Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu, ndio maana ya neno vicarious liablity. Yaani Matendo ya wafanyakazi ndio matendo ya kampuni.FedEx sio matapeli tatizo wabongo wanao wawakilisha fedEx hapa nchini
naamini FedEx Int'l wanaona reviews zilizopo kwenye ukurasa za hao agents pale Google na ni miaka sasa, hakuna hatua zinachukuliwaFedEx sio matapeli tatizo wabongo wanao wawakilisha fedEx hapa nchini
Suggetion:Hatari sana...
Everything is horrible hapo nyumbani.
Kuna account inaitwa Tanzanite CRDB,nna miezi 6 Sasa wameniblock,
Fees wanalamba km kawaida,nikilalamika wanasema unblocked.
Nikijaribu kulog inn blocked again.
Ishatokea zaidi ya mara 10.
Nishakata tamaa.
Upuuzi mwingi sana.
Nimeshutushwa sana na kampuni ambayo inawakilisha Fedex Tanzania. Ukituma mzigo wowote kwa Fedex hata barua tu utasumbuliwa sana. Hawa jamaa ukituma mzigo kwa Fedex mfano hata kama mzigo ni wa $50 watajaribu kukuwekea gharama za 500,000 na zaidi.
1. Wenyewe sio TRA kodi zote zinatakiwa ziwe za TRA na sio msafirishaji cha ajabu wenyewe ndiyo wamejipa madaraka fake ya TRA.
2. Wanachelewesha mizigo makusudi kwa siku saba ili wataifishe mzigo wako na ukienda siku mzigo umefika hawawezi kukupa kwasababu wanataka wakupe storage fees.
Google review zinatisha
---
"This place turned it around in the end. I had a package shipped from US to Tanzania. There was communication in the beginning and then it stopped. We had a situation where we were traveling and needed the package before we left. We got it the day before we left but not without trials and tribulations. I'm happy that we did get our package. I'm unhappy with the timeframe and the lack of communication of SOME of the customer service agents. Would I recommend...I would never ship a package here again. BUT I did eventually get my package after being in the country 3 weeks."
"This place turned it around in the end. I had a package shipped from US to Tanzania. There was communication in the beginning and then it stopped. We had a situation where we were traveling and needed the package before we left. We got it the day before we left but not without trials and tribulations. I'm happy that we did get our package. I'm unhappy with the timeframe and the lack of communication of SOME of the customer service agents. Would I recommend...I would never ship a package here again. BUT I did eventually get my package after being in the country 3 weeks."
"Avoid if you can even if you need to pay double to someone else like DHL. You will wait 3 times longer that with any other company because of some documents they processing extremely slow. You pay to get delivery to your address but they will call you saying that is to far so you should come to pick it up. And still they charge as per door to door. Worst experience and service from all possible international delivery companies."
"Google really need to introduce zero star rating for these kind of companies. Poor service, no response and destroying worldwide brand images. Fedex in Tanzania is one of the worst courier service you can use due to the poor service that you will encounter when your goods arrive in Tanzania."
"FedEx Tanzania is not a courier company it's a scammer and very bad treat to foreigner, they charge clearance charge more than tax amount even i did all the clearance process by other agent, also they don't deliver my goods at my place they harras me mentally and financially, I am sure one day this company will close , also they updated wrong information I went to receive my parcel myself 27th Dec but they updated 23rd December."
"I Give them One Star But to be real is Zero Star for this company. They got bad unresponsive customer service, They take too long to clear your Parcel/Package, .So Guys Don't waste Your valuable time and Money,. Choose other company !!"
Hii inakuwaje mbona mimi nimetumiwa mzigo nikalipa online mzigo umefika?? Charges ni kawaida sasa mzigo utoke US mpaka bongo bei iwe kitoto?Mkuu Kamundu hao jamaa FEDEX na DHL wote ni wezi na wababaishaji.
Wizi wao upo hapo kwenye kulazimisha kukuuzia document ya mzigo wako (airway bill) pale unapowaambia kuwa utafanya clearance wewe mwenyewe au na agent wako.
Wanasema wanakuuzia document hiyo kwa Tshs.88,000/= au la waruhusu wao wakufanyie clearance kwa Tshs. 113,000/=. Sasa unawauliza document yangu mwenyewe inakuaje niinunue?? Majibu yao ni kuwa, unainunua kwa kuwa umetumia jina lao (FEDEX au DHL). Unawaambia, si nimewalipa gharama ya kusafirisha tayari?? Baada ya hapo hujibiwi kinachoeleweka na wanasubiri siku 7 waanze kukuchaji storage
Nina imani hizi kampuni kwa Tanzania zitakuwa ni za viongozi wa siasa, ndio sababu ya kujitozea hela watakavyo na huna cha kuwafanya.
