Aggrey Mwanri: Jembe lililoachwa kimakosa kwenye Baraza la Mawaziri

Aggrey Mwanri: Jembe lililoachwa kimakosa kwenye Baraza la Mawaziri

Alifanya nini zaidi ya kiki na masihara. Kwanza alistaafu kwahivyo mwacheni apumzike nchi inavijana wengi tuu wasomi na wawajibikaji waliokosa kazi
Kwani RC wa Dodoma hajatimiza miaka ya kusitafu?
 
Aggrey Mwanri hana lolote zaidi ya UROPOKAJI na Komedi za kwenye TV. Kiukweli SIYO MTENFAJI ndiyo maana silaha yake kubwa ya kuonwa na mabosi wake ni KELELE tu.
Tuacheni chuki jamani,Mwanri huwezi kulinganisha utendaji wake na vijana wengi tu waliopo kwenye Cabinet.
 
Miaka zadi ya 65 wa nini?

Kafanya ubunge, ukuu wa mkoa na uwaziri kaleta nini?

Akiwa Tamisemi na sagi wake walikuwa wanauza ukuu wa idara kwa sh ngapi?
Mkuchika ana miaka mingap?

Kabudi na yeye ana miaka mingapi?

Wameleta tija gani kwa Taifa?
 
Mmekazana tu utendaji utendaji. Ameshawahi kudeliver nn katika uongozi wake? Au huo ukuu wa idara aliokuwa anauza wakati yupo TAMISEMI?
 

Kila mtanzania anamkubali Agrey Mwanri kuwa ni jembe na mchapa kazi. Anajua kuongoza, anajua kuwajibika.

Lakini kwanini kiongozi kama huyu hakupata uteuzi ili aweke mambo sawa kwa manufaa ya umma? Je, kuna tatizo kwa washauri wa rais JPM?

Mbona tuna ona watu ambao uwezo wao wa kuongoza ni mdogo na wanaingia kwenye Cabinet?

Hao wanaomshauri Rais wanakula pesa za bure za walipa kodi? Kwanini mtu kama Mwanri awe benchi, alafu watafuta kick za kwenye Tv ndio wanakula uteuzi?
I agree, the fellow is a first class intellect, clean. Kwenye hesabu zangu (just me, a nobody) huyu angekuwa Waziri Mkuu kabla hata ya Majaliwa (wote walikuwa TAMISEMI). CHADEMA wakawa wamemfitinisha na wapiga kura kwa misingi ya kikabila alipokataa kujiunga na CHADEMA, wakapata viti vyote Mkoa wa Kilimanjaro, you remember. Waliamini Lowassa atashinda, hadi ukatumwa ujumbe wa Askofu Munga kumwita Zero ili waimarishe safu ya uongozi neema yaja. The rest is history.
 
Alifanya nini zaidi ya kiki na masihara. Kwanza alistaafu kwahivyo mwacheni apumzike nchi inavijana wengi tuu wasomi na wawajibikaji waliokosa kazi
Kaifanyia makubwa sana Tabora hasa suala la uwajibikaji na utunzaji wa mazingira. Kwa wanaoijua Tabora, alifanikiwa kuibadilisha sana. Mnyonge mnyongeni, lakini haki yake mpeni
 

Kila mtanzania anamkubali Agrey Mwanri kuwa ni jembe na mchapa kazi. Anajua kuongoza, anajua kuwajibika.

Lakini kwanini kiongozi kama huyu hakupata uteuzi ili aweke mambo sawa kwa manufaa ya umma? Je, kuna tatizo kwa washauri wa rais JPM?

Mbona tuna ona watu ambao uwezo wao wa kuongoza ni mdogo na wanaingia kwenye Cabinet?

Hao wanaomshauri Rais wanakula pesa za bure za walipa kodi? Kwanini mtu kama Mwanri awe benchi, alafu watafuta kick za kwenye Tv ndio wanakula uteuzi?

Sio kweli ni jembe. Ila ni mkali sana labda
 
Mwacheni Mzee Mwanri apumzike baada ya kuomba kustaafu mwenyewe.
Hizi talalila ni kuingilia uhuru wa watu, nchi hii kwa sasa ina vijana wengi kuliko wazee.
Tuwape vijana nafasi waonyeshe uwezo waliojaliwa na siyo kung'ang'ania wazee waliostaafu.
 
Mmekazana tu utendaji utendaji. Ameshawahi kudeliver nn katika uongozi wake? Au huo ukuu wa idara aliokuwa anauza wakati yupo TAMISEMI?
Aliwahi kukuuzia? Au ndio story za kusikia?
 
Mleta mada umeharibu sana baada ya kuwaponda waliopo kwenye cabinet kwa sasa (hasa vijana) kuwa wana uwezo mdogo.

Uongozi ni uzoefu. Kubali kujisahihisha na kusahihishwa. Hakuna aliyezaliwa kiongozi.

Huu ni muda wa vijana kuaminiwa sio sura zilezile kila siku. Vijana wameshajifunza kwa wazee ni muda sasa wa kuaminiwa na kupewa nafasi. Wanapokosea wakubali kusahihishwa na kujisahihisha.
 
Back
Top Bottom