema Ameibuni agenda hii lakini kwa wanaojua , hii ni Ajenda ya Mheshimiwa January makamba kijana mbunifu zaidi, ametoa ajenda nzuri na kumpa Samia lakini mwisho wa siku ameonekana hafai na Msaliti
Na wewe! Aliyemteua ni nani? Kila mtu unafanya kazi kwa niaba ya bosi
 
Nimesikia Porojo nyingi juu ya Ajenda ambayo imepata umaarufu duniani na Africa kiujumla, Ajenda ya Nishati safi ya kupikia, iliyoasisiwa na January Makamba na hata utekelezaji wake ulianzia kwake personnel. Najua wanasema dont outshine your Boss, lakini wewe nenda kakae na Makamba sasa hivi na katibu mkuu aliekuwepo wakati huo ambaye bado yupo hadi leo.

Mama amesema Ameibuni agenda hii lakini kwa wanaojua , hii ni Ajenda ya Mheshimiwa January makamba kijana mbunifu zaidi, ametoa ajenda nzuri na kumpa Samia lakini mwisho wa siku ameonekana hafai na Msaliti
Wewe unaonekana bado una akili za kitoto,
Kwani hata katika kazi za kawaida tu ukifanya vzr mwishwa siku anaoneakana na kusifiwa nani ? Ww au boss wako ambae unamkabidh ile kazi?
Mfano mzur mafundi, wanajenga wanasimamiw na Engineer mpk kitu kinamalixa na kupendez na mwish wa siku boss anavokabidh mradi sifa zote zinaenda kwake. Atleast uwe na akili.japo hii.ndogo
 
Back
Top Bottom