Kila mtu anafanya kazi kwa niaba yake hapa TZ. Yupo sahihi! Kumbuka Mfanyakazi wa serikali hana copyright. Akilipwa mshahara, kila kitu ni Mali ya mwajirisasa Samia asiseme wazo kabuni yeye
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kila mtu anafanya kazi kwa niaba yake hapa TZ. Yupo sahihi! Kumbuka Mfanyakazi wa serikali hana copyright. Akilipwa mshahara, kila kitu ni Mali ya mwajirisasa Samia asiseme wazo kabuni yeye
Nenda bumbuli anayo kamati itampitisha huko!Mngeruhusu Kura kwenye kamati kuu muone kama habebeki
mkuu nami najiulizaga sana imekuaje idadi ya hvo vifo vinavotokana na mosh vwe vya kutisha hvo? tangu tumepata uhuru kuni na mkaa ndoMwenye Agenda ni Rostam Aziz auze gesi .. akamtumia Makamba kuwatisha watanzania kuwa kila mwaka kuna vifo 300000 vya kinamama vinavyotokana na moshi wa mkaa na kuni...