Kama alivyosema mmoja wa watoa maoni, hizo kampuni hawataki kuleta mizigo kitunda, mbezi mwisho nk kwa madai kuwa ni mbali sana, wanataka ukafuate ofisini ilhali fedha uliyolipa ilikuwa imepima umbali mpaka kwenye zipcode yako, yaani ulitakiwa ufikishiwe mlangoni kama wafanyavyo EMS au CDS.
Mimi sitaki kabisa kuwatumia hawa wezi, nawakubali sana Speedaf, hawa nawasubiri wawe na huduma nje ya aliexpress itakua poa sana
Huenda hujaelewa kinachozungumzwa, ngoja ueleweshwe mkuu.Hii inakuwaje mbona mimi nimetumiwa mzigo nikalipa online mzigo umefika?? Charges ni kawaida sasa mzigo utoke US mpaka bongo bei iwe kitoto?
Aseeh mpk ushabiki wa timu tenaWanakera sana,email hawajibu kwa wakati,na maswali ya kijinga mpk kuna siku wakasema niwatajie timu ya mpira ninayoshabikia,mi sio shabiki wa mpira.
Nikajibu nijuavyo wakasema nimekosea block tena.
Yaani wanafanya vitu ambavyo hawana utayari navyo.
Acc ya usd wameshindwa kuiaccess mpk leo na doc zote wanazo.🤦♂️
Nilichoelewa Mimi wewe mteja ndio sio muelewa kwenye meza ya watu..FedEx 88000 ni documentation (label created waybill) ni lazima uilipie ili upewe document yako ukafanye clearance Na agent wako...label created waybill haihusian Na freight charges...hii Mara nyingi utailipia kule unapoenda kupokelea mzigo wako...kwahiyo 88000 wapo sahihi mkuu...labda mengineo hapo.Huenda hujaelewa kinachozungumzwa, ngoja ueleweshwe mkuu.
Wewe umeagiza mzigo toka USA, umelipa labda Tshs. 50,000/= kama gharama za kusafirisha mpaka Tanzania, fedha hiyo umewalipa Fedex au DHL.
Mzigo ulipofika Tanzania, mamlaka (serikali) wanasema ni lazima ukaguliwe (clearance) ili kama unatakiwa kulipiwa kodi basi ilipwe na kama hautakiwi kulipiwa kodi basi upewe mzigo wako, hapo sasa hao Fedex wanasema kuwa uwalipe wao Tshs. 88,000/= ili wakufanyie clearance na kodi utalipa nje ya hiyo Tshs. 88,000/=. Ukiwaambia kuwa nipeni document yangu ili nifanye clearance mwenyewe, wanasema tunakuuzia document hiyo kwa Tshs. 113,000/=
Hapo sasa ndio huo tunaouita wizi!! FEDeX wanataka Tshs. 113,000/= kwa kazi gani wakati document ni zako? Unauziwaje document zako mwenyewe?? Ile elfu 50 uliyolipa si ilikuwa ni gharama ya kukusafirishia mzigo pamoja na document ya mzigo?? Kwa nini uchajiwe kwa document ambayo tayari ni yako na umeshalipia gharama za kusafirishwa kwake??
Natumai umeelewa mkuu
Nicheki tuyajenge 0689636980Nimewaachia mzigo
Gharama Za kutoa ni kubwa jamani
Nikataka kutolewa na mtu mwingine .. kucollect documents wanataka 180,000 wanasema gharama ya kusafirisha documents kutoka mzigo ulipotokea [emoji119] na kule walishalipwa 200$
Na zilikua sample tu, nikaagiza nyingine zimefika na Nimepokea kwa 50$ (kila kitu included)
Ni sahihi mkuu. Sasa kinachoshangaza ni Cainiao kuleta mizigo yenye label hivyohivyo ila pasipo mteja kulipa chochote zaidi ya gharama ya kusafirisha.Nilichoelewa Mimi wewe mteja ndio sio muelewa kwenye meza ya watu..FedEx 88000 ni documentation (label created waybill) ni lazima uilipie ili upewe document yako ukafanye clearance Na agent wako...label created waybill haihusian Na freight charges...hii Mara nyingi utailipia kule unapoenda kupokelea mzigo wako...kwahiyo 88000 wapo sahihi mkuu...labda mengineo hapo.
Na mm nilikuwa mbioni kuwatumiaNakataa wakuu, nimesafirisha mzigo mara mbili kwa hao FEDEX na nilipokea mzigo ofisini. Rangel logistics wanajitahidi Kama una ushahidi wa tuhuma zako weka hapa ili tujifunze