Agenda ya Nishati Safi ya Kupikia ni ya Makamba, akampa Samia. Isieleweke Vinginevyo

Hata kula yeye ndio kagundua.

Yaani usione watu wanakula mara leo kuku mara kesho bamia. Ni ugunduzi wake huo.
 
Mwenye Agenda ni Rostam Aziz auze gesi .. akamtumia Makamba kuwatisha watanzania kuwa kila mwaka kuna vifo 300000 vya kinamama vinavyotokana na moshi wa mkaa na kuni...
mkuu nami najiulizaga sana imekuaje idadi ya hvo vifo vinavotokana na mosh vwe vya kutisha hvo? tangu tumepata uhuru kuni na mkaa ndo
nshat ya watz cjapata kuon wat wakpata shida wanazoziona wao!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